Tatizo ni kwamba watu wanaomtetea Makonda humu ni mburura hawajui hata basic legal issues kama hizo. Kuna kitu kinaitwa separation of powers. Zerobrain Makonda hana akili je wafuasi wake unategemea watakuwaje?"Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama."
HAPO MAKALA KAZUNGUMZA BAYA LIPI?
Mafumbo hujaweka halafu unataka mimi nijadili utadhani tulikuwa wote kwenye msafara wa huyo katibu.Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.
Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.
Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?
Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?
Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Jamaa toka uote ndoto ya kugongwa na nyoka kichwani naona akili umepotezaNa yote kayaleta huyu huyu nyamitako
Ni matusi gani hayo ambayo Rais alitukanwa, mbona hatutajiwi hata mojaNchimbi yeye ndio ana kigawa chama maana kila mmoja anajua kuwa Rais alikuwa anatukanwa watu wamekaa kimya…na watu walikuwa wanajua fikq wahusika ni Wana CCM .
Wewe umepoteza marindaWe
Jamaa toka uote ndoto ya kugongwa na nyoka kichwani naona akili umepoteza
Hakuna Chama kisicho Minyukano...waulize akina Zitto...Hii ni dalili kwamba ndani ya chama kuna makundi na minyukano.
Chama kinafuka Moshi Mkuu.
Ebu ngoja iendelee kunyesha, tuone panapo vuja...🤣
Wameingia vijana wa mjini, na ngoja mpaka waseme. Watapigana mangumiKatibu Mkuu yuko shahihi kijana atulie achape kazi aache show off za kishamba aka kikolomije...
Shida ni kuwa watu wengi ndani ya CCM, wamefubaa kisiasa, kuhujumiana ndiyo silaha ya kutokea.Katibu mkuu wa sasa wa CCM, Mwenezi taifa wake na Naibu mwenyekiti wanaendesha mtumbwi uliotoboka hawawezi kuwavusha watu kwenda ng'ambo, hapo katikati itatokea ajali wakati wakibishana wenyewe kwa wenyewe ndani ya mtumbwi hadi dhoruba na tufani itakipasua chombo na kusababisha watu walio panda humo asilimia sabini (70%) kufa maji.
Wamekazana kumshambulia Makonda kimafumbo na kudhalilisha kazi zilizotukuka za JPM wakifikiri wana akili nyingi na wamiliki wa ardhi ya Tanzania lakini wanasahau anga haina mwisho na urafiki na mtu yeyote.
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha.
Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais.
Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je anataka kumfurahisha nani? Je anafanya hayo kwa dhamira ya thati?
Je, anafurahi wadhifa wa urais kutukanwa na kuhujumiwa?
Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani
Alisema ktk utawala wa naniShida kubwa CCM hawapendani na kazi yao kubwa ni kuwekeana majungu na kusemana semana badala ya kufanya kaz
Ndio maana TZ ni maskin sana , wanasiasa weng ni wajinga
Huyo huyo Makala alishawahi kusikika akisema nchi haina Rais . That means , hata mama anakuwa snitched na Watu hao hao anaowateua
CCM ni kuwekwa kwando tu