Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho

🤣🤣🤣🤣, mngekua mshachukua nchi mapema sana, kiufupi ni kwamba hamna anaewapenda ndo maaana mnabaki kufungua spaces online mkiita maandamano mnabaki wenyewe! nani mwenye akili timamu akaunge maslahi ya mwenyekiti wa milele

 
Mzee wa mashairi na kurudia rudia maandishi, endelea! But hamna katiba mpya soon na msilete pua zenu kwenye uchaguzi 2024 na 2025, maana mlishasema hamtoshiriki bila katiba mpya.
 
Tatizo woga ndio mana nawaambia hamko tayari bila damu nyingi hiyo katiba mtaishia kuiimba tuu
Hii ni TANZANIA tunasema Kwa uthabiti na wanafanya tutakavyo. Silalamiki tena, SIOGOPI tena, maana kumwogopa mwanadamu ni dhambi mbele za Mungu.

Usidharau WHISTLE BLOWERS, Kwa taarifa Yako watu zaidi ya ml 50 kelele zao hata kama ni ndani ya vyumba vyao, inatosha kuwafanya viongozi wakose USINGIZI, MWOVU afumbapo macho huona maluweluwe ndomana hutumia POMBE Kali na kuvuta mioshi mbalimbali. Haezi lala vzr.
 
Lianzisheni kwanza nikuone pale mbele kabisa na mimi niatapata morali wa kuingia
Njia ya vurugu haifai, TUTASEMA Kwa msisitizo, wakiziba masikio, Tunaingia MAGOTINI, Mungu husikia na kutenda. Amen
 
Katiba mpya Si MALI ya Wabunge wasiotokana na idhini ya wananchi, ni takwa la wananchi HAIKWEPEKI.
 
Niliposoma ....vita hii ni ya amani..
Nimesikitika sana. Hujui gharama za unachotafuta.
Kifup ni hivi njia ya kujadiliana imeshafeli.
Sikjui vita ya aman ipi unaongelea.
Kama huon sabab ya wewe kufa kwa ajiri ya watakaobak jua hakuna aliye tayar kwa hilo.
Tumaini pekee ninalokupatia ni ...MUDA. Utatoa majibu.
La tuendelew na soga kupata daily bread.
Usisahau kuwa Katiba ni kitendea kaz tu. Tatizo kubwa ni uzalendo, uaminifu na uadilifu wetu.
Hali mbaya au nzuri kwa sasa ni zao la hayo. Si Katiba per se.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…