Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

kasahau ccm bara 2015 kulikuwa na watia nia 42?!
Kwa akili yake aliona vyama 42 ndani ya ccm?!
 
Gambino,
Ni kweli mtu kama Jecha anataka kuharibu taswira ya nchi yetu kwenye mataifa mengine.
1. Jecha ameamua kuwakomesha (anataka deal) kwa sababu hawakurudisha hisani baada ya kuwaondolea dhahama ya Maalim Seif 2015.
2. Hussein Mwinyi hakubaliki Zanzibar licha ya kuonekana anabebwa kuwa Makamu II kisha aje kugombea urais wa Muungano 2025.
3. Profesa Mbarawa anayeandaliwa na JPM kuwa Rais wa Zanzibar hakubaliki huko kwa kuwa hana base ya kisiasa Zanzibar.
4. Hao wengine wana-protest mipango ya utawala wa Magufuli kutaka ku-impose surrogate president kisiwani Zanzibar.
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.

Na huyu nae ana PhD tena ya siasa ?
 
Hiyo clip ya Dr. Bashiru ni ya zamani, aliitoa wakati amefanya ziara Zanzibar na ilikuwa kabla hata CCM hawajafungua dirisha la kuchukua forms kwa wanachama wake wanaotaka kuteuliwa kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama hicho. Alikuwa anawakemea kuanza kujipitisha pitisha kabla ya wakati, kwani kwa kufanya hivyo walikuwa wanakivuruga.
Alijuaje idadi kuwa wako 12 ?
 
Bashiru Ally haamini ktk demokrasia ndani ya CCM CCM Tanganyika?

CCM Zanzibar wameamua kutoa nafasi sawa kwa wanaCCM WaZanzibari.

CHADEMA pia imeamua wanaCHADEMA ruksa kutia nia Urais .

CCM Tanganyika imebaki kundi pekee lisilokubali ushindani ndani ya chama.

30 August 2018
12 Mnatafuta Urais Zanzibar! Katibu Mkuu Wa CCM, Dkt Bashiru Ally Amesema Anawajua Wanasiasa na Baadhi ya wanachama Wa CCM Zanzibar Wanaozunguka Zunguka Kabla Ya Muda Kuwania Kiti Cha Urais Wa Zanzibar.
 
Hata wakiwa 100 hakuna tatizo, ndio demokrasia.. Mbona somo la demokrasia ni gumu sana kwa binadamu.
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


SISI TULIOHAMIA CCM KUTAFUTA DEMOKRASIA MBONA MNATUYUMBISHA?
 
ni haki yao ya kikatiba, kwa mtu yeyote akijiona anasifa mwache achukue form.
tena kwa maoni yangu 12 ni wachache waache wafike hata 100 , si baadae watashindanishwa na hatimaye atapatikana mmoja
 
1. Jecha ameamua kuwakomesha (anataka deal) kwa sababu hawakurudisha hisani baada ya kuwaondolea dhahama ya Maalim Seif 2015.
2. Hussein Mwinyi hakubaliki Zanzibar licha ya kuonekana anabebwa kuwa Makamu II kisha aje kugombea urais wa Muungano 2025.
3. Profesa Mbarawa anayeandaliwa na JPM kuwa Rais wa Zanzibar hakubaliki huko kwa kuwa hana base ya kisiasa Zanzibar.
4. Hao wengine wana-protest mipango ya utawala wa Magufuli kutaka ku-impose surrogate president kisiwani Zanzibar.
Nina uhakika Jecha amefuata chenji yake ya uwekezaji aliofanya 2015 kumzuia Maalim kuapishwa urais wa Visiwa vya Karafuu.
 
Mimi ni mkristo nataka nikachukue fomu ya uraisi Zbar je inawezekana maana Huseni Mwinyi ni mtanganyika kachukua fomu kule.
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


Mwambie sasa hivi wamefika 22
 
Back
Top Bottom