mwakajingatky
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 558
- 924
Maigizo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ashike mwiko kwa madaha wamkange fotoo itoke kwenye gazeti la mzalendo/media?😂😂😂😂Hivi Mshana Jr ule Ni ugali au mchele? Aivishe wapi kaambiwa shika mwiko tukupige picha basi
Kuwa karibu na wananchi. Safi sana. Kazi iendelee.
Watafute mingine.Haina tofauti na ile ya Kinana na Nape kula ubwabwa maharage na wananchi.Waliposhiba wakabeba matofali mawilimawili kusaidia ujenzi wa madarasa.Wanajua sana kwenda na midundo
Singeli tarabu ndomboro yote ni miziki kubwa Sasa ni chaguo la msikilizaji hawa walishachoka kitambo sema vipo vyombo vya ulinzi na usalama nyuma yaoWatafute mingine.Haina tofauti na ile ya Kinana na Nape kula ubwabwa maharage na wananchi.Waliposhiba wakabeba matofali mawilimawili kusaidia ujenzi wa madarasa.
Subirini nimalize kuchekaHii nchi imepitia na inaendelea kupitia mengi sanaView attachment 2505424
Kwani mtu akipiga picha yake ya kumbukumbu kuna tatizo!Kupika ni habari???
Tuanzie hapa kwanza.
Chakula kiliiva na tulikula bwana wee kunoga!Halafu kaandika kwa jazba akimtetea mpishi fake!Alivyo tu,huyo "mpishi",anaonesha hata kwake anapika kweli?Waache utapeli!It's high time for minute issues!
Weye unakulaga hata viwavi jeshi kwa chipsi kavu.Unaeleweka.Chakula kiliiva na tulikula bwana wee kunoga!
CCM ni wasanii sana. Hivi katika hii dua ya kumuombe DAB! aliyekuwa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhad Musa Salum alikosekana kweli?Hii nchi imepitia na inaendelea kupitia mengi sanaView attachment 2505424
Sio tatizo.Kwani mtu akipiga picha yake ya kumbukumbu kuna tatizo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi imepitia na inaendelea kupitia mengi sanaView attachment 2505424