Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,164
- 3,553
Rais alitoa agizo mwezi wa pili mwaka huu lakini hadi sasa hakuna utekelezaji, mpaka Chongolo kakisanua.
Pindi Chana wakati agizo linatolewa alikuwa Wizara nyingine kapelekwa Maliasili Mwezi wa nne mwaka huu, tatizo ni mabadiliko ya mawaziri mara kwa mara lakini tasimini ya maagizo ya Rais SSH aliyoyatoa jukwaani na utekelezaji wake ufanywe kuona wanafanya anavyosema aagizaa.
Pindi Chana wakati agizo linatolewa alikuwa Wizara nyingine kapelekwa Maliasili Mwezi wa nne mwaka huu, tatizo ni mabadiliko ya mawaziri mara kwa mara lakini tasimini ya maagizo ya Rais SSH aliyoyatoa jukwaani na utekelezaji wake ufanywe kuona wanafanya anavyosema aagizaa.