Mazingira yanaoizunguka katiba mpya ni muhimu yakajulikana yote wazi wazi.
Inafahamika kuwa CCM walio wanufaika wa katiba iliyopo, hawana sababu yoyote ya kujitia kitanzini kwa kuridhia ujio wa katiba mpya kirahisi.
Kutokupatikana kwa katiba mpya kutaifanya CCM kuwa imefanikiwa katika malengo yake. CCM inategemea itafanikiwa malengo yake kwa kuamini:
1. Wadai katiba ni wastaarabu wasiotaka kutumia nguvu au makabiliano yoyote ya kuhusisha nguvu.
2. Wadai katiba wako tayari kususia chaguzi zote bila ya kuwa na tume huru au katiba mpya.
Sababu mbili hizi zinapendwa sana na CCM kwani:
1. Kwa kukomaa tu, wadai katiba kistaarabu watapisha makabiliano. Hivyo CCM wataendelea kwa raha zao.
2. Kwa kukomaa tu, wapinzani watasusa chaguzi na CCM wataendelea kwa raha zao.
Inatakikana jitihada kubwa ya makusudi ya kuukata mnyororo huu wa matukio.
Inafahamika kuwa CCM walio wanufaika wa katiba iliyopo, hawana sababu yoyote ya kujitia kitanzini kwa kuridhia ujio wa katiba mpya kirahisi.
Kutokupatikana kwa katiba mpya kutaifanya CCM kuwa imefanikiwa katika malengo yake. CCM inategemea itafanikiwa malengo yake kwa kuamini:
1. Wadai katiba ni wastaarabu wasiotaka kutumia nguvu au makabiliano yoyote ya kuhusisha nguvu.
2. Wadai katiba wako tayari kususia chaguzi zote bila ya kuwa na tume huru au katiba mpya.
Sababu mbili hizi zinapendwa sana na CCM kwani:
1. Kwa kukomaa tu, wadai katiba kistaarabu watapisha makabiliano. Hivyo CCM wataendelea kwa raha zao.
2. Kwa kukomaa tu, wapinzani watasusa chaguzi na CCM wataendelea kwa raha zao.
Inatakikana jitihada kubwa ya makusudi ya kuukata mnyororo huu wa matukio.