Katiba Mpya: Ukweli Usiosemeka

Katiba Mpya: Ukweli Usiosemeka

Mwenyekiti wa kudumu ajisahihishe kwanza

Umelielewa swali la msingi?

"Kwani wewe ni nani unayekuja na masharti yoyote kwenye jitihada zozote za yeyote kudai katiba kwa mujibu wa sheria?"

Majibu yako tafadhali.
 
Nimekuelewa swali la msingi:

"Kwani wewe ni nani unayekuja na masharti yoyote kwenye jitihada zozote za yeyote kudai katiba kwa mujibu wa sheria?"

Majibu yako tafadhali.
Tumalize hili la Mwenyekiti wa kudumu yeye ni nani haswaa kuichimba nchi mikwara?

Aachie ngazi wengine waongoze.
 
Tumalize hili la Mwenyekiti wa kudumu yeye ni nani haswaa kuichimba nchi mikwara?

Aachie ngazi wengine waongoze.

Umesoma uzi lakini:

"Yasiyosemeka kuhusiana na katiba mpya." Nayo ni haya hapa:

1. Wadai katiba si watu wa shari
2. Wadai katiba wapinzani watasusa uchaguzi.

Hivyo CCM itasalia madarakani.

Mwenyekiti unayemwongelea unamsoma wapi? Kama humwoni jitendee haki ukaanzishe uzi wako ukituvutia tutakuja kuchangia.
 
Umesoma uzi lakini:

"Yasiyosemeka kuhusiana na katiba mpya." Nayo ni haya hapa:

1. Wadai katiba si watu wa shari
2. Wadai katiba wapinzani watasusa uchaguzi.

Hivyo CCM itasalia madarakani.

Mwenyekiti unayemwongelea unamsoma wapi? Kama humwoni jitendee haki ukaanzishe uzi wako ukituvutia tutakuja kuchangia.
Mwenyekiti wa kudumu aache kutia mikwara.
 
Mwenyekiti wa kudumu aache kutia mikwara.

Wenzio wako hapa:


Mnahangaika kumfarakanisha Mama na mtu yeyote kwa lolote hata kama ni la kijinga.

Safari ni tofauti. Kwa sababu tunawajua wote.
 
Yaan wanaolilia katiba ni wanasiasa na sio wananchi katiba iliyopo inatosha sana wenye hoja za msingi kwanini katiba sasa wazitaje na zisiwe za kisiasa please kama transition of power imefanyika in peaceful means kiasi hiki katika wakati mgumu na mzito kama taifa kuwahi kutokea
Nguvu ya raisi ibaki hivyo hivyo mataifa maskini kama haya yanahitaji mtu mwenye mamlaka makubwa ya kufanya jambo watu wetu bado wanaelimu ndogo kufanya maamuzi wengi hufanya maamuzi kwa mihemko ya kisiasa na kijamii
 
Yaan wanaolilia katiba ni wanasiasa na sio wananchi katiba iliyopo inatosha sana wenye hoja za msingi kwanini katiba sasa wazitaje na zisiwe za kisiasa please kama transition of power imefanyika in peaceful means kiasi hiki katika wakati mgumu na mzito kama taifa kuwahi kutokea
Nguvu ya raisi ibaki hivyo hivyo mataifa maskini kama haya yanahitaji mtu mwenye mamlaka makubwa ya kufanya jambo watu wetu bado wanaelimu ndogo kufanya maamuzi wengi hufanya maamuzi kwa mihemko ya kisiasa na kijamii

Comment #27 kwenye uzi huu iko wazi kwa yote uliyoandika. Nina paste tena hapa:

IMG_20210701_213504_861.jpg

IMG_20210701_213530_330.jpg


Habari ndiyo hiyo.
 
Wenzio wako hapa:


Mnahangaika kumfarakanisha Mama na mtu yeyote kwa lolote hata kama ni la kijinga.

Safari ni tofauti. Kwa sababu tunawajua wote.

Mwenyekiti wa kudumu aachie ngazi, apewe mwingine kuongoza malizaneni na Mdee atafaa sana kushika hatamu.
 
Mwenyekiti wa kudumu aachie ngazi

Huna hoja. Kuanzisha uzi huwezi. Kuwa hii yako ni moja ya mikakati kule kukomaa:

1. Siyo wa shari.
2. Uchaguzi watasusa tu.

Mbwenu, safari hii mtaula wa chuya!

Habari ndiyo hiyo bwana Mulokozi.
 
Agenda ya Katiba Mpya si mali ya wanasiasa wala vyama vya siasa.
Inabidi wananchi wahamasishwe kweli kweli!
Vyama vikisusa wao wakomae kudai Katiba Mpya!
 
Huna hoja. Kuanzisha uzi huwezi. Kuwa hii yako ni moja ya mikakati kule kukomaa:

1. Siyo wa shari.
2. Uchaguzi watasusa tu.

Mbwenu, safari hii mtaula wa chuya!

Habari ndiyo hiyo bwana Mulokozi.
Hoja ni Mwenyekiti wa kudumu abadili gear angani apishe wengine waongoze chama haraka sana.
 
Kwa Sura ya kongamano la leo katiba ni ngumu sana kuipata. Mpaka sasa imedhihirika wanaotakà katiba ni CHADEMA.
 
Kwa Sura ya kongamano la leo katiba ni ngumu sana kuipata. Mpaka sasa imedhihirika wanaotakà katiba ni CHADEMA.

Sina hakika tathmini yako misingi yake ipi? Wewe hujawasikia CUF, ACT, na wengine wakifa katiba mpya? Palikuwa na uzi humu:


Hata Bashiru, Pole pole, Majaliwa, Warioba, Kabudi nk wanataka katiba mpya. Hii achilia mbali wananchi mmoja mmoja mmoja wanaotaka katiba.

Au ulikuwa na maana Chadema ndiyo wamedhamiria kwa dhati?
 
Hii ndo ile 'ukisusa twala' hivi chui anapomsusia fisi nyama ni kitu gani hasa anatarajia?
 
Sio lazima umchague yeye awe Rais wa nchi siku kukiwa na tume huru.
Unaweza kumchagia Mrema,Sipunda Lipumba au Sindega.
Kama Mwenyekiti wa kudumu hataki kuachia hatamu je ataheshimu katiba kwa kutoka madarakani endapo akiwa Rais wa nchi?

Chama kinachodai katiba kina kasoro za kikatiba katika chama chao.
 
Hii ndo ile 'ukisusa twala' hivi chui anapomsusia fisi nyama ni kitu gani hasa anatarajia?

Hapo CCM anafurahi sana. Tena hasa wangesusa milele.

Yatakikana mikakati zaidi ya kumpokonya fisi mnofu kuliko kumsusia.
 
Sio Chadema tu wanaotaka katiba mpya, Hata Bashiru wa zamani.
Tuonesheni mfano kwanza isije ikawa mnatufundisha msichoweza kukifanya Mwenyekiti wa kudumu apumzike na wengine waongoze.
 
Sio lazima umchague yeye awe Rais wa nchi siku kukiwa na tume huru.
Unaweza kumchagia Mrema,Sipunda Lipumba au Sindega.
Hii haiondoi ukweli kuwa ni Mwenyekiti wa kudumu na tabia hii ya kuhodhi madaraka inamuondolea credibility ya kudai katiba.
 
Back
Top Bottom