Katiba Yetu Ina Matobo: Serikali Ikikosea, Inashitakika. Je, Bunge na Mahakama Zinapowakosea Watanzania Kama Makosa Haya Tunawashitaki Wapi?

Katiba Yetu Ina Matobo: Serikali Ikikosea, Inashitakika. Je, Bunge na Mahakama Zinapowakosea Watanzania Kama Makosa Haya Tunawashitaki Wapi?

Kuna vitu nchi hii usiongee, kajikatie tuu majani yako!. Hiyo picha ya kukata majani maporini, imenikumbusha enzi zangu za JKT Makotupora , mapori ya kule yanaitwa mitunduruni, sisi ilikuwa sio kutafuta kuni, unapita maporini ku jongo, na kwenda town!. Mabinti ni waoga hawawezi kupita maporini alone!, kiekweli miongoni mwa in born strength zangu, mimi ni fearless siogopi chochote, hivyo nilikuwa ni jongolist mzuri!.

Wale mabinti wa kishure from time to time, walikuwa wanawapelekea vitu vyao washure wenzao, hivyo mimi huwa ninapewa tenda ya kuwavusha kule msituni mitunduruni mpaka Vyeyula ndio kuna usafiri wa kwenda town. Sasa katika kuwavusha mkiwa katkati ya msitu, wengine wanajisikia so happy, so free, no inhibitions, the only thing they have worth giving is what they have!.

Hakuna ubaya wowote kupokea offers za appreciation ya asante za aina mbalimbali for the big risks you take!
Asante kunikumbusha mbali!.

P
Ngosha.. nalemaga 🤣🤣🤣🤣
 
Wiki ijayo nitaendelee na ile mada ya wiki iliyopita ya usuluhishi ambao pia itaona jinsi Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassani anavyoitumia dhana hii ya usuluhisi na maridhiano kulitibu taifa letu majeraha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Lilijeruhiwa na kina nani ?
 
Lilijeruhiwa na kina nani ?
Hili sio swali valid kwasababu jibu lake ni kama kumsema vibaya marehemu!, kwa mila na tamaduni za Kiafrika, tunaheshimu sana marehemu, mtu akiisha tangulia mbele ya haki, anasemwa kwa mema tuu na sio kwa mabaya.
P
 
Hili sio swali valid kwasababu jibu lake ni kama kumsema vibaya marehemu!, kwa mila na tamaduni za Kiafrika, tunaheshimu sana marehemu, mtu akiisha tangulia mbele ya haki, anasemwa kwa mema tuu na sio kwa mabaya.
P
Okay....japo umeamua kulikwepa kiaina.
 
Ni vizuri wanasiasa wakatejesha mchakato wa Katiba Mpya, haraka iwezekanavyo. Hii Katiba ya chama kimoja ya 1977, haibebeki kwa Watanzania wasiofungamana na ccm
Mkuu Tate Mkuu , kwanza naunga mkono hoja, mchakato wa katiba mpya uanze, ila katiba ni ya wote na sio ya wanasiasa pekee!, tukiwategemea wanasiasa tutaula wa chuya!. Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
P
 
Tanzania haiendeshwi na mihimili mitatu ya Dola Bali inaendeshwa na mhimili mmoja uliojichimbia wenye matawi mawili
 
Mkuu P

Tuliambiwa rushwa hapa Tanzania ni sababu ya katiba -magufuli aliweza kwa katiba hii hivi

Tulidanganywa kuwa kuwajibisha maafsa wa serkali haiwezekani kwa sababu ya katiba - Magufuli akafanya na zaidi

Tukitapeliwa kuwa bila katiba mpya mikataba mibovu ilipitiwa na marais walipita huwezi gusa - Magufuli akaweza na tukalipwa

Tukitapeliwa kuwa kwa katiba hii hatuwezi kujiamulia chetu bila wazungu - Magufuli alifanya kwenye corona na tunavuka salama

Tukitapeliwa kuwa uchumi wetu hauwezi kuku wala kuvuia bei ya vitu kupanda hasa vya kutoka nje -magufuli aliweza

Hapa ishu sio katiba ni nani tumemweka pale juu huko nje kuna watu wabakatiba bora zaidi ya hii na wako hovyo sana akiamu Rais bunge linagoma,likiamua bunge Rais anagoma akimua mahakama rais na na bunge wanagoma ni mtifuano tu

Hapa kwetu kinachotukimbiza kwenye kutaka katiba mpya ni tamaa ya wanasiasa kuwa ikipatikana watapata pa kulia tu hakuna lolote ndio maana wakianza tu utasikia mabishano ya serkali mbili au tatu,hati ya muungano na value za kitaifa wala sio haki za wananchi hasa wakulima na wafugaji,walimu na watumishi wengine hovyo tu

USSR
Nchi inaongozwa Kwa mifumo sio mawazo ya mtu mmoja, hakuna wakati rushwa na ufisadi ulifanyika kama enzi za Jiwe tofauti ni kwamba aliamua nani afanye ufisadi na nani asifanye ongoza wewe familia yako Kwa mawazo yako ila nchi haiendeshwi hivyo
 
Mpaka pale wananchi majority watakapopata ufahamu nini ni nini na nini wanataka na sio kusemewa au kuambiwa na watu kwamba hiki ndio kile tutaendelea na the old adage. Dog eat Dog World.
Mkuu KeyserSoze naunga mkono hoja, ila ili hao wananchi majority wapate ufahamu wa nini ni nini, na nini wanataka, ni lazima watu wenye ufahamu wa nini ni nini, wajitokeze na kujitolea kuwaelimisha wengine nini ni nini, vinginevyo ni kweli tutaendeleza dog eat dog world!.

Na ndio maana baadhi yetu tumeanza kampeni ya uelimishaji umma kuhusu katiba Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni Nini, ya Nani, ya Kazi Gani?. Msemo "Katiba Ndio Kila Kitu" Una Maana Gani?. Katiba Ina Umuhimu Gani? but to my surprise, japo watu hawaijui katiba, mtu unajitolea kuelimisha umma, tembelea uzi huo wa elimu ya kuijua katiba uone ni watu wamechangia!, ila ningepandisha bandiko la Mondi na Zari au na Wema saa hizi ungekuta 20 pages!.
P
 
- mpaka leo Nani amekamtwa hata kushukiwa?
Mkuu Bale, BALENSIAGA , hakuna aliyekamatwa kwasababu hakuna shuhuda hata mmoja aliyeshuhudia hivyo polisi kukosa lead ya pa kuanzia kufanya uchaguzi. Maadam sasa shahidi mmoja muhimu amerejea nchini, atahojiwa na uchunguzi ndio utaanza!.
P
 
Mkuu nimesoma bandiko hili nishule nzuri
Ila nadhani pale hoja namba 16 umesema sheria ya mwaka 1909 sasa sijui kama ulimaanisha hivyo kweli au ulitaka kusema vinginevyo
 
Mkuu P

Tuliambiwa rushwa hapa Tanzania ni sababu ya katiba -magufuli aliweza kwa katiba hii hivi

Tulidanganywa kuwa kuwajibisha maafsa wa serkali haiwezekani kwa sababu ya katiba - Magufuli akafanya na zaidi

Tukitapeliwa kuwa bila katiba mpya mikataba mibovu ilipitiwa na marais walipita huwezi gusa - Magufuli akaweza na tukalipwa

Tukitapeliwa kuwa kwa katiba hii hatuwezi kujiamulia chetu bila wazungu - Magufuli alifanya kwenye corona na tunavuka salama

Tukitapeliwa kuwa uchumi wetu hauwezi kuku wala kuvuia bei ya vitu kupanda hasa vya kutoka nje -magufuli aliweza

Hapa ishu sio katiba ni nani tumemweka pale juu huko nje kuna watu wabakatiba bora zaidi ya hii na wako hovyo sana akiamu Rais bunge linagoma,likiamua bunge Rais anagoma akimua mahakama rais na na bunge wanagoma ni mtifuano tu

Hapa kwetu kinachotukimbiza kwenye kutaka katiba mpya ni tamaa ya wanasiasa kuwa ikipatikana watapata pa kulia tu hakuna lolote ndio maana wakianza tu utasikia mabishano ya serkali mbili au tatu,hati ya muungano na value za kitaifa wala sio haki za wananchi hasa wakulima na wafugaji,walimu na watumishi wengine hovyo tu

USSR
Jizi lile plea bargain aliiba akaipeleka kuificha China. Yule alikuwa takataka kabisa
 
Jizi lile plea bargain aliiba akaipeleka kuificha China. Yule alikuwa takataka kabisa
Mkuu MKANDAHARI , msijichumie dhambi bure!. Fedha za plea bargain zilikuwa zinalipwa kwa control number na kuingia direct BOT!, hivyo kama zilihamishiwa popote, tracing them is a matter of seconds. Haya mambo ya kesema sema vitu lazima tumsaidie Mama. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Back
Top Bottom