hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Madaraka au magari ya escort?
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-jifunzeni-kwenye-ziara-ya-makamu-wa-rais-kahama.2057817/
Mbona tuko wazi mno ndugu?
Hayo ni machukizo kwetu!
Hamna lolote mnataka kufanya watu wajinga Tu, kwanza mnataka katiba mpya utambue serikali Pacha,
That's means lisu akiwa wa pili ndio awe makamu wa rais eeeh kuna nn hapo kama sio magari ya escort?
Haya mnataka tume iwe huru, eeeh tume ikiwa huru bei za Mchele zinashuka? Bei za mafuta zinashuka?
Au faida ya tume kuwa huru ni nn? Kama sio mambo ya madaraka
Open Ur eyes kijana