Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.

Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.

Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?

Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?

Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Nchimbi na Makala(Mr Gugu) hawana mvuto wa kisiasa kwa kizazi cha sasa, wanaendesha siasa za kale kwenye zama za usasa!
 
Na yote kayaleta huyu huyu nyamitako
Screenshot_20240415_144044_Gallery.jpg
 
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.

Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.

Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?

Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?

Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Unalipwa na hùyu mhalifu Bashite siyo!! Acheni ujinga wenu, muda wa drama umekwisha wacha watu wapige kazi
 
Safu hii ya CCM ni mbovu na imechoka Bahati mbaya Chadema nao hawana haha ya kuchukua dola wana nafasi nzuri. Angalia makamu mwenyekiti CCM amechoka mbaya, Katibu mkuu ni jina tu linasikika hana jipya kabisa na huyo Mwenezi hawezi hata kupanga yale ya kuzungumza. Poleni sana CCM
 
Sasa si wekeni hapa hayo matusi ili tujadili jamani ! kizuri kula na nduguyo bhana !
Mbona kizuri cha kujua pesa za join the chain nyie hamuweki hapa tukajua wote? Au hicho kizuri cha kukula na nduguyo ni kile chao tu, lakini cha kwako kinakuwa kichungu kula na nduguyo?
 
Sasa kwanini Mbowe na Lema wametoka wakati kesi zao bado zipo Mahakamani?


Mkumbuke Mbowe alikuwa na kesi ya Ugaidi huko...

Kwanini Kinana alisema waliwaachia wana CHADEMA zaidi ya 250 kutoka kwenye kesi za Mahakamani?

Kwanini CCM imewapendelea CHADEMA tu?

Je, ilikuwa wamekubaliana kusameheana iwali tu wataweza kumsingizia mtu mwingine? Yaani kama condition ya kuwa nje ya mchakato wa Mahakama?

Maswali ni mengi, server ni ndogo.
 
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.

Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.

Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?

Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?

Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Umejiuliza kwa nini leo ni alhamisi na Makonda hajataja hao mawaziri wanaopanga njama mbaya dhidi ya bosi wao wakati alisema itakuwa jumatatu? DRAMA!
Hii anatuambia kuwa tuna BARAZA LA MAWAZIRI bovu maana lina wasaliti wanaovunja viapo vyao kwa Rais na Rais (kama taasisi) hachukui hatua.
Nchimbi kakataa kuwa sehemu ya Drama hizo.
Makonda mpaka hapo alipo alipaswa awe amehojiwa kama mteule kwa nini kalituhumu Baraza la mawaziri linalomshauri Rais (anaye muita mama yake)?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Safu hii ya CCM ni mbovu na imechoka Bahati mbaya Chadema nao hawana haha ya kuchukua dola wana nafasi nzuri. Angalia makamu mwenyekiti CCM amechoka mbaya, Katibu mkuu ni jina tu linasikika hana jipya kabisa na huyo Mwenezi hawezi hata kupanga yale ya kuzungumza. Poleni sana CCM
Unataka waongee nini?
 
"Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama."

HAPO MAKALA KAZUNGUMZA BAYA LIPI?
 
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.

Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.

Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?

Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?

Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Weka hizo kauli. Huyo RC kafanya nini kurekebisha yaliyoharibika juu ya rais? Hivi huoni uhuni wake? Hajachukua hatua yoyote, na kwa cheo chake sioni kama ana nafasi hiyo, pia sioni akivishirikisha vyombo husika vya mambo hayo, kama huyo rais haoni kama wote wanaomzunguka ni wasanii, basi atakuwa mtupu sana!
 
Umejiuliza kwa nini leo ni alhamisi na Makonda hajataja hao mawaziri wanaopanga njama mbaya dhidi ya bosi wao wakati alisema itakuwa jumatatu? DRAMA!
Hii anatuambia kuwa tuna BARAZA LA MAWAZIRI bovu maana lina wasaliti wanaovunja viapo vyao kwa Rais na Rais (kama taasisi) hachukui hatua.
Nchimbi kakataa kuwa sehemu ya Drama hizo.
Makonda mpaka hapo alipo alipaswa awe amehojiwa kama mteule kwa nini kalituhumu Baraza la mawaziri linalomshauri Rais (anaye muita mama yake)?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mleta Uzi hamjui rc. Alidumu awamu iliyopita kwa michezo kama hii, kila siku kuibuka na tuhuma hii ama ile, kila siku kuja na mawazo ya mradi huu ama ule, na yote yanaishia kwa baadhi ya watu kudhalilishwa, kutuhumiwa uongo, yeye anapeta. Hapo ni wivu kwa hilo baraza la mawaziri, na Hana hata mmoja wa kumchafua, anatishia panya tu na kuzidi kumsanifu rais. Ila rais kayataka mwenyewe, atayaoga, si kayavulia nguo?
 
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.

Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.

Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?

Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?

Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Katibu mkuu wa sasa wa CCM, Mwenezi taifa wake na Naibu mwenyekiti wanaendesha mtumbwi uliotoboka hawawezi kuwavusha watu kwenda ng'ambo, hapo katikati itatokea ajali wakati wakibishana wenyewe kwa wenyewe ndani ya mtumbwi hadi dhoruba na tufani itakipasua chombo na kusababisha watu walio panda humo asilimia sabini (70%) kufa maji.


Wamekazana kumshambulia Makonda kimafumbo na kudhalilisha kazi zilizotukuka za JPM wakifikiri wana akili nyingi na wamiliki wa ardhi ya Tanzania lakini wanasahau anga haina mwisho na urafiki na mtu yeyote.
 
Back
Top Bottom