Katiba mpya tunaitaka, lakini sio kuliko maji, chakula na afya

Katiba mpya tunaitaka, lakini sio kuliko maji, chakula na afya

Kwani katiba hii ya sasa haisemi hivyo? Wanaohimiza Katiba mpya wanachoangalia zaidi Ibara zinazohusu uchaguzi, tume ya uchaguzi na sheria ya jeshi la polisi baasi. Hawa ni watu wanaotaka kuingia Ikulu tu bila kuangalia maslahi mapana ya taifa. Ningewaunga mkono kama kero yao ya kutaka katiba mpya ingekuwa kuwaondolea kinga viongozi wote kushitakiwa watakapofanya makosa makubwa.
Katiba ya sasa inaweka ugumu kwa baadhi ya watu au chama kuingia Ikulu??
 
NI kweli Katiba hii ya mwaka 1977 ni nzuri sana kwa kiongozi na chama kilichoko madarakani. Hata CCM ikianguka leo chini ya katiba hii na sheria hizi za uchaguzi na jeshi la polisi haitarudi tena madarakani milele.

Hata CHADEMA kama ikiingia Ikulu leo chini ya Katiba hii na sheria hizi za uchaguzi na jeshi la polisi hata wao hawatapenda kuandika Katiba mpya, wataing'ang'ania Katiba hii hii.

Katiba hii ya 1977 ni nzuri sana kwa kiongozi ambae anajali watu wake kwakuwa kwa kutumia katiba hii unaweza kujenga barabara ya njia 6 hata kwenye mitaa yenye msongamano mkubwa kama ya Posta au Kariakoo kwa gharama ndogo kabisa. Lakini, Katiba hii ni mbaya kwa kiongozi mbaya, mwizi, mbadhilifu, mvivu, mkabila, mdini, goigoi na dikteta.

Hata hivyo, sitaki mtu atuaminishe watanzania kuwa Katiba mpya ndiyo itakayomaliza shida zetu za upatikanaji wa hewa safi, maji safi, chakula, afya, amani na huduma nyingine ambazo sasa hivi hazifanyi vizuri. Kenya tuliwasifu sana kuwa wanayo Katiba mpya na yakisasa kabisa, lakini hali yao sio bora kivileee kama nilivyokuwa ninatarajia kuiona. Bado Kenya walihangaika sana na mambo yao ya uchaguzi na kutoa matokeo ya uchaguzi. Kule Marekani wanayo katiba bora sana lakini bado walisumbuliwa na uchaguzi na utangazaji wa matokeo ya uchaguzi wao.

Siwezi kuunga mkono serikali kupunguza fedha kwenye miradi kama ya maji, afya, elimu, kilimo, na miundombinu kwasababu ya kwenda kuandika Katiba mpya. Wengi wanaoitaka Katiba mpya haraka na kufa na kupona ni kwaajili tu ya kuongeza uwezekano kwa kundi na watu wao kuweza kuchaguliwa na kupata uongozi wa kuchaguliwa kama vile Urais, Ubunge na Udiwani na kuunda serikali. Malengo kama haya sio kipaumbele kwangu mimi mtanzania.

Ninapenda Katiba mpya, lakini Katiba ambayo inamuadhibu kikamilifu mtu yeyote ambae ataiba au kutumia vibaya rasilimali zetu, katiba ambayo inalinda rasilimali zetu na watu wetu kikamilifu, katiba ambayo inajali haki za watu, lakini Katiba ambayo asiyefanyakazi hatakula wala kutibiwa.

Na mara nyingi "Kaiba nzuri" ni ile inayowafurahisha wazungu, yenye maslahi kwa wazungu kuliko raia.
Vipi serikali ikipunguza pesa za kukimbiza Mwenge na Mavietee kupeleka kwenye katiba? Bado utapinga??
 
Katiba mpya ipi ?!!!

Inayofanana na ile ya "mh.Sinde Warioba"?!!![emoji15][emoji15]

Binafsi siitaki hiyo....

Katiba gani hiyo inayokwenda kuuvunja Muungano ?!!!

Eti serikali 3 ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15]

Tanganyika ikirudi tu Muungano hautakuwa na miaka mingi mbele kwa sababu zifuatazo.....

CCM na serikali itatumia NGUVU kubwa sana kuwadhibiti WAHAFIDHINA WA SIASA NA DINI....

Akina Tundu Lissu et al wataisumbua sana JMT ili uvunjike.....katika vuta ni kuvute hiyo itafikia "boiling point" ya kuibua UASI....UASI utaziandama awamu za serikali....majeshi yatakuwa nayo yanapindua....pinduapindua pinduapindua WAUMIAO ni wananchi (ya Ethiopia na Sudan)....

Tutakuja kukumbuka uadhimu wa SIRI ya baba wa taifa El Commandante JKN(rip) kuuasisi MUUNGANO WA KIPEKEE wenye serikali mbili za JMT.....

#Rest Easy EL COMMANDANTE JKN ,AMEN [emoji120][emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Matatizo yetu watanzania si CCM....

Tafakari hili....

Hivi hakuna wafuasi wa upinzani waliohamia CCM ?!!!

Wako wengi....hivi zile "kelele zao" za uzalendo zinaendelea humo ndani ya CCM ?!!!

Hawaendelei kwa kuwa wanakula na kushiba vyema....

Humo ndani ya CCM wenye makelele ya kujifanya ni wazalendo zaidi ya wengine ni wale ambao hawali kingi" na "kusaza".....

Hoja yangu ni kuwa MWAFRIKA akiwa anakula" huwa HAONGEI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ije CHADEMA ,ACT WAZALENDO ,CHADEMA hutakuja kusikia KATIBA iliyopo ni bora.....suala si KATIBA....suala ni MENTALITIES zetu.....

Tunapenda "shortcuts"...
Tunapenda "kulalamika hovyo bila ya vitendo".....
Tunapenda madaraka kwani afrika yenye historia ya UCHIFU madaraka huwa ni "pepo ya dunia".....

Tatizo si mh.Rais SSH wala watangulizi wake...

Tatizo si CCM wala serikali....

Tujiangalie MALEZI yetu kuanzia ngazi ya familia....

Juzi nimekoswakoswa kudundwa ule "kitaani" tunauita udundwaji wa "kibamvua" na kijana mwenzangu ambaye miaka 3 nyuma nilikuwa ninamdai fedha yangu na kuamua kwenda kumchukulia kibali cha ukamataji(RB ya polisi)....

Tulipotezana...kumbe alikwenda kozi ya JESHI na kumaliza salama.....

Nilipopita kichochoroni akanikamata na kuniambia nitakoma kwani yeye sasa ni mwanajeshi na sina cha KUMFANYA....nilikuja kuokolewa na wapita njia baada ya nami kujitetea KIUME (yaani mkono kwa mkono ,piga nikupige)....

Sasa jiulize huyu ni MWANAJESHI TU tena "sergeant" ananionea hivi....hao wengine ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

TATIZO SI KATIBA TATIZO NI HULKA ZETU NYINGINE ZINAANZIA HUKO KATIKA VILINGE VYA MAKABILA NA UGANGA WA KOO ZETU ZA KIAFRIKA [emoji2956][emoji7]

#SiempreJMT[emoji120]

#Katiba Iliyopo Ni Nzuri Na Iendelee Hiyohiyo[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Vipi serikali ikipunguza pesa za kukimbiza Mwenge na Mavietee kupeleka kwenye katiba? Bado utapinga??
kwani katiba hii inasema mwenge ukimbizweje kwa bei gani? Inataja maa mavietee?
 
Katiba mpya ipi ?!!!

Inayofanana na ile ya "mh.Sinde Warioba"?!!![emoji15][emoji15]

Binafsi siitaki hiyo....

Katiba gani hiyo inayokwenda kuuvunja Muungano ?!!!

Eti serikali 3 ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15]

Tanganyika ikirudi tu Muungano hautakuwa na miaka mingi mbele kwa sababu zifuatazo.....

CCM na serikali itatumia NGUVU kubwa sana kuwadhibiti WAHAFIDHINA WA SIASA NA DINI....

Akina Tundu Lissu et al wataisumbua sana JMT ili uvunjike.....katika vuta ni kuvute hiyo itafikia "boiling point" ya kuibua UASI....UASI utaziandama awamu za serikali....majeshi yatakuwa nayo yanapindua....pinduapindua pinduapindua WAUMIAO ni wananchi (ya Ethiopia na Sudan)....

Tutakuja kukumbuka uadhimu wa SIRI ya baba wa taifa El Commandante JKN(rip) kuuasisi MUUNGANO WA KIPEKEE wenye serikali mbili za JMT.....

#Rest Easy EL COMMANDANTE JKN ,AMEN [emoji120][emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Libya waliichoka amani wakaitaka demokrasia ya Magharibi. Viwango vyetu vya elimu na uchumi haviiwezi demokrasia. Watu wanadhani demokrasia ni kutukana bila kuchukuliwa hatua, wanadhani demokrasia ni uchaguzi huru na haki, wanadhani demokrasia ni kuandika, kusema na kufanya chochote. Maskini hawezi kuwa na demokrasia pana hata siku moja.
 
Katiba ni msingi wa kila kitu...
Chochote kinachofanyika nje ya Katiba ni hisani!
 
Matatizo yetu watanzania si CCM....

Tafakari hili....

Hivi hakuna wafuasi wa upinzani waliohamia CCM ?!!!

Wako wengi....hivi zile "kelele zao" za uzalendo zinaendelea humo ndani ya CCM ?!!!

Hawaendelei kwa kuwa wanakula na kushiba vyema....

Humo ndani ya CCM wenye makelele ya kujifanya ni wazalendo zaidi ya wengine ni wale ambao hawali kingi" na "kusaza".....

Hoja yangu ni kuwa MWAFRIKA akiwa anakula" huwa HAONGEI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ije CHADEMA ,ACT WAZALENDO ,CHADEMA hutakuja kusikia KATIBA iliyopo ni bora.....suala si KATIBA....suala ni MENTALITIES zetu.....

Tunapenda "shortcuts"...
Tunapenda "kulalamika hovyo bila ya vitendo".....
Tunapenda madaraka kwani afrika yenye historia ya UCHIFU madaraka huwa ni "pepo ya dunia".....

Tatizo si mh.Rais SSH wala watangulizi wake...

Tatizo si CCM wala serikali....

Tujiangalie MALEZI yetu kuanzia ngazi ya familia....

Juzi nimekoswakoswa kudundwa ule "kitaani" tunauita udundwaji wa "kibamvua" na kijana mwenzangu ambaye miaka 3 nyuma nilikuwa ninamdai fedha yangu na kuamua kwenda kumchukulia kibali cha ukamataji(RB ya polisi)....

Tulipotezana...kumbe alikwenda kozi ya JESHI na kumaliza salama.....

Nilipopita kichochoroni akanikamata na kuniambia nitakoma kwani yeye sasa ni mwanajeshi na sina cha KUMFANYA....nilikuja kuokolewa na wapita njia baada ya nami kujitetea KIUME (yaani mkono kwa mkono ,piga nikupige)....

Sasa jiulize huyu ni MWANAJESHI TU tena "sergeant" ananionea hivi....hao wengine ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

TATIZO SI KATIBA TATIZO NI HULKA ZETU NYINGINE ZINAANZIA HUKO KATIKA VILINGE VYA MAKABILA NA UGANGA WA KOO ZETU ZA KIAFRIKA [emoji2956][emoji7]

#SiempreJMT[emoji120]

#Katiba Iliyopo Ni Nzuri Na Iendelee Hiyohiyo[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Katiba hii ya sasa inamhakikishia kila mtanzania kuiona kesho yake, kulima, kufuga, kufanya biashara, kuvua, kuishi popote, kuwa kiongozi, kuwa mwanajeshi, mwalimu, mhasibu, nk. Unataka Katiba gani? Mapungufu makubwa ninayoyaona kwenye katiba hii ni kinga ya kutoshitakiwa waliyopewa viongozi wanaotuibia mali zetu na wanaotukosea.

Watu wetu wengi bado hawana elimu na ni maskini sana, hawezi kuendesha demokrasia kama ya nchi za magharibi. Bado kuna watu wasiojua kusoma na kuandika kwenye kila ukoo, kila kabila. Mtu maskini haiwezi demokrasia kwakuwa bado anasumbuliwa na upatikani wa uhakika wa mahitaji muhimu kama maji, chakula, malazi, matibabu. Mtu maskini anaweza kumpigia kura hata mgombea asiyemtaka wala kumjua, anapiga kura kwa kutumia njaa, kiu na shida zake.
 
NI kweli Katiba hii ya mwaka 1977 ni nzuri sana kwa kiongozi na chama kilichoko madarakani. Hata CCM ikianguka leo chini ya katiba hii na sheria hizi za uchaguzi na jeshi la polisi haitarudi tena madarakani milele.

Hata CHADEMA kama ikiingia Ikulu leo chini ya Katiba hii na sheria hizi za uchaguzi na jeshi la polisi hata wao hawatapenda kuandika Katiba mpya, wataing'ang'ania Katiba hii hii.

Katiba hii ya 1977 ni nzuri sana kwa kiongozi ambae anajali watu wake kwakuwa kwa kutumia katiba hii unaweza kujenga barabara ya njia 6 hata kwenye mitaa yenye msongamano mkubwa kama ya Posta au Kariakoo kwa gharama ndogo kabisa. Lakini, Katiba hii ni mbaya kwa kiongozi mbaya, mwizi, mbadhilifu, mvivu, mkabila, mdini, goigoi na dikteta.

Hata hivyo, sitaki mtu atuaminishe watanzania kuwa Katiba mpya ndiyo itakayomaliza shida zetu za upatikanaji wa hewa safi, maji safi, chakula, afya, amani na huduma nyingine ambazo sasa hivi hazifanyi vizuri. Kenya tuliwasifu sana kuwa wanayo Katiba mpya na yakisasa kabisa, lakini hali yao sio bora kivileee kama nilivyokuwa ninatarajia kuiona. Bado Kenya walihangaika sana na mambo yao ya uchaguzi na kutoa matokeo ya uchaguzi. Kule Marekani wanayo katiba bora sana lakini bado walisumbuliwa na uchaguzi na utangazaji wa matokeo ya uchaguzi wao.

Siwezi kuunga mkono serikali kupunguza fedha kwenye miradi kama ya maji, afya, elimu, kilimo, na miundombinu kwasababu ya kwenda kuandika Katiba mpya. Wengi wanaoitaka Katiba mpya haraka na kufa na kupona ni kwaajili tu ya kuongeza uwezekano kwa kundi na watu wao kuweza kuchaguliwa na kupata uongozi wa kuchaguliwa kama vile Urais, Ubunge na Udiwani na kuunda serikali. Malengo kama haya sio kipaumbele kwangu mimi mtanzania.

Ninapenda Katiba mpya, lakini Katiba ambayo inamuadhibu kikamilifu mtu yeyote ambae ataiba au kutumia vibaya rasilimali zetu, katiba ambayo inalinda rasilimali zetu na watu wetu kikamilifu, katiba ambayo inajali haki za watu, lakini Katiba ambayo asiyefanyakazi hatakula wala kutibiwa.

Na mara nyingi "Kaiba nzuri" ni ile inayowafurahisha wazungu, yenye maslahi kwa wazungu kuliko raia.
Jinga kwenye ubora wako bila katiba hizo huduma utazipata kwa hisani
 
Jinga kwenye ubora wako bila katiba hizo huduma utazipata kwa hisani
Hebu nitajie nchi moja ya Afrika ambayo wananchi wake wanapata huduma nyingi na bora kutokana na kuwa na Katiba nzuri. Karibu bara lote ni maskini tu, je shida yao ni katiba? Tusipotoshe watu kwa maslahi yenu ya kwenda Ikulu na kuwa wabunge (ajira). Uarabuni hakuna demokrasia huko, ni usulutani na sharia tu lakini maisha yao safi. nadhani Rais Samia yuko sahihi kabisa kuhusu mchakato na aina ya Katiba tunayoitaka watanzania.

Nina uhakika 100% Rais Samia atatuachia Katiba mpya matata sana kabla hajamaliza muda wake. Katiba ambayo vyama vitapokezana kwenda Ikulu kama vitachaguliwa na watu, katiba ambayo hata Rais anaweza kushitakiwa kama akituibia au kuua watu bila sababu. Tusiwe na papara za kuwahisha katiba ili kuwahi uchaguzi, nonsense
 
Katiba ya sasa inaweka ugumu kwa baadhi ya watu au chama kuingia Ikulu??
Kichwa cha habari "kinajichanganya". Unapokuwa na maji au chakula, unaweka utaratibu jinsi utakavyoyatumia hayo maji au chakula bila watu wengine kuja kukunyang'anya na kama watakuja utawaambia wamekiuka utaratibu wako. Usipoweka utaratibu wa kutumia hayo maji au chakula, watu wengine nao wataona wana haki ya kuja kuyatumia hayo maji au chakula wanavyotaka wao. Na wakati mwingine wanaweza kukunyang'anya na wewe ukabaki huna maji au chakula na hutaweza kwenda kulalamika sehemu yoyote na kama utaenda kulalamika, utaulizwa: je, ulikuwa na utaratibu wowote wa kulinda maji yako au chakula chako kisitumiwe na watu mwingine? Utasema "hapana". Na huko ulikoenda kulalamika watakwambia "ondoka hapa mara moja, unatupotezea muda wetu". Na hapo utaanza kulia na kusaga meno. Katiba ndio huo utaratibu wa kulinda maji na chakula chako, ili mtu mwingine asije akaja kukunyang'anya na kama atakuja utasema 'amevunja utaratibu wako'. Propaganda za wanasiasi wakishaingia madarakani ni nyingi sana. Kwanza, wanaapa kuitunza na kuilinda katiba, na wakishapata madaraka baadaye watasikika wakisema 'katiba haikupi maji au chakula'. Je, bila hiyo katiba wangewezaje kupata hayo madaraka? Katiba ndiyo itakayoweka msingi wa utaratibu wa kulinda mipaka yako, watu wako, rasilimali zako, utatuzi wa migogoro kama itajitokeza na pia na ushirikiano na watu wengine au mataifa mengine. Ukibeza katiba ina maana haya yote wewe unayaapuuzia au hutaki kuweka utaratibu mzuri zaidi wa kulinda mambo uliyonayo. So, ni useless kusema "Katiba mpya tunaitaka, lakini sio kuliko maji, chakula na afya" as if kuna mtu anayetaka katiba mpya amesema "hahitaji maji, chakula na afya".
 
Kichwa cha habari "kinajichanganya". Unapokuwa na maji au chakula, unaweka utaratibu jinsi utakavyoyatumia hayo maji au chakula bila watu wengine kuja kukunyang'anya na kama watakuja utawaambia wamekiuka utaratibu wako. Usipoweka utaratibu wa kutumia hayo maji au chakula, watu wengine nao wataona wana haki ya kuja kuyatumia hayo maji au chakula wanavyotaka wao. Na wakati mwingine wanaweza kukunyang'anya na wewe ukabaki huna maji au chakula na hutaweza kwenda kulalamika sehemu yoyote na kama utaenda kulalamika, utaulizwa: je, ulikuwa na utaratibu wowote wa kulinda maji yako au chakula chako kisitumiwe na watu mwingine? Utasema "hapana". Na huko ulikoenda kulalamika watakwambia "ondoka hapa mara moja, unatupotezea muda wetu". Na hapo utaanza kulia na kusaga meno. Katiba ndio huo utaratibu wa kulinda maji na chakula chako, ili mtu mwingine asije akaja kukunyang'anya na kama atakuja utasema 'amevunja utaratibu wako'. Propaganda za wanasiasi wakishaingia madarakani ni nyingi sana. Kwanza, wanaapa kuitunza na kuilinda katiba, na wakishapata madaraka baadaye watasikika wakisema 'katiba haikupi maji au chakula'. Je, bila hiyo katiba wangewezaje kupata hayo madaraka? Katiba ndiyo itakayoweka msingi wa utaratibu wa kulinda mipaka yako, watu wako, rasilimali zako, utatuzi wa migogoro kama itajitokeza na pia na ushirikiano na watu wengine au mataifa mengine. Ukibeza katiba ina maana haya yote wewe unayaapuuzia au hutaki kuweka utaratibu mzuri zaidi wa kulinda mambo uliyonayo. So, ni useless kusema "Katiba mpya tunaitaka, lakini sio kuliko maji, chakula na afya" as if kuna mtu anayetaka katiba mpya amesema "hahitaji maji, chakula na afya".
Bara zima la Afrika hasa chini ya jangwa la sahara hakuna nchi yenye nafuu kiuchumi, unataka kusema nchi zote hizi zina shida ya katiba zao? Tuache kuwadanganya wananchi kwa maslahi yetu binafsi, shida yetu sio Katiba mpya bali masoko, mitaji na teknolojia muhimu kuthibitiwa na nchi za Magharibi. Hatuna fedha, hatuna masoko huru ya kuuza bidhaa zetu, hatuna teknolojia ya kulimaa, kuchimba, kuvua, kufuga na kuchakata mazao yetu. Mifumo yote inaendeshwa na kuuzwa kwa fedha za kigeni (Dola na Euro) ambazo hatuna. Nchi za Magharibi zimehodhi michakato yetu ya uchaguzi na kuchaguana, tunapandikiziwa vibaraka wao na kutuulia viongozi wetu. Ni upuuzi mtupu kupigana na kuumizana eti kwasababu ya katiba mpya. Katiba sio tatizo letu la msingi, bali mifumo kandamizi ya kidunia.

Kiongozi wa Afrika ambae hatakuwa na maslahi kwa nchi za Magharibi hatachaguliwa na kama akichaguliwa hatadumu na kama akidumu basi kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe au vikundi feki vya waasi.
 
Bara zima la Afrika hasa chini ya jangwa la sahara hakuna nchi yenye nafuu kiuchumi, unataka kusema nchi zote hizi zina shida ya katiba zao? Tuache kuwadanganya wananchi kwa maslahi yetu binafsi, shida yetu sio Katiba mpya bali masoko, mitaji na teknolojia muhimu kuthibitiwa na nchi za Magharibi. Hatuna fedha, hatuna masoko huru ya kuuza bidhaa zetu, hatuna teknolojia ya kulimaa, kuchimba, kuvua, kufuga na kuchakata mazao yetu. Mifumo yote inaendeshwa na kuuzwa kwa fedha za kigeni (Dola na Euro) ambazo hatuna. Nchi za Magharibi zimehodhi michakato yetu ya uchaguzi na kuchaguana, tunapandikiziwa vibaraka wao na kutuulia viongozi wetu. Ni upuuzi mtupu kupigana na kuumizana eti kwasababu ya katiba mpya. Katiba sio tatizo letu la msingi, bali mifumo kandamizi ya kidunia.

Kiongozi wa Afrika ambae hatakuwa na maslahi kwa nchi za Magharibi hatachaguliwa na kama akichaguliwa hatadumu na kama akidumu basi kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe au vikundi feki vya waasi.
Hii ndiyo aina ya "reasoning" inayoleta shida. Umesema hakuna nchi yenye unafuu wa uchumi kusini mwa Jangwa la Sahara. Je, ni kwa sababu ya Katiba? Yaani kwamba kuwa na Katiba nzuri au bora ndiko kumefanya hizi nchi zisiwe na maendeleo au kuwa na katiba zenye matatizo (ambazo viongozi wamejirundikia powers) ndiko kumechangia kukosa njia ya kuwaajibisha wanaosababisha hayo matatizo?
 
Kwa hiyo unaafiki tufanye training mpya kwa miaka 3 kabla ya kuandika nyingine.
Kama nia ni nzuri kweli miaka mitatu sio mingi!
Lakini je baada ya miaka mitatu hakutakuwa na Abracadabra zingine ??!
 
Bara zima la Afrika hasa chini ya jangwa la sahara hakuna nchi yenye nafuu kiuchumi, unataka kusema nchi zote hizi zina shida ya katiba zao? Tuache kuwadanganya wananchi kwa maslahi yetu binafsi, shida yetu sio Katiba mpya bali masoko, mitaji na teknolojia muhimu kuthibitiwa na nchi za Magharibi. Hatuna fedha, hatuna masoko huru ya kuuza bidhaa zetu, hatuna teknolojia ya kulimaa, kuchimba, kuvua, kufuga na kuchakata mazao yetu. Mifumo yote inaendeshwa na kuuzwa kwa fedha za kigeni (Dola na Euro) ambazo hatuna. Nchi za Magharibi zimehodhi michakato yetu ya uchaguzi na kuchaguana, tunapandikiziwa vibaraka wao na kutuulia viongozi wetu. Ni upuuzi mtupu kupigana na kuumizana eti kwasababu ya katiba mpya. Katiba sio tatizo letu la msingi, bali mifumo kandamizi ya kidunia.

Kiongozi wa Afrika ambae hatakuwa na maslahi kwa nchi za Magharibi hatachaguliwa na kama akichaguliwa hatadumu na kama akidumu basi kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe au vikundi feki vya waasi.
Paragraph ya mwisho ina Maneno mazito sana !!
Na mimi nimekuwa nikiamini siku zote kwamba hata hii demokrasia tuliyoletewa ni kwa maslahi yao wazungu ili viongozi wawe wanawaza zaidi uchaguzi uliopo mbele yao badala ya kuwaza maendeleo makubwa ya Nchi zao !!
 
Hii ndiyo aina ya "reasoning" inayoleta shida. Umesema hakuna nchi yenye unafuu wa uchumi kusini mwa Jangwa la Sahara. Je, ni kwa sababu ya Katiba? Yaani kwamba kuwa na Katiba nzuri au bora ndiko kumefanya hizi nchi zisiwe na maendeleo au kuwa na katiba zenye matatizo (ambazo viongozi wamejirundikia powers) ndiko kumechangia kukosa njia ya kuwaajibisha wanaosababisha hayo matatizo?
China Chama tawala na Rais wamejirundikia madaraka lakini uchumi wao unaenda vizuri, kule nchi za kiarabu wafalme wamejirundia power lakini uchumi wao unaenda vizuri na Wala hawana uchaguzi. Lakini Katiba zao hazina uvumilivu na wezi wa Mali ya umma hata awe nani.

Hii Ina maana kuwa tatizo letu sio Katiba Wala tume ya uchaguzi bali wizi na ubadhilifu wa viongozi wetu na mifumo kandamizi wa uchumi duniani.

Shida yetu sio tume huru ya uchaguzi kwakuwa tuna ushahidi kuwa Kuna wagombea wa upinzani ambao walishinda na kutangazwa na tume lakini wakaenda CCM kwenda kuunga juhudi. Shida hapa sio tume bali elimu ndogo na umaskini.
 
Kama nia ni nzuri kweli miaka mitatu sio mingi!
Lakini je baada ya miaka mitatu hakutakuwa na Abracadabra zingine ??!
Vyama vya upinzani UKAWA ndio waliokwamisha upatikanaji wa Katiba kwa kulazimisha serikali 3 badala ya 1 au 2. Hii Ina maana kuwa mchAkato utakwamia palepale tena pa muundo wa serikali kama watu watakuwa na misimamo Yao juu ya muundo wa serikali.
 
Paragraph ya mwisho ina Maneno mazito sana !!
Na mimi nimekuwa nikiamini siku zote kwamba hata hii demokrasia tuliyoletewa ni kwa maslahi yao wazungu ili viongozi wawe wanawaza zaidi uchaguzi uliopo mbele yao badala ya kuwaza maendeleo makubwa ya Nchi zao !!
Mimi nadhani hatujasoma vizuri tumetoka wapi, tuko wapi na tunaenda wapi na ndiyo maana tunajidanganya. Soma, pamoja na historia, social and cultural anthropology. Utaweza ku'grasp' binadamu tumetoka wapi na tunadenda wapi. Dunia ya leo huwezi kurudi tena nyuma, utageuka jiwe. Sasa hivi tuko kwenye fourth industrial revolution (4IR), ambayo imeleta mageuzi ambayo hayajawahi kutokea huko nyuma na mtu ambaye atafikiri ni mambo ya wazungu atabaki "akilia na kusaga meno". Kinachotakiwa ni kuwa na 21st century skills, ambazo ni pamoja na kubobea kwenye teknolojia ya kisasa. Vinginevyo you will be redudant in the future. Hata demokrasia unayoisemea, kama wewe bado mentality yako ni monolithic system labda kwa vile una masilahi nayo utapata shida sana maana hakuna mtu ambaye anataka awe dictated what to think, what to like and what to do.
China Chama tawala na Rais wamejirundikia madaraka lakini uchumi wao unaenda vizuri, kule nchi za kiarabu wafalme wamejirundia power lakini uchumi wao unaenda vizuri na Wala hawana uchaguzi. Lakini Katiba zao hazina uvumilivu na wezi wa Mali ya umma hata awe nani.

Hii Ina maana kuwa tatizo letu sio Katiba Wala tume ya uchaguzi bali wizi na ubadhilifu wa viongozi wetu na mifumo kandamizi wa uchumi duniani.

Shida yetu sio tume huru ya uchaguzi kwakuwa tuna ushahidi kuwa Kuna wagombea wa upinzani ambao walishinda na kutangazwa na tume lakini wakaenda CCM kwenda kuunga juhudi. Shida hapa sio tume bali elimu ndogo na umaskini.
Katiba yetu ya sasa ina baadhi ya vipengele ambavyo vina matatizo. Watalaamu mbalimbali wa sheria huko nyuma wameyaorodhosha hivyo vipengele na kuonyesha jinsi vinavyoathiri haki za kikatiba. Na tunaposema Katiba ya sasa ina matatizo hatuangalii tu hali ya uchumi wa nchi kwamba unaenda vizuri, tunaangalia pia haki za raia na jinsi wanavyoweza kuzidai na kuzilinda. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema "maendeleo ni kupanuka kwa uchumi na uhuru wa watu". Kama uchumi ukipanuka na uhuru hakuna ni maendeleo ya aina gani hayo? Na maendeleo hayawezi kuwa kikwazo kwa uhuru wa watu na uhuru wa watu hauwezi pia kuwa kikwazo kwa maendeleo ya nchi. Maendeleo na uhuru wa watu 'co-exist' and 'are not mutually exclusive of each other'.

Haki zilizomo kwenye Katiba yetu "are not entrenched". Zinaweza kubadilishwa siku yoyote na mara nyingi iwezekanavyo kadiri ya mapenzi ya walio madarakani. Baadhi ya nchi haki zilizomo kwenye katiba ziko "entrenched". Mfano, Katiba ya Namibia ya mwaka 2010 ina kipengele (Article 131: Entrenchment of Fundamental Rights and Freedoms) kinachosema: "No repeal or amendment of any of the provisions of Chapter 3 hereof, in so far as such repeal or amendment diminishes or detracts from the fundamental rights and freedoms contained and defined in that Chapter, shall be permissible under this Constitution, and no such purported repeal or amendment shall be valid or have any force or effect." Chapter 3 inahusu "Fundamental Human Rights and Freedoms". Kwenye katiba yetu hakuna kitu kama hicho. Ilitungwa wakati wa chama kimoja na haindani na mazingira na mahitaji ya sasa ya Watanzania. Na kwa vile tuna Katiba, inafaa tuwe na Katiba inayoendana na mazingira ya sasa na siyo bora Katiba inayotoa mianya ya 'abuse of power' na inayotegemea 'goodwill' ya kiongozi aliye madarakani.

Kuhusu suala la uchumi si kweli kwamba utawala wa nchi ukijirundikia madaraka basi hiyo nchi inakuwa ya maendeleo. Ni kama kusema familia ambayo watoto wanasoma kwa viboko basi watoto hao wanafaulu mitihani na inaweza kutokea wakafaulu. Unaweza kuwa na mifano ya hizo familia. Lakini inawezekana pia kusoma bila viboko na ukafaulu mitihani na kama kuna kuchagua kati ya kusoma kwa viboko ili ufaulu mitihani na kusoma kwa uhuru na kufaulu mitihani sidhani kama kuna mtu atachagua achapwe viboko ili afaulu mitihani. Katika karne hii ya sasa hatutaki kupelekwapelekwa. Tunataka tuishi kwenye nchi ambayo viongozi wanatambua wajibu wao na wanatambua kwamba wako madarakani kwa sababu wamechaguliwa na wananchi kwa lengo la kuwatumikia na si kwa lengo kwamba kutumikiwa na uongozi wao una kikomo - muda wao ukiisha wanawapisha wengine. Hatutaki uongozi uwe wa kurithi au wa baadhi ya watu kuwa wanajichagua wao wenyewe.

Umesema baadhi ya nchi ambazo viongozi wamejirundikia madaraka ziko vizuri kiuchumi. Na mimi nimetafuta kuona kama ulichokisema ni kweli au la. Hapa nakuletea listi ya nchi 25 ambazo zina nguvu kiuchumi duniani na utahesabu mwenyewe kama kati ya hizo nyingi ni zile ambazo viongozi wao wamejirundikia madaraka au la. Na maswali ya kutuongoza kupima hizi nchi ni je, nchi inakuwa ya maendeleo kwa sababu haina katiba (haina sera/sheria)? Je, ni kwa sababu ina katiba mbovu (sera/sheria mbovu)? Je, ni kwa sababu ina katiba nzuri (sera/sheria nzuri)?

The top 25 economies in the world​


1. United States
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $23.00 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $23.00 trillion
2021 GDP Growth: 5.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $69,287

The United States’ economy is the largest in the world as measured by nominal GDP. The biggest contributor to that GDP is the economy’s service sector, which includes finance, real estate, insurance, professional and business services, and healthcare. The United States has a relatively open economy, facilitating flexible business investment and foreign direct investment in the country. It is the world’s dominant geopolitical power and is able to maintain a large external national debt as the producer of the world’s primary reserve currency. The U.S. economy is at the forefront of technology in many industries, but it faces rising threats in the form of economic inequality, rising healthcare and social safety net costs, and deteriorating infrastructure.


2. China
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $17.73 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $27.31 trillion
2021 GDP Growth: 8.1%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $12,556

China has the world’s second-largest nominal GDP in current dollars and the largest in terms of PPP. With annual growth that consistently outpaces that of the United States, China may be on track to become the largest economy in the world by nominal GDP in the years to come. As China has progressively opened its economy over the past four decades, economic development and living standards have greatly improved. As the government has gradually phased out collectivized agriculture and industry, allowed greater flexibility for market prices, and increased the autonomy of businesses, foreign and domestic trade and investment have taken off. Coupled with an industrial policy that encourages domestic manufacturing, this has made China the world’s number one exporter. Despite these advantages, China faces some significant challenges, such as a rapidly aging population and severe environmental degradation.

3. Japan
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $4.94 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $5.40 trillion
2021 GDP Growth: 1.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $39,285

Japan is the third-largest economy in the world. Its GDP crossed the $5 trillion mark in 2018. Strong cooperation between government and industry and advanced technological know-how have built Japan’s manufacturing and export-oriented economy. Many major Japanese businesses are organized as networks of interlinked companies known as keiretsu. After the Lost Decade of the 1990s and the impact of the global Great Recession, Japan has seen an uptick in growth in recent years under the policies of former Prime Minister Shinzo Abe; however, Japan is poor in natural resources and dependent on energy imports, especially after the general shutdown of its nuclear power industry following the 2011 Fukushima disaster. Japan has also struggled with a rapidly aging population.


4. Germany
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $4.22 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $4.82 trillion
2021 GDP Growth: 2.9%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $50,801

Fourth among world economies is Germany. Germany is also Europe’s largest economy. Germany is a top exporter of vehicles, machinery, chemicals, and other manufactured goods and has a highly skilled workforce. Germany, however, faces some demographic challenges to its economic growth. Its low fertility rate makes replacing its aging workforce more difficult, and its high levels of net immigration strain its social welfare system.

5. The United Kingdom
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $3.19 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.34 trillion
2021 GDP Growth: 7.4%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $47,334

The United Kingdom has the fifth-largest economy in the world. The U.K. economy is driven by its large service sector, particularly in finance, insurance, and business services. The nation’s extensive trading relationship with continental Europe has been greatly complicated by the resolution of Brexit subsequent to the 2016 vote to leave the European Union (EU). As of Jan. 31, 2020, the U.K. is officially not a member of the EU, but contentious negotiations over trade relations between the two are ongoing.

6. India
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $3.17 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $10.22 trillion
2021 GDP Growth: 8.9%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $2,277

India is the sixth-largest economy in the world. Because of its large population, India has the lowest per-capita GDP on this list. India’s economy is a mixture of traditional village farming and handicrafts alongside booming modern industry and mechanized agriculture. India is a major exporter of technology services and business outsourcing, and the service sector makes up a large share of its economic output. Liberalization of India’s economy since the 1990s has boosted economic growth, but inflexible business regulation, widespread corruption, and persistent poverty pose challenges to ongoing expansion.

7. France
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $2.94 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.42 trillion
2021 GDP Growth: 7.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $43,518

France has the seventh-largest GDP in the world. Tourism is an important industry, and France receives the most visitors of any country each year. France is a mixed economy that has many private and semi-private businesses across a diverse range of industries. However, there is still heavy government involvement in certain key sectors, such as defense and electrical power generation. The French government’s commitment to economic intervention in favor of social equality also creates some challenges for the economy, such as a rigid labor market with high unemployment and a large public debt relative to other advanced economies.

8. Italy
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $2.10 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.71 trillion
2021 GDP Growth: 6.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $35,551

The world’s eighth-largest GDP belongs to Italy. It is also the eurozone’s third-largest economy. Italy’s economy and level of development vary notably by region, with a more developed, industrial economy in the north and underdeveloped southern regions. Italy faces persistently sluggish economic growth due to a very high public debt, an inefficient court system, a weak banking sector, an inefficient labor market with chronically high youth unemployment, and a large underground economy.


9. Canada
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.99 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.99 trillion
2021 GDP Growth: 4.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $52,051

Canada is the world’s ninth-largest economy. Canada has a well-developed energy extraction sector, with the world’s third-largest proven oil reserves. Canada also has impressive manufacturing and service sectors, based mostly in urban areas near the U.S. border. Canada’s free trade relationship with the United States means that three-quarters of Canadian exports head to the U.S. market each year. Canada’s close ties to the United States mean that it has developed largely in parallel to the world’s largest economy.

10. South Korea
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.80 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.43 trillion
2021 GDP Growth: 4.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $34,757

Rounding out the top 10 economies in the world by GDP is South Korea. South Korea’s economy is a 20th-century success story that is today firmly established as an advanced, industrial economy. Known for its strategy of export-led growth and the dominance of its chaebols (large business conglomerates), South Korea in recent decades has built a network of free trade agreements covering 58 countries that account for more than three-quarters of the world’s GDP. It is a major producer and exporter of electronics, telecommunications equipment, and motor vehicles. With this progress, however, South Korea also now faces some of the same challenges that many other advanced economies are dealing with, including slower growth and an aging workforce.

11. Russia
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.78 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $4.78 trillion
2021 GDP Growth: 4.8%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $12,172

Russia is the world’s 11th largest economy. Russia has moved toward a more market-based economy over the 30 years since the collapse of the Soviet Union, but government ownership of and intervention in business is still common. As a leading exporter of oil and gas, as well as other minerals and metals, Russia’s economy is highly sensitive to swings in world commodity prices. In 2022, Russia launched an invasion against its neighbor, Ukraine. As a result of its actions, the country was hit by many sanctions and other economic punishments, which are expected to greatly hurt its economy in 2022 and beyond.

12. Brazil
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.61 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.44 trillion
2021 GDP Growth: 4.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $7,518

Brazil is the 12th largest economy in the world and the largest in South America. Brazil’s diversified economy runs the gamut from heavy industries, such as aircraft and automotive production, to mineral and energy resource extraction. It also has a large agricultural sector that makes it a major exporter of coffee and soybeans. Brazil emerged from a severe recession in 2017 and suffered a series of high-level corruption scandals along the way. In the wake of these events, Brazil instituted a series of major economic reforms intended to rein in public spending and debt, invest in energy infrastructure, lower barriers to foreign investment, and improve labor market conditions.

13. Australia
2021 Nominal GDP in Current U.S.: $1.54 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.44 trillion
2021 GDP Growth: 1.5%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $59,934

Australia is the 13th largest economy in the world. Australia combines a relatively open domestic economy with an extensive network of free trade agreements with trading partners all around the Asia-Pacific Rim. This works to the advantage of Australia’s abundant natural resources and agricultural export industries; however, it has also left Australia vulnerable to swings in world commodity demand and prices in energy (coal and natural gas), metals (iron ore and gold), and agricultural products (beef and sheep products).

14. Spain
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.28 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.79 trillion
2021 GDP Growth: 5.1%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $27,056

Spain's GDP makes it the 14th largest economy in the world. Spain’s economy suffered severely during the Great Recession, with unemployment soaring above 25% and a rising national debt despite attempts at fiscal austerity. It has recovered in recent years as moderating inflation and labor costs have encouraged foreign investment and increased the competitiveness of Spain’s exports, including manufactured machinery and foodstuffs. However, political instability has hindered the government’s ability to sustain further economic reforms.

15. Mexico
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.29 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.61 trillion
2021 GDP Growth: 4.8%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $9,926

Mexico is the 15th largest economy in the world. Over the past three decades, Mexico has emerged as a manufacturing economy under a series of free trade agreements with the United States, Canada, and 44 other countries. Many major U.S. manufacturers have integrated supply chains with counterparts or operations in Mexico. Mexico supports a variety of exports, including consumer electronics, vehicles, and auto parts, as well as petroleum and agricultural products. The international drug trade constitutes an ongoing challenge to Mexico’s development, contributing directly to violence and corruption in the country. Weak legal institutions have made it difficult to regulate and integrate the large informal economy that employs more than half of Mexico’s workforce.

16. Indonesia
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.19 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.57 trillion
2021 GDP Growth: 3.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $4,291

Indonesia is the world’s 16th largest economy. Indonesia’s economy is the largest economy in Southeast Asia and is based largely on commodity export industries. Major exports include coal and petroleum products, in addition to agricultural commodities suitable for industrial use, such as rubber and palm oil. Indonesia's budget deficit for 2023 is targeted at 2.81% to 2.95% of GDP; however, regional inequality, lack of infrastructure, and governmental corruption remain problems for Indonesia’s rising economy.

17. Netherlands
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.03 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.12 trillion
2021 GDP Growth: 5.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $58,061

The Netherlands stands as the 17th largest economy in the world. The Netherlands is a major commercial transportation hub, with some industrial manufacturing as well as petroleum extraction and processing. It has a highly developed agricultural sector and is the second-largest agricultural exporter in the world. The Netherlands has a large financial services sector, with assets four times the size of Dutch GDP.

18. Saudi Arabia
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $833.5 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.75 trillion
2021 GDP Growth: 3.2%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $23,585

Saudi Arabia is the 18th largest economy in the world. The Saudi economy is heavily based on oil and is the world’s largest oil exporter. The Saudi government owns and operates much of the country’s major industry through its oil company, Aramco; however, with global environmental concerns driving increasing interest in developing non-fossil fuel energy sources, the Saudis are looking to diversify their economy by encouraging more private investment in healthcare and other service industries. The Saudi government has also begun to at least partially privatize Aramco, listing the company on the Saudi Stock Exchange through an initial public offering (IPO) in December 2019.

19. Turkey
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $815.27 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.60 trillion
2021 GDP Growth: 11.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $9,586

Turkey is the 19th largest economy in the world. Turkey has a largely open economy, with large industrial and service sectors. Major industries include electronics, petrochemicals, and automotive production. Political turmoil and involvement in regional armed conflicts have led to some financial and currency market instability and uncertainty about Turkey’s economic future in recent years.

20. Switzerland
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $812.90 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $672.54 billion
2021 GDP Growth: 3.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $93,457

The Alpine nation of Switzerland is the 20th largest economy in the world. Switzerland has a large service sector, including financial services, and a high-tech manufacturing sector served by a highly skilled labor force. High-quality legal, political, and economic institutions and solid physical infrastructure set the stage for a productive economy with one of the highest per-capita GDPs in the world.

21. Poland
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $674.05 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.42 trillion
2021 GDP Growth: 5.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $17,840

Poland is the 21st largest economy in the world. Heavy industry, including iron and steel production, machinery manufacturing, shipbuilding, and coal mining, is an important part of Poland’s economy. Poland’s business-friendly climate and sound macroeconomic policies allowed it to be the only EU country to avoid recession in the aftermath of the 2008 financial crisis. However, inefficient legal and regulatory structures and an aging population are challenges for Poland’s ongoing growth in the future.

22. Sweden
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $627.43 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $617.90 billion
2021 GDP Growth: 4.8%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $60,239

Sweden is the 22nd largest economy in the world. Sweden is a competitive economy, with a high standard of living and a mix of free enterprise alongside a generous social welfare state. Sweden’s manufacturing economy relies heavily on foreign exports, including machinery, motor vehicles, and telecommunications. Sweden has taken in a large number of new immigrants and thus faces a short- to medium-term challenge with integrating them into Swedish society and its labor market.

23. Belgium
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $599.88 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $682.88 billion
2021 GDP Growth: 6.2%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $51,767

Belgium is the 23rd largest world economy. Belgium is a trade and transport hub that has a diversified economy with a mix of services, manufacturing, and high-tech industry. Because of its deep integration with the rest of the European economy, Belgium is highly sensitive to swings in the overall economic performance of its neighbors. Belgium faces a high public debt burden relative to its GDP, which can constitute an obstacle to growth.

24. Thailand
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $505.98 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.34 trillion
2021 GDP Growth: 1.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $7,233

Thailand is the 24th largest economy in the world. The Thai economy enjoys relatively high-quality infrastructure, in addition to pro-free-enterprise and pro-investment policies. Thailand is highly dependent on exports, which account for about two-thirds of its GDP. Its main exports include electronics, agricultural products, motor vehicles and parts, and food products. Thailand also has a substantial international tourism industry. Its agricultural sector makes up approximately 10% of its economy but employs about 30% of its workers.

25. Ireland
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $498.56 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $535.28 billion
2021 GDP Growth: 13.5%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $99,152

Last, but certainly not least is Ireland, the 25th largest world economy. A strong component of Ireland's economy is its export sector from foreign multinational corporations. Ireland has a low corporate tax of 12.5% and a pool of high-tech workers, making it an appealing place for foreign companies to set up shop and attractive for business investment. Due to international pressure, Ireland will implement more stringent tax laws. Its economy is supported by a strong export sector and job growth.

How do you calculate GDP?​

Gross domestic product (GDP) is calculated as consumption (consumer spending) + government spending + investment (business spending) + net exports (exports - minus imports).

What are the top 5 largest economies?​

The top-five largest economies in the world are the U.S., China, Japan, Germany, and the U.K., as measured by GDP.2

What country has the strongest economy?​

The U.S. has the strongest economy with the largest GDP in the world at $20.95 trillion.4
The World Bank. “GDP (Current US$) — United States.”

(Source: The Top 25 Economies in the World).
 
Mimi nadhani hatujasoma vizuri tumetoka wapi, tuko wapi na tunaenda wapi na ndiyo maana tunajidanganya. Soma, pamoja na historia, social and cultural anthropology. Utaweza ku'grasp' binadamu tumetoka wapi na tunadenda wapi. Dunia ya leo huwezi kurudi tena nyuma, utageuka jiwe. Sasa hivi tuko kwenye fourth industrial revolution (4IR), ambayo imeleta mageuzi ambayo hayajawahi kufanyika huko nyuma na mtu ambaye atafikiri ni mambo ya wazungu atabaki akilia na kusaga meno. Kinachotakiwa ni kuwa na 21st century skills, ambazo ni pamoja na kubobea kwenye teknolojia ya kisasa. Vinginevyo you will be redudant in the future. Hata demokrasia unayoisemea, kama wewe bado mentality yako ni monolithic sysyetem labda kwa vile una masilahi nayo utapata shida sana maana hakuna mtu ambaye anataka awe dictated what to think, what to like and what to do.

Katiba yetu ya sasa ina baadhi ya vipengele ambavyo vina matatizo. Watalaamu mbalimbali wa sheria huko nyuma wameyaorodhosha hivyo vipengele na kuonyesha jinsi vinavyoathiri haki za kikatiba. Na tunaposema Katiba ya sasa ina matatizo hatuangalii tu hali ya uchumi wa nchi kwamba unaenda vizuri, tunaangalia pia haki za raia na jinsi wanavyoweza kuzidai na kuzilinda. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema "maendeleo ni kupanuka kwa uchumi na uhuru wa watu". Kama uchumi ukipanuka na uhuru hakuna ni maendeleo ya aina gani hayo? Na maendeleo hayawezi kuwa kikwazo kwa uhuru wa watu na uhuru wa watu hauwezi pia kuwa kikwazo kwa maendeleo ya nchi. Maendeleo na uhuru wa watu 'co-exist' and 'are not mutually exclusive of each other'.

Haki zilizomo kwenye Katiba yetu "are not entrenched". Zinaweza kubadilishwa siku yoyote na mara nyingi iwezekanavyo kadiri ya mapenzi ya walio madarakani. Baadhi ya nchi haki zilizomo kwenye katiba ziko "entrenched". Mfano, Katiba ya Namibia ya mwaka 2010 ina kipengele (Article 131: Entrenchment of Fundamental Rights and Freedoms) kinachosema: "No repeal or amendment of any of the provisions of Chapter 3 hereof, in so far as such repeal or amendment diminishes or detracts from the fundamental rights and freedoms contained and defined in that Chapter, shall be permissible under this Constitution, and no such purported repeal or amendment shall be valid or have any force or effect." Chapter 3 inahusu "Fundamental Human Rights and Freedoms". Kwenye katiba yetu hakuna kitu kama hicho. Ilitungwa wakati wa chama kimoja na haindani na mazingira na mahitaji ya sasa ya Watanzania. Na kwa vile tuna Katiba, inafaa tuwe na Katiba inayoendana na mazingira ya sasa na siyo bora Katiba inayotoa mianya ya 'abuse of power' na inayotegemea 'goodwill' ya kiongozi aliye madarakani.

Kuhusu suala la uchumi si kweli kwamba utawala wa nchi ukijirundikia madaraka basi hiyo nchi inakuwa ya maendeleo. Ni kama kusema familia ambayo watoto wanasoma kwa viboko basi watoto hao wanafaulu mitihani na inaweza kutokea wakafaulu. Unaweza kuwa na mifano ya hizo familia. Lakini inawezekana pia kusoma bila viboko na ukafaulu mitihani na kama kuna kuchagua kati ya kusoma kwa viboko ili ufaulu mitihani na kusoma kwa uhuru na kufaulu mitihani sidhani kama kuna mtu atachagua achapwe viboko ili afaulu mitihani. Katika karne hii ya sasa hatutaki kupelekwapelekwa. Tunataka tuishi kwenye nchi ambayo viongozi wanatambua wajibu wao na wanatambua kwamba wako madarakani kwa sababu wamechaguliwa na wananchi kwa lengo la kuwatumikia na si kwa lengo kwamba kutumikiwa na uongozi wao una kikomo - muda wao ukiisha wanawapisha wengine. Hatutaki uongozi uwe wa kurithi au wa baadhi ya watu kuwa wanajichagua wao wenyewe.

Umesema baadhi ya nchi ambazo viongozi wamejirundikia madaraka ziko vizuri kiuchumi. Na mimi nimetafuta kuona kama ulichokisema ni kweli au la. Hapa nakuletea listi ya nchi 25 ambazo zina nguvu kiuchumi duniani na utahesabu mwenyewe kama kati ya hizo nyingi ni zile ambazo viongozi wao wamejirundikia madaraka au la. Na maswali ya kutuongoza kupima hizi nchi ni je, nchi inakuwa ya maendeleo kwa sababu haina katiba (haina sera/sheria)? Je, ni kwa sababu ina katiba mbovu (sera/sheria mbovu)? Je, ni kwa sababu ina katiba nzuri (sera/sheria nzuri)?

The top 25 economies in the world​


1. United States
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $23.00 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $23.00 trillion
2021 GDP Growth: 5.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $69,287

The United States’ economy is the largest in the world as measured by nominal GDP. The biggest contributor to that GDP is the economy’s service sector, which includes finance, real estate, insurance, professional and business services, and healthcare. The United States has a relatively open economy, facilitating flexible business investment and foreign direct investment in the country. It is the world’s dominant geopolitical power and is able to maintain a large external national debt as the producer of the world’s primary reserve currency. The U.S. economy is at the forefront of technology in many industries, but it faces rising threats in the form of economic inequality, rising healthcare and social safety net costs, and deteriorating infrastructure.


2. China
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $17.73 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $27.31 trillion
2021 GDP Growth: 8.1%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $12,556

China has the world’s second-largest nominal GDP in current dollars and the largest in terms of PPP. With annual growth that consistently outpaces that of the United States, China may be on track to become the largest economy in the world by nominal GDP in the years to come. As China has progressively opened its economy over the past four decades, economic development and living standards have greatly improved. As the government has gradually phased out collectivized agriculture and industry, allowed greater flexibility for market prices, and increased the autonomy of businesses, foreign and domestic trade and investment have taken off. Coupled with an industrial policy that encourages domestic manufacturing, this has made China the world’s number one exporter. Despite these advantages, China faces some significant challenges, such as a rapidly aging population and severe environmental degradation.

3. Japan
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $4.94 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $5.40 trillion
2021 GDP Growth: 1.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $39,285

Japan is the third-largest economy in the world. Its GDP crossed the $5 trillion mark in 2018. Strong cooperation between government and industry and advanced technological know-how have built Japan’s manufacturing and export-oriented economy. Many major Japanese businesses are organized as networks of interlinked companies known as keiretsu. After the Lost Decade of the 1990s and the impact of the global Great Recession, Japan has seen an uptick in growth in recent years under the policies of former Prime Minister Shinzo Abe; however, Japan is poor in natural resources and dependent on energy imports, especially after the general shutdown of its nuclear power industry following the 2011 Fukushima disaster. Japan has also struggled with a rapidly aging population.


4. Germany
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $4.22 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $4.82 trillion
2021 GDP Growth: 2.9%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $50,801

Fourth among world economies is Germany. Germany is also Europe’s largest economy. Germany is a top exporter of vehicles, machinery, chemicals, and other manufactured goods and has a highly skilled workforce. Germany, however, faces some demographic challenges to its economic growth. Its low fertility rate makes replacing its aging workforce more difficult, and its high levels of net immigration strain its social welfare system.

5. The United Kingdom
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $3.19 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.34 trillion
2021 GDP Growth: 7.4%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $47,334

The United Kingdom has the fifth-largest economy in the world. The U.K. economy is driven by its large service sector, particularly in finance, insurance, and business services. The nation’s extensive trading relationship with continental Europe has been greatly complicated by the resolution of Brexit subsequent to the 2016 vote to leave the European Union (EU). As of Jan. 31, 2020, the U.K. is officially not a member of the EU, but contentious negotiations over trade relations between the two are ongoing.

6. India
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $3.17 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $10.22 trillion
2021 GDP Growth: 8.9%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $2,277

India is the sixth-largest economy in the world. Because of its large population, India has the lowest per-capita GDP on this list. India’s economy is a mixture of traditional village farming and handicrafts alongside booming modern industry and mechanized agriculture. India is a major exporter of technology services and business outsourcing, and the service sector makes up a large share of its economic output. Liberalization of India’s economy since the 1990s has boosted economic growth, but inflexible business regulation, widespread corruption, and persistent poverty pose challenges to ongoing expansion.

7. France
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $2.94 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.42 trillion
2021 GDP Growth: 7.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $43,518

France has the seventh-largest GDP in the world. Tourism is an important industry, and France receives the most visitors of any country each year. France is a mixed economy that has many private and semi-private businesses across a diverse range of industries. However, there is still heavy government involvement in certain key sectors, such as defense and electrical power generation. The French government’s commitment to economic intervention in favor of social equality also creates some challenges for the economy, such as a rigid labor market with high unemployment and a large public debt relative to other advanced economies.

8. Italy
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $2.10 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.71 trillion
2021 GDP Growth: 6.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $35,551

The world’s eighth-largest GDP belongs to Italy. It is also the eurozone’s third-largest economy. Italy’s economy and level of development vary notably by region, with a more developed, industrial economy in the north and underdeveloped southern regions. Italy faces persistently sluggish economic growth due to a very high public debt, an inefficient court system, a weak banking sector, an inefficient labor market with chronically high youth unemployment, and a large underground economy.


9. Canada
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.99 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.99 trillion
2021 GDP Growth: 4.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $52,051

Canada is the world’s ninth-largest economy. Canada has a well-developed energy extraction sector, with the world’s third-largest proven oil reserves. Canada also has impressive manufacturing and service sectors, based mostly in urban areas near the U.S. border. Canada’s free trade relationship with the United States means that three-quarters of Canadian exports head to the U.S. market each year. Canada’s close ties to the United States mean that it has developed largely in parallel to the world’s largest economy.

10. South Korea
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.80 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.43 trillion
2021 GDP Growth: 4.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $34,757

Rounding out the top 10 economies in the world by GDP is South Korea. South Korea’s economy is a 20th-century success story that is today firmly established as an advanced, industrial economy. Known for its strategy of export-led growth and the dominance of its chaebols (large business conglomerates), South Korea in recent decades has built a network of free trade agreements covering 58 countries that account for more than three-quarters of the world’s GDP. It is a major producer and exporter of electronics, telecommunications equipment, and motor vehicles. With this progress, however, South Korea also now faces some of the same challenges that many other advanced economies are dealing with, including slower growth and an aging workforce.

11. Russia
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.78 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $4.78 trillion
2021 GDP Growth: 4.8%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $12,172

Russia is the world’s 11th largest economy. Russia has moved toward a more market-based economy over the 30 years since the collapse of the Soviet Union, but government ownership of and intervention in business is still common. As a leading exporter of oil and gas, as well as other minerals and metals, Russia’s economy is highly sensitive to swings in world commodity prices. In 2022, Russia launched an invasion against its neighbor, Ukraine. As a result of its actions, the country was hit by many sanctions and other economic punishments, which are expected to greatly hurt its economy in 2022 and beyond.

12. Brazil
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.61 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.44 trillion
2021 GDP Growth: 4.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $7,518

Brazil is the 12th largest economy in the world and the largest in South America. Brazil’s diversified economy runs the gamut from heavy industries, such as aircraft and automotive production, to mineral and energy resource extraction. It also has a large agricultural sector that makes it a major exporter of coffee and soybeans. Brazil emerged from a severe recession in 2017 and suffered a series of high-level corruption scandals along the way. In the wake of these events, Brazil instituted a series of major economic reforms intended to rein in public spending and debt, invest in energy infrastructure, lower barriers to foreign investment, and improve labor market conditions.

13. Australia
2021 Nominal GDP in Current U.S.: $1.54 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.44 trillion
2021 GDP Growth: 1.5%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $59,934

Australia is the 13th largest economy in the world. Australia combines a relatively open domestic economy with an extensive network of free trade agreements with trading partners all around the Asia-Pacific Rim. This works to the advantage of Australia’s abundant natural resources and agricultural export industries; however, it has also left Australia vulnerable to swings in world commodity demand and prices in energy (coal and natural gas), metals (iron ore and gold), and agricultural products (beef and sheep products).

14. Spain
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.28 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.79 trillion
2021 GDP Growth: 5.1%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $27,056

Spain's GDP makes it the 14th largest economy in the world. Spain’s economy suffered severely during the Great Recession, with unemployment soaring above 25% and a rising national debt despite attempts at fiscal austerity. It has recovered in recent years as moderating inflation and labor costs have encouraged foreign investment and increased the competitiveness of Spain’s exports, including manufactured machinery and foodstuffs. However, political instability has hindered the government’s ability to sustain further economic reforms.

15. Mexico
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.29 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.61 trillion
2021 GDP Growth: 4.8%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $9,926

Mexico is the 15th largest economy in the world. Over the past three decades, Mexico has emerged as a manufacturing economy under a series of free trade agreements with the United States, Canada, and 44 other countries. Many major U.S. manufacturers have integrated supply chains with counterparts or operations in Mexico. Mexico supports a variety of exports, including consumer electronics, vehicles, and auto parts, as well as petroleum and agricultural products. The international drug trade constitutes an ongoing challenge to Mexico’s development, contributing directly to violence and corruption in the country. Weak legal institutions have made it difficult to regulate and integrate the large informal economy that employs more than half of Mexico’s workforce.

16. Indonesia
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.19 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $3.57 trillion
2021 GDP Growth: 3.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $4,291

Indonesia is the world’s 16th largest economy. Indonesia’s economy is the largest economy in Southeast Asia and is based largely on commodity export industries. Major exports include coal and petroleum products, in addition to agricultural commodities suitable for industrial use, such as rubber and palm oil. Indonesia's budget deficit for 2023 is targeted at 2.81% to 2.95% of GDP; however, regional inequality, lack of infrastructure, and governmental corruption remain problems for Indonesia’s rising economy.

17. Netherlands
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $1.03 trillion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.12 trillion
2021 GDP Growth: 5.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $58,061

The Netherlands stands as the 17th largest economy in the world. The Netherlands is a major commercial transportation hub, with some industrial manufacturing as well as petroleum extraction and processing. It has a highly developed agricultural sector and is the second-largest agricultural exporter in the world. The Netherlands has a large financial services sector, with assets four times the size of Dutch GDP.

18. Saudi Arabia
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $833.5 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.75 trillion
2021 GDP Growth: 3.2%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $23,585

Saudi Arabia is the 18th largest economy in the world. The Saudi economy is heavily based on oil and is the world’s largest oil exporter. The Saudi government owns and operates much of the country’s major industry through its oil company, Aramco; however, with global environmental concerns driving increasing interest in developing non-fossil fuel energy sources, the Saudis are looking to diversify their economy by encouraging more private investment in healthcare and other service industries. The Saudi government has also begun to at least partially privatize Aramco, listing the company on the Saudi Stock Exchange through an initial public offering (IPO) in December 2019.

19. Turkey
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $815.27 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $2.60 trillion
2021 GDP Growth: 11.0%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $9,586

Turkey is the 19th largest economy in the world. Turkey has a largely open economy, with large industrial and service sectors. Major industries include electronics, petrochemicals, and automotive production. Political turmoil and involvement in regional armed conflicts have led to some financial and currency market instability and uncertainty about Turkey’s economic future in recent years.

20. Switzerland
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $812.90 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $672.54 billion
2021 GDP Growth: 3.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $93,457

The Alpine nation of Switzerland is the 20th largest economy in the world. Switzerland has a large service sector, including financial services, and a high-tech manufacturing sector served by a highly skilled labor force. High-quality legal, political, and economic institutions and solid physical infrastructure set the stage for a productive economy with one of the highest per-capita GDPs in the world.

21. Poland
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $674.05 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.42 trillion
2021 GDP Growth: 5.7%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $17,840

Poland is the 21st largest economy in the world. Heavy industry, including iron and steel production, machinery manufacturing, shipbuilding, and coal mining, is an important part of Poland’s economy. Poland’s business-friendly climate and sound macroeconomic policies allowed it to be the only EU country to avoid recession in the aftermath of the 2008 financial crisis. However, inefficient legal and regulatory structures and an aging population are challenges for Poland’s ongoing growth in the future.

22. Sweden
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $627.43 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $617.90 billion
2021 GDP Growth: 4.8%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $60,239

Sweden is the 22nd largest economy in the world. Sweden is a competitive economy, with a high standard of living and a mix of free enterprise alongside a generous social welfare state. Sweden’s manufacturing economy relies heavily on foreign exports, including machinery, motor vehicles, and telecommunications. Sweden has taken in a large number of new immigrants and thus faces a short- to medium-term challenge with integrating them into Swedish society and its labor market.

23. Belgium
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $599.88 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $682.88 billion
2021 GDP Growth: 6.2%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $51,767

Belgium is the 23rd largest world economy. Belgium is a trade and transport hub that has a diversified economy with a mix of services, manufacturing, and high-tech industry. Because of its deep integration with the rest of the European economy, Belgium is highly sensitive to swings in the overall economic performance of its neighbors. Belgium faces a high public debt burden relative to its GDP, which can constitute an obstacle to growth.

24. Thailand
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $505.98 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $1.34 trillion
2021 GDP Growth: 1.6%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $7,233

Thailand is the 24th largest economy in the world. The Thai economy enjoys relatively high-quality infrastructure, in addition to pro-free-enterprise and pro-investment policies. Thailand is highly dependent on exports, which account for about two-thirds of its GDP. Its main exports include electronics, agricultural products, motor vehicles and parts, and food products. Thailand also has a substantial international tourism industry. Its agricultural sector makes up approximately 10% of its economy but employs about 30% of its workers.

25. Ireland
2021 Nominal GDP in Current U.S. Dollars: $498.56 billion
2021 PPP Adjusted GDP in Current International Dollars: $535.28 billion
2021 GDP Growth: 13.5%
2021 Nominal GDP Per Capita in Current U.S. Dollars: $99,152

Last, but certainly not least is Ireland, the 25th largest world economy. A strong component of Ireland's economy is its export sector from foreign multinational corporations. Ireland has a low corporate tax of 12.5% and a pool of high-tech workers, making it an appealing place for foreign companies to set up shop and attractive for business investment. Due to international pressure, Ireland will implement more stringent tax laws. Its economy is supported by a strong export sector and job growth (Source: The Top 25 Economies in the World).
😍
Ni kweli kabisa hatuwezi kurudi tulipotoka ni lazima twende mbele!
Swali fikirishi ni kwamba je wakubwa wetu wana utashi wa dhati wa kutupeleka mbele kiuchumi na kisiasa ??!
Bara la Africa lina rasilmali nyingi sana lakini ndio Bara masikini kuliko mabara yote Duniani !

Bara la Afrika ndiko ambako huwa tunawaza na kupanga mikakati ya kushinda uchaguzi by any means !!
Je bado unaamini hii demokrasia tuliyoletewa inatufaa na sisi huku Africa ???!
Je ni wapi katika Afrika ulisikia the Incumbent head of state ameshindwa kwenye uchaguzi mkuu na akakubali kuachia madaraka ??!
Ndipo huwa najiuliza je hii demokrasia tuliyonayo inaweza kweli kutuvusha ??!
 
😍
Ni kweli kabisa hatuwezi kurudi tulipotoka ni lazima twende mbele!
Swali fikirishi ni kwamba je wakubwa wetu wana utashi wa dhati wa kutupeleka mbele kiuchumi na kisiasa ??!
Bara la Africa lina rasilmali nyingi sana lakini ndio Bara masikini kuliko mabara yote Duniani !

Bara la Afrika ndiko ambako huwa tunawaza na kupanga mikakati ya kushinda uchaguzi by any means !!
Je bado unaamini hii demokrasia tuliyoletewa inatufaa na sisi huku Africa ???!
Je ni wapi katika Afrika ulisikia the Incumbent head of state ameshindwa kwenye uchaguzi mkuu na akakubali kuachia madaraka ??!
Ndipo huwa najiuliza je hii demokrasia tuliyonayo inaweza kweli kutuvusha ??!
Wewe unadhani ni demokrasia gani ya kukufaa? Naamini inaweza kutuvusha kwa sababu hatujaielewa au wakubwa hawataki kuielewa kwa sababu inatoa uhuru wa mtu kusema chochote unachokitaka ili mradi huvunji sheria na kama utavunja sheria utachukuliwa hatua. Binafsi sioni shida hapo, ila shida naiona hata pale ambapo mtu hajavunja sheria anahesabika kama amevunja sheria na zinatolewa kauli za jumlajumla kuhusu huyo mtu au watu. Kama amevunja sheria au watu wamevunja sheria si wachukuliwe hatua? Kwa hiyo, mimi bado naona itavusha tukiilewa na kutekeleza kwa jinsi inavyotakiwa bila kumpendela au kumuonea mtu.
 
Back
Top Bottom