Katibu Mkuu CCM (Chongolo) amtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Pindi Chana kujiuzulu

 

Attachments

  • CA803AF0-2BCD-47F2-BB52-7825473B426D.jpeg
    50.2 KB · Views: 11
Apumzike tu huyo mama, hyo wizara na huyo mama hapana!
 
Sio kazi yako nawe mwachie rais aamue. Suala la tembo sio Meatu tu
Kazi yake ni ipi, unaijua wewe?
Sasa kama "suala la tembo si Meatu tu" hiyo ndiyo iwe sababu ya kutolishughulikia?

Watu wengine mna akili za tope kwelikweli.
 
Chana Kaichana Maliasili. Ngoja akakae benchi kwenye michezo ya Utamaduni na Ngoma za asili huko Basata
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Sasa pale ccm ni waziri gani anapaswa kusifiwa kwa kazi nzuri na wananchi wafurahi maana kila waziri anapaswa kuachia ngazi naona kila waziri anavimeo kibao
Bashe
Mwigilu
Pindi chana
January
Nape
Tamisemi
Elimu
Kila kona kuna malalamiko sijui chongolo anataka kumwambia nn Rais
 
Huyu naye hamnazo,ameshindwa kuhoji ujio wa lile dege kubwa na kupakia wanyama wetu,anakimbilia kumwambia ajiuxuru kwa vitu vya kipuuzi,
 
Ok,kumbeee๐Ÿค” now i see the light at the end of the tunnel ๐ŸŠ๐ŸŠ
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ