Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Amegoma kuwa Jiwe la chumvi
 
Kuna wapinzani watakuja kushangilia ugomvi wa CCM humu knowing when it comes kwenye Uchaguzi Mkuu wenzao huwa kitu kimoja!
 
mbona kaongea fresh tu
 
Hivi wanashindwa kuongea hadi waje wabweke kenye majukwaa.

Wanatakiwa waje huku kwenye majukwaa kutueleza ilani imefikia wapi na sio kulialia.
 
mafumbo yepi? undhani wote tunasikiliza ujinga/upuuzi wa ccm....weka mifano tuchangie
 
Nchimbi yeye ndio ana kigawa chama maana kila mmoja anajua kuwa Rais alikuwa anatukanwa watu wamekaa kimya…na watu walikuwa wanajua fikq wahusika ni Wana CCM .
 
Anajaribu tu kutuliza mchecheto wa vijana wa Godfather, yeye mwenyewe anafurahia makombora ya Makonda.
 
Nchimbi yeye ndio ana kigawa chama maana kila mmoja anajua kuwa Rais alikuwa anatukanwa watu wamekaa kimya…na watu walikuwa wanajua fikq wahusika ni Wana CCM .
Sasa si wekeni hapa hayo matusi ili tujadili jamani ! kizuri kula na nduguyo bhana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…