Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
hatuwezi kubadili katiba kwa manufaa ya mlevi mvuta bang tqpeli jizi na malayaAcha uongo vinginevyo utuambie unanufaika nayo hivyo unatamani iendelee kudumu.
Acha maneno mbofu mbofuhatuwezi kubadili katiba kwa manufaa ya mlevi mvuta bang tqpeli jizi na malaya
Isijekuwa sifa hizo ni za kwako.hatuwezi kubadili katiba kwa manufaa ya mlevi mvuta bang tqpeli jizi na malaya
Tueleze hapa ubora wake kwa manufaa ya wasiojua.Hii ni KATIBA BORA KUPITA MAELEZO.
Si lazima tufanane na nchi nyingine iwapo kwetu Kuna AMANI NA UTULIVU kuliko hizo nchi nyingine...
Nyakati ngumu zipi tulizovushwa na katiba hii!!??katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama....
Aanze kwanza na katiba ya chama chake, katiba yenye kumpa mwanachama mwengine Kuwa mwenyekiti.Hii ni KATIBA BORA KUPITA MAELEZO......
Si lazima tufanane na nchi nyingine iwapo kwetu Kuna AMANI NA UTULIVU kuliko hizo nchi nyingine...
🤣🤣👍Aanze kwanza na katiba ya chama chake, katiba yenye kumpa mwanachama mwengine Kuwa mwenyekiti.
Tumekusikia mnufaika kwayo.katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama
Tumevuka nyakati ngumu sana kama kudumisha Muungano wetu kwa hiyo wanasiasa wasionee vyaelea vimeundwa
CCM ina wapiga debe duni sana ! hivi huwa mnaokotwa wapi ?katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama
Tumevuka nyakati ngumu sana kama kudumisha Muungano wetu kwa hiyo wanasiasa wasionee vyaelea vimeundwa
Hahahahahahahahahahahahahakatiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama
Tumevuka nyakati ngumu sana kama kudumisha Muungano wetu kwa hiyo wanasiasa wasionee vyaelea vimeundwa
Bora CCM chadema hata viongozi ni vilaza wavuta ngada yaani huwa wanaropoka kama wametoka vichochoroni kwa mfano jitu moja linasema halitashiriki uchaguzi sijui nani analilazimisha ukisusa wenzio wanakulaCCM ina wapiga debe duni sana ! hivi huwa mnaokotwa wapi ?
Mbona unaongea kama umekalia kitu chenye ncha kali?hatuwezi kubadili katiba kwa manufaa ya mlevi mvuta bang tqpeli jizi na malaya