Katiba Mpya: Umoja ni Nguvu, tuunganishe nguvu zetu

Katiba Mpya: Umoja ni Nguvu, tuunganishe nguvu zetu

Nataka kumwajibisha huyu aliyejiwekea haya kwenye katiba:

1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe.
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe.
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu.
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi.
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe.

Hilo litafanikiwa tu kwa kuwa na katiba mpya.

Habari ndiyo hiyo.

Alieweka hayo kwenye katiba ameshakufa anaitwa Nyerere labda umfate Mzee msekwa ambae nae alishiriki,
 
Alieweka hayo kwenye katiba ameshakufa anaitwa Nyerere labda umfate Mzee msekwa ambae nae alishiriki,

Itoshe kukufahamisha ninatambua kuwa sasa unatambua kwa nini tunataka katiba mpya na tena pasi na kuchelewa.
 
Itoshe kukufahamisha ninatambua kuwa sasa unatambua kwa nini tunataka katiba mpya na tena pasi na kuchelewa.
Huitaji katiba mpya

Unachoitaji ni katiba kutochezewa which hata hiyo katiba mpya ikija na ikachezewa utadai Maboresho ya katiba
 
Huitaji katiba mpya

Unachoitaji ni katiba kutochezewa which hata hiyo katiba mpya ikija na ikachezewa utadai Maboresho ya katiba
Hayo unasema wewe.

Ila Mimi ninahitaji katiba mpya yenye kuyajibu kikamilifu yote, kama niliyokuorodheshea pale.

Habari ndiyo hiyo.
 
Hayo unasema wewe.

Ila Mimi ninahitaji katiba mpya yenye kuyajibu kikamilifu yote, kama niliyokuorodheshea pale.

Habari ndiyo hiyo.

Katiba ya sasa inajibu yote hayo
 
Katiba ya sasa inajibu yote hayo

Kwako lakini sisi wengine hatuoni hivyo. Tusilazimishane. Ni haki yetu, Kila mtu na apambane na hali yake.

Zaidi sana hakuna aliyekuita kwenye harakati hizi. Ndiyo maana tuko kwenye kutafakari kuwa na "coalition of the willing."

Mwamvuli machachari zaidi utakaokuwa si wa kivyama.

Habari ndiyo hiyo.
 
Kwako lakini sisi wengine hatuoni hivyo. Tusilazimishane. Ni haki yetu, Kila mtu na apambane na hali yake.

Zaidi sana hakuna aliyekuita kwenye harakati hizi. Ndiyo maana tuko kwenye kutafakari kuwa na "coalition of the willing."

Mwamvuli machachari zaidi utakaokuwa si wa kivyama.

Habari ndiyo hiyo.

Maana ya kuja kuandika hapa if ndio umetuita hivyo

Kama ungekuwa hutaki kuwaita watu then ungeenda kuongea na wakina lisu kwenye group lenu
 
Maana ya kuja kuandika hapa if ndio umetuita hivyo

Kama ungekuwa hutaki kuwaita watu then ungeenda kuongea na wakina lisu kwenye group lenu

Hatuiti walamba asali au wasiojitambua kuja kuunganisha nguvu kudai katiba mpya. Kama hukujua pokea uthibitisho huo kwa mara nyingine.
 
Hatuiti walamba asali au wasiojitambua kuja kuunganisha nguvu kudai katiba mpya. Kama hukujua pokea uthibitisho huo kwa mara nyingine.

Basi nenda kaandike Badoo au Facebook kwa vilaza wenzako
 
Basi nenda kaandike Badoo au Facebook kwa vilaza wenzako
Kwani umepajuaje huko kama hapakuhusu?

Bottom line: hatuhitaji walamba asali au wasiojitambua kwenye harakati zetu za ukombozi.

Kwenye makundi mawili hayo Kuna vijana wa hovyo kabisa wasiokuwa na mchango wowote wa maana kwa taifa hili.
 
Kwani umepajuaje huko kama hapakuhusu?

Bottom line: hatuhitaji walamba asali au wasiojitambua kwenye harakati zetu za ukombozi.

Kwenye makundi mawili hayo Kuna vijana wa hovyo kabisa wasiokuwa na mchango wowote wa maana kwa taifa hili.

Mchango wako ww wa maana ni kusafisha njia wenzako wapate madaraka kirahisi kabisa Kwa kudhani ww Maisha yako yatabadilika

Hao wanawadanganya Tu, katiba mpya haitochange kipato chako, wala Maisha yako binafsi ila wao tu

Kila siku wanaenda Kula posho za vikao Kwa kujifanya wanataka upatanishi, ww umekaa jf na njaa zako unatetea Tu ujinga

Wenzako wanaenda, wanakaa nao, wanakula nao, wanapata posho ya pole Kwa kazi

Ha ha ha ha 😜
 
Mchango wako ww wa maana ni kusafisha njia wenzako wapate madaraka kirahisi kabisa Kwa kudhani ww Maisha yako yatabadilika

Hao wanawadanganya Tu, katiba mpya haitochange kipato chako, wala Maisha yako binafsi ila wao tu

Kila siku wanaenda Kula posho za vikao Kwa kujifanya wanataka upatanishi, ww umekaa jf na njaa zako unatetea Tu ujinga

Wenzako wanaenda, wanakaa nao, wanakula nao, wanapata posho ya pole Kwa kazi

Ha ha ha ha 😜
Fnn4deYWYAE-Pmf.jpeg


Zingatia #7 kwenye list.
 
Naunga mkono hoja, ya umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu, ila katiba mpya haiji kwa maneno maneno tuu na kupiga kelele, kufanya maandamano na mikutano ya hadhara!, something more than maneno maneno should be done!.
Niliuliza... https://www.jamiiforums.com/threads...-kulialia-au-tubadilike-tufanye-kitu.2052027/
P.
Kelele ndio kitu chenyewe, kelele ni zaidi ya maneno. Na waswahili wengi wanaojielewa(nje ya mataga) wakipiga kelele moshi lazima utoke na penye moshi pana moto.
 
Kwa mtu ambae Hana uelewa mkubwa kama ww, lazima utake katiba mpya

Na ukiulizwa ww kama ww binafsi umeadhirika vipi na katiba ya sasa I'm sure hauna majibu

Wanasiasa ndio wanataka katiba mpya na sio Kwa maana ya kuwasaidia wanainchi hapana ni Kwa manufaa yao wenyewe

Sasa ww unafata mkumbo tu
Na wanasiasa wa ccm wanakataa mabadiliko kwa manufaa yao wenyewe. Hivi ni visingizio tu. Ccm inatumia hivi ili kuharalisha katiba hii iendelee. Wananchi wengi wanataka katiba itakayo ongoza mahisha yao vizuri zaidi ya sasa. Ukiwauliza wanaweza wasitoe jibu la moja kwa moja kwa sababu ya uelewa. Ila kelele zikizidi wataelewa tu.
 
Chadema mpeni dr slaa pesa awafanyie siasa
Maana mlioko uko wananchi wanaowaona Matapeli tu
Hakuna cha pesa wala nini yeye Mheshimiwa Slaa akitaka kurudi anarudi tu kama Mheshimiwa Lowassa alivyorudi Ccm ! Siasa sio Uadui !!
 
Kwamba:

1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe?
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe?
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu?
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi?
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe?
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi?
7. Kuna rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi wanaopata uhalali tokea katika katiba yenyewe?
8. Nk, nk.

Bado unadhani kuwa katiba iliyopo hainiathiri?

Lipi hapo juu ambalo halikuathiri wewe katika hali ya sasa? Kwani wewe ni Msoga boy?

"Wewe utakuwa mlamba asali au hujitambui kweli kweli?"

Pole ndugu.
Umehoji vizuri sana
 
Back
Top Bottom