Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Kususa ni falsafa ya Mwenyekiti wa kudumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo CCM anafurahi sana. Tena hasa wangesusa milele.
Yatakikana mikakati zaidi ya kumpokonya fisi mnofu kuliko kumsusia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kususa ni falsafa ya Mwenyekiti wa kudumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo CCM anafurahi sana. Tena hasa wangesusa milele.
Yatakikana mikakati zaidi ya kumpokonya fisi mnofu kuliko kumsusia.
Sio Chadema tu wanaotaka katiba mpya, Hata Bashiru wa zamani.
Hali mtaani bado ni mbaya, hakuna pesa kabisa! Katiba ni muhimu sana ila watu wana njaa sana!Ukizunguka Mitaani Utagundua Watu Hawako Karibu Kabisa Na Mambo Ya Siasa Wanapiga Kazi Sanaa, Hakuna Vikundi Vikundi Vikijadili Issue Ya Katiba Kama Wanavyojadili Kuuzwa Kwa Chama, Kauli Ya Mheshimiwa @SuluhuSamia Huenda Alijua Kabisa Watu Wanataka Maendeleo.View attachment 1891753
Hao wanatumiwa kama Sabaya lakini mwisho wa siku watajua walikuwa wanafanya ujinga.USITUSEMEE MKUU tuna MIDOMO YETU
Tungekuwa Hatutaki KATIBA MPYA Tusingeshiriki MCHAKATO wa Kutoa MAONI kwenye TUME ya Warioba
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app