Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Kweli mkuu hasa mimi nilikuwa na wazo la serikali moja kwa vile moja imeshindikana basi mbili zinatosha.Naunga mkono hoja ya kuwa na serikali mbili a , moja ya Tanganyika na ya pili ni ya Zanzibar