CCM ilikuwepo kabla hata Magufuli hajafikiriwa kuja kuwa Rais na hakuna kilichopungua,tofauti ni kwamba sasa hivi kelele nyingi kwa Magufuli mmesahau kama huko nyuma mlikuwa mnaipigia kelele CCM kutwa,Magu ataondoka ataiacha CCM na mwendo ni uleule tu.Turufu yao ya mwisho ndio hio inayoyoma ccm nayo safari ya kuzimu imewadia
CCM ndio imetuletea huyu shetaniCcm ilikuwepo kabla hata Magufuli hajafikiriwa kuja kuwa rais na hakuna kilichopungua,tofauti ni kwamba sasa hivi kelele nyingi kwa Magufuli mmesahau kama huko nyuma mlikuwa mnaipigia kelele ccm kutwa,Magu ataondoka ataiacha ccm na mwendo ni uleule tu.
Sasa ndio ujue CCM bado ipo sana.CCM ndio imetuletea huyu shetani
Ibara gani?Tunataka Serikali itwambie Rais Magufuli yupo wapi na anahali gani, kwani kwa mujibu wa katiba wananchi tuna haki ya kupata habari rais yupo wapi, kwani ameajiliwa na wananchi kisheria.
Mh. John Mnyika
WamefanikiwaKwa hiyo jitihada za kumbadilishia zinaendelea?
Bwashee vp tena umeachana na masuala ya uchambuzi wa kisiasa umehamia kwenye UDAKU??J J Mnyika ni level ya mbunge Hamis Taletale wa Morogoro
Hivi mbona danadana hizi zinaendelezwa hivi!? kwanini tusiambiwe tu!?Kwahiyo J J Mnyika anajimwambafy kwamba yeye ndio boss kwa sababu wakubwa zake wote wamekimbilia Ulaya.
Bure kabisa huyu dogo!
UlichokiandikaKwahiyo J J Mnyika anajimwambafy kwamba yeye ndio boss kwa sababu wakubwa zake wote wamekimbilia Ulaya.
Bure kabisa huyu dogo!
Sisi tulikuwa CCM damu damu na tunakiona kinavyozidi kutokomea siioni CCM miaka kumi mbeleSasa ndio ujue ccm bado ipo sana.
ndio wapi huko mkuuNyambafu
Hata kura hukumpigia!
Ebu tueleze kwanza
Vikao vya kumjadili Mdee na wenzake kama walikisea ama la vinafanyika lini?
Au imetoka hiyo?
Rais yupo kwenye mfungo wa kwaresima,
Dont worry he is okay and healthy
ISi walisema hawatambui matokeo hawa kina mnyika??
Dear sister, for how long, will you post both unspecified reports and rumors ?Your husband Tindu was also trying to post unspecified reports, few days ago.Willy you kindly please post to us confirmed report, not those bla bla statement.On Thursday night, an unspecified confidential report went viral claiming, among other things, that some Indian doctors had been flown in Dar es Salaam to help in the treatment of Magufuli. He is hospitalised at the same hospital where former President Benjamin Mkapa died in July last year.
The anonymity of the report notwithstanding, this version coincides with a briefing SAUTI KUBWA had received from a government insider three days ago following our report that Magufuli had been secrerly discharged from the hospital. It was the same day he was rumoured to have been admitted to a city hospital in Nairobi.
But one of our sources said: “The Kenya scenario is a hoax. It is a misinformation by TISS meant to fool the public.”
Hujui kwamba hizo unazoita taarifa za mitandaoni zilitolewa na makamu mwenyekiti wa chadema?...Yaani kikao kilijadili taarifa za mitandaoni? What if ikiwa false?
CDM mnapoteza dira.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Yupo ufipa.
Huyo mzee kaingiaje hapo?! Huo ni udhalilishaji unaokudhalilisha na wewe mwenyewe.
Do you wish to visit there?Where is this Mzena State Hospital? Is it in Dar or which part of our country?
As far as I know, all VIP r statesman e.g. The President must had been admitted in one of the Government hospital like MHN, Lugalo Army Hospital, Mlongazila, Mkapa etc!!
But the question is: What is the reason behind of keeping all these secrets about the health of our President? What's cooking up?Suppose the Presida dies....are they going to stay dumb???
Someone somebody from Government machineries must come out and speak something to clear the air about this speculation....!!!!