Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama
Tumevuka nyakati ngumu sana kama kudumisha Muungano wetu kwa hiyo wanasiasa wasionee vyaelea vimeundwa
Tumevuka nyakati ngumu sana kama kudumisha Muungano wetu kwa hiyo wanasiasa wasionee vyaelea vimeundwa