Katiba Mpya: Umoja ni Nguvu, tuunganishe nguvu zetu

Katiba Mpya: Umoja ni Nguvu, tuunganishe nguvu zetu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Inafahamika kuwa maadui zetu ni walamba asali pekee. Hao ndiyo walio wanufaika wa hali iliyopo.

Wengine wakiwamo chawa na hata waliowahi kuwa chawa au kuwa walamba asali, wote ni wahanga tu.

Kundi la wasiojitambua halipaswi kuwa mzigo tena kufikia sasa.

Tunaotaka katiba mpya Kwa namna yoyote, sote tu washirika bila kujali historia.

Screenshot_20230129-162205.jpg


Hatutapata katiba mpya kirahisi kwa kuwekeza kwenye kufukua fukua makaburi.

Tunahitaji busara ya kuziunganisha nguvu zetu ndani ya tofauti zilizopo, katu si katika kupalilia utengano.

Kuipata katiba mpya (Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe) tunahitaji umahiri wa kushawishi. Ni muhimu tuweze kuwashawishi wote maadui na marafiki zetu ikiwezekana kuja upande wetu.

Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe pia, mapande mapande ya uvyama au kiitikadi hayatusaidii.

Bila hivyo tunajichelewesha na tunajiwekea mazingira magumu sisi wenyewe.

United we stand, divided we fall!
 
Chadema mpeni dr slaa pesa awafanyie siasa
Maana mlioko uko wananchi wanaowaona Matapeli tu
Inafahamika walamba asali na wasiojitambua watatokea ku frustrate efforts zozote za umoja wetu na vijimaneno vya reja reja.

Kwani wewe uko upande gani wa walamba asali au wasiojitambua?
 
Tundu Antipas Lisu ndio alirithi mikoba ya Dr Slaa Bungeni

Wawili hawa wanafaa sana kuongoza vuguvugu
 
Inafahamika kuwa maadui zetu ni walamba asali pekee. Hao ndiyo walio wanufaika wa hali iliyopo.

Wengine wakiwamo chawa na hata waliowahi kuwa chawa au kuwa walamba asali, wote ni wahanga tu.

Kundi la wasiojitambua halipaswi kuwa mzigo tena kufikia sasa.

Tunaotaka katiba mpya Kwa namna yoyote, sote tu washirika bila kujali historia.

View attachment 2499576

Hatutapata katiba mpya kirahisi kwa kuwekeza kwenye kufukua fukua makaburi.

Tunahitaji busara ya kuziunganisha nguvu zetu ndani ya tofauti zilizopo, katu si katika kupalilia utengano.

Kuipata katiba mpya (Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe) tunahitaji umahiri wa kushawishi. Ni muhimu tuweze kuwashawishi wote maadui na marafiki zetu ikiwezekana kuja upande wetu.

Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe pia, mapande mapande ya uvyama au kiitikadi hayatusaidii.

Bila hivyo tunajichelewesha na tunajiwekea mazingira magumu sisi wenyewe.

United we stand, divided we fall!
Swala la Katiba Mpya hata Rais Samia analitaka. Sema amezungukwa na.....!!
 
Swala la Katiba Mpya hata Rais Samia analitaka. Sema amezungukwa na.....!!

Kuzungukwa ukatulia haitoshi na hasa ukiwa unalamba asali. Wanahitajika walio tayari kusimama wakahesabika.
 
Anasema kelele zipigwe sana, hizo ndizo zitawezesha kupatilana Katiba Mpya.

Naona hiyo ni njia nzuri, kwani mpaka sasa bado sijasikia lolote toka kwa Samia aliyetuahidi kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya.

Inaonekana anatakiwa kuamshwa kwa kelele nyingi za Katiba Mpya.
 
Naunga mkono hoja, ya umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu, ila katiba mpya haiji kwa maneno maneno tuu na kupiga kelele, kufanya maandamano na mikutano ya hadhara!, something more than maneno maneno should be done!.
Niliuliza... https://www.jamiiforums.com/threads...-kulialia-au-tubadilike-tufanye-kitu.2052027/
P.

Kupiga kelele Kwa nguvu zote kama asemavyo Slaa ni hatua muhimu sana. Tuongezee na ku consolidate umoja wetu:

https://www.jamiiforums.com/threads/katiba-mpya-haitakuja-kwa-maneno-matupu.2022795/

Ushindi mbona ni dhahiri?
 
Inafahamika kuwa maadui zetu ni walamba asali pekee. Hao ndiyo walio wanufaika wa hali iliyopo.

Wengine wakiwamo chawa na hata waliowahi kuwa chawa au kuwa walamba asali, wote ni wahanga tu.

Kundi la wasiojitambua halipaswi kuwa mzigo tena kufikia sasa.

Tunaotaka katiba mpya Kwa namna yoyote, sote tu washirika bila kujali historia.

View attachment 2499576

Hatutapata katiba mpya kirahisi kwa kuwekeza kwenye kufukua fukua makaburi.

Tunahitaji busara ya kuziunganisha nguvu zetu ndani ya tofauti zilizopo, katu si katika kupalilia utengano.

Kuipata katiba mpya (Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe) tunahitaji umahiri wa kushawishi. Ni muhimu tuweze kuwashawishi wote maadui na marafiki zetu ikiwezekana kuja upande wetu.

Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe pia, mapande mapande ya uvyama au kiitikadi hayatusaidii.

Bila hivyo tunajichelewesha na tunajiwekea mazingira magumu sisi wenyewe.

United we stand, divided we fall!
Kwa ujumla Katiba mpya ni muhimu sana, tena chawa wanaihitaji zaidi kuliko watu wenye akili timamu.

Katiba yetu hii mbovu ndiyo iliyosababisha hata kuwa na kundi kubwa la watu wasiojitambua, wanaojiita chawa. Hawa mfumo umewafanya wasijitambue, wanaamini Mungu aliwaumba kuwa wanafiki na wapiga na kuwa washereheshaji wa wenye mamlaka na wa walio nacho. Hawajui hata thamani ya utu wao wala ile nguvu waliyo nayo mioyoni mwao ambayo ingewafanya waishi kwa kujitegemea kuliko kuishi kama mdudu chawa, yaani kujibanza na kuendesha maisha yao kwa kutegemea watu wengine.

Ili kulinda utu wa mwanadamu na kuxuia chawa wa kesho, tupate katiba nzri mpya. La sivyo aibu ya unafimi ya watu kama LUCAS MWASHAMBWA wanaoshinda wanabandika namba zao humu za simu, kama vile JF ndiyo ofisi ya kupokelea maombi ya teuzi, haitakuja kwisha.
 
Kwa ujumla Katiba mpya ni muhimu sana, tena chawa wanaihitaji zaidi kuliko watu wenye akili timamu.

Katiba yetu hii mbovu ndiyo iliyosababisha hata kuwa na kundi kubwa la watu wasiojitambua, wanaojiita chawa. Hawa mfumo umewafanya wasijitambue, wanaamini Mungu aliwaumba kuwa wanafiki na wapiga na kuwa washereheshaji wa wenye mamlaka na wa walio nacho. Hawajui hata thamani ya utu wao wala ile nguvu waliyo nayo mioyoni mwao ambayo ingewafanya waishi kwa kujitegemea kuliko kuishi kama mdudu chawa, yaani kujibanza na kuendesha maisha yao kwa kutegemea watu wengine.

Ili kulinda utu wa mwanadamu na kuxuia chawa wa kesho, tupate katiba nzri mpya. La sivyo aibu ya unafimi ya watu kama LUCAS MWASHAMBWA wanaoshinda wanabandika namba zao humu za simu, kama vile JF ndiyo ofisi ya kupokelea maombi ya teuzi, haitakuja kwisha.

Hatuwezi kupata katiba mpya mapema bila ya kuwapo organization (kujipanga) thabiti kulielekea hilo.

Pana haja ya kutengeneza mwamvuli jumuishi wa waliodhamiria kwa ajili ya hili la katiba mpya.

Katiba mpya haiwezi kupatikana huku tukibaguana au kulaumiana. Katiba mpya inataka watu walio tayari wenye uthubutu wa kusimama hadharani na kuhesabika.

Haikuwa hivyo Kenya Wala haikuwa hivyo na kina Maalim, Seif, Mandela, Tutu wala na kina Malema?

Izingatiwe hata Lissu hajasikika popote kulalama Wala kuonyesha kukata tamaa.
 
Anasema kelele zipigwe sana, hizo ndizo zitawezesha kupatilana Katiba Mpya.

Naona hiyo ni njia nzuri, kwani mpaka sasa bado sijasikia lolote toka kwa Samia aliyetuahidi kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya.

Inaonekana anatakiwa kuamshwa kwa kelele nyingi za Katiba Mpya.

Tunahitaji kuzi review strategies zetu kupata katiba mpya.

1. Kuongeza kelele Kwa wingi
2. Kufikiria mwamvuli mwingine wenye kuongoza harakati hizi
3. Kuunganisha nguvu za waliodhamiria
4. Kutambuana tuliodhamiria kulibeba jukumu hili.

Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu

Tujifunze kwa kina Mandela, Tutu, Nyerere, Seif, Malema nk ambao hawakuwahi kusikika wakilialia.
 
Inafahamika kuwa maadui zetu ni walamba asali pekee. Hao ndiyo walio wanufaika wa hali iliyopo.

Wengine wakiwamo chawa na hata waliowahi kuwa chawa au kuwa walamba asali, wote ni wahanga tu.

Kundi la wasiojitambua halipaswi kuwa mzigo tena kufikia sasa.

Tunaotaka katiba mpya Kwa namna yoyote, sote tu washirika bila kujali historia.

View attachment 2499576

Hatutapata katiba mpya kirahisi kwa kuwekeza kwenye kufukua fukua makaburi.

Tunahitaji busara ya kuziunganisha nguvu zetu ndani ya tofauti zilizopo, katu si katika kupalilia utengano.

Kuipata katiba mpya (Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe) tunahitaji umahiri wa kushawishi. Ni muhimu tuweze kuwashawishi wote maadui na marafiki zetu ikiwezekana kuja upande wetu.

Kwa mujibu wa mheshimiwa Mbowe pia, mapande mapande ya uvyama au kiitikadi hayatusaidii.

Bila hivyo tunajichelewesha na tunajiwekea mazingira magumu sisi wenyewe.

United we stand, divided we fall!

Nyie mnaotaka uongozi ndio mnataka katiba mpya, Sisi ambao tunataka maendeleo na Maisha yetu ya kila siku kuwa Bora na Miundombinu Bora, Hatuna muda na katiba mpya kabisa
 
Si suala la nani kuongoza vuguvugu bali ni kuunganisha nguvu zikiwamo za johnthebaptist hata kama aliwahi kuwa chawa au mlamba asali.

Au sio, tuunganishe nguvu ili mtengeneze mazingira mazuri ya kugawana madaraka,

Ili na nyie mtembee na magari ya escort au sio hahaha
 
Nyie mnaotaka uongozi ndio mnataka katiba mpya, Sisi ambao tunataka maendeleo na Maisha yetu ya kila siku kuwa Bora na Miundombinu Bora, Hatuna muda na katiba mpya kabisa

Time ya Warioba ilizunguka kila kona ya nchi kukusanya maoni ya watu kuhusu katiba. Iko kwenye kumbukumbu kuwa wananchi tulio wengi tunataka katiba mpya.

Hata hivyo inajulikana wapo wasiotaka mabadiliko ya katiba na hao hasa hasa ni walamba asali walio wanufaika wa moja Kwa moja wa katiba iliyopo na wasiojitambua.

Kwani wewe ni mlamba asali au katika wale wasioitambua?
 
Time ya Warioba ilizunguka kila kona ya nchi kukusanya maoni ya watu kuhusu katiba. Iko kwenye kumbukumbu kuwa wananchi tulio wengi tunataka katiba mpya.

Hata hivyo inajulikana wapo wasiotaka mabadiliko ya katiba na hao hasa hasa ni walamba asali walio wanufaika wa moja Kwa moja wa katiba iliyopo na wasiojitambua.

Kwani wewe ni mlamba asali au katika wale wasioitambua?


Kwa mtu ambae Hana uelewa mkubwa kama ww, lazima utake katiba mpya

Na ukiulizwa ww kama ww binafsi umeadhirika vipi na katiba ya sasa I'm sure hauna majibu

Wanasiasa ndio wanataka katiba mpya na sio Kwa maana ya kuwasaidia wanainchi hapana ni Kwa manufaa yao wenyewe

Sasa ww unafata mkumbo tu
 
Back
Top Bottom