Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.
Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.
Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?
Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?
===
Pia soma: Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.
Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?
Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?
===
Pia soma: Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani