Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Tatizo ni kwamba watu wanaomtetea Makonda humu ni mburura hawajui hata basic legal issues kama hizo. Kuna kitu kinaitwa separation of powers. Zerobrain Makonda hana akili je wafuasi wake unategemea watakuwaje?"Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama."
HAPO MAKALA KAZUNGUMZA BAYA LIPI?