Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Bado tu?

Wishowe tutamaliza stock ya vinywaji na birthday haifiki
(Penye neno birthday waweza kuweka deathday (
 
Mnyika tuko vitani, vita ya uchumi. Mahindi yetu yalishambuliwa tumejibu. Soft kombora lililotumika limetengenezwa na akili kubwa ambazo ndio moja ya hazina za kiulinzi za nchi hii na kiukweli limeshambulia multiple targets. Hivyo usihangae cdm Lissu na mabeberu kupoteana. Propoganda dhidi ya vita ya corona iliyokuwa ikiendeshwa na baadhi ya makasisi ndio kwishinee hivyo.
 
To be honest CHADEMA iachane na siasa nyepesi!! Yaani kikao kilijadili taarifa za mitandaoni? What if ikiwa false?

CDM mnapoteza dira.
Chama kinapoteza nguvu zake za enzi ya Dr Slaa.

Mnyika anauliza alipo Magufuli wakati m/kiti msaidizi wa chama kwenye mitandao ya kijamii anaeleza kwa uhakika kwamba Magufuli alikuwa Nairobi na ana/amehamishiwa India!!

Chadema ijitathimini ijirekebishe ilipopotoka.
 
WAPI ALIPO RAIS WETU?

"Jana usiku viongozi wakuu wa Chama tukiongozwa na mwenyekiti Mhe. Freeman Mbowe tulifanya kikao cha kimtandao, Kama mjuavyo baadhi ya viongozi wetu wapo nje ya nchi kwa sasa, tulitafakari mambo mbalimbali." Mhe. John Mnyika

"Kati ya swala ambalo tulitafakari na kulifanyia maamuzi jana ni hii sintofahamu inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ambayo vile vile ikiandikwa ama kurushwa na vyombo vya habari vya nje ya nchi kuhusu wapi alipo Rais John Magufuli na yupo katika hali gani." Mhe. John Mnyika Katibu mkuu CHADEMA
View attachment 1723546
Lissu anafahamu aliko. Yeye ndiye aliyeanzisha ......
 
mnatafakari kwa lipi nyie wavimba macho
WAPI ALIPO RAIS WETU?

"Jana usiku viongozi wakuu wa Chama tukiongozwa na mwenyekiti Mhe. Freeman Mbowe tulifanya kikao cha kimtandao, Kama mjuavyo baadhi ya viongozi wetu wapo nje ya nchi kwa sasa, tulitafakari mambo mbalimbali." Mhe. John Mnyika

"Kati ya swala ambalo tulitafakari na kulifanyia maamuzi jana ni hii sintofahamu inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ambayo vile vile ikiandikwa ama kurushwa na vyombo vya habari vya nje ya nchi kuhusu wapi alipo Rais John Magufuli na yupo katika hali gani." Mhe. John Mnyika Katibu mkuu CHADEMA
View attachment 1723546
Huo ni unafiki mntakari kwa lipi eti Raisi yuko wapi? wakati nyie ndo number moja kumuombea mabaya fanyeni kazi ya kufufua chama chenu na kumaliza migogoro yenu na akina Halima mdee hamna jipya nyie wanafiki wakubwa
 
Humu tumekua tunajadili na wehu bila kujua, kuna watu leo hii chanzo chao cha habari ni Sauti Kubwa!
 
Kupitia hili Saga, nimekushusha sana wewe dada! Nilikua nakuona wa maana kumbe mpuuzi.
Umeshupalia kifo kwa mtu kana kwamba utaishi milele.

CCM na JPM siwapendi ila sio level ya kumwombea kifo.
The unspecified report bears similar sentiments saying Tanzania would never consider Kenya as a possible destination for the president’s treatment.

So it goes, quoting an anonymous former presidential advisor: “We would never take a president to Kenya for medical treatment during a trade war… They would get all the information on the president’s condition and leak all the details or use it against you. They would never take him to Kenya – he doesn’t like Kenyans. The intelligence agents managing this don’t like Kenyans – they don’t even share intelligence.”

Surprisingly, an almost similar reason had previously been availed to SAUTI KUBWA in an attempt to explain the possible evacuation of the president from Nairobi to India. The sources had cited political and intelligence concerns.

What many sources unanimously agree on so far is Magufuli COVID-19 condition that exacerbated his existing cardiac complications. Magufuli, who is known to have a pacemaker, was developing signs of heart failure, the report says.

It claims that very few people know the president’s whereabouts so far and that all information and the management of its flow is in the hands of TISS.

It is understood that vice president Samia Suluhu has been in-charge of the presidency since 6th March when she was hurriedly called in from Zanzibar under tight security. On Tuesday this week she presided over a cabinet meeting for the first time since Magufuli took power in 2015. No mention was made of the president, and no minister enquired about him as the meeting deliberated on the 2021/22 budget discussions. The facts, reported in SAUTI KUBWA’s earlier story, were confirmed by the report.
 
Kwaiyo sasa wanamkubali kama Magufuli na Rais wao?
Wanasiasa wa Bongo ni masamjo aisee.
 
I

Dear sister, for how long, will you post both unspecified reports and rumors ?Your husband Tindu was also trying to post unspecified reports, few days ago.Willy you kindly please post to us confirmed report, not those bla bla statement.
Sijui ni lugha inayotumika kwe hizo habari ndo zinamfanya achanganyikiwe au nn
 
Chadema kinasonga mbele kimeonyesha jinsi uongozi unavyotakiwa kufanywa
 
According to the source, he is making a progressive recovery, though the impact of an attack on his health means he can not continue to run the office.
Are you sure??
Mr. Mpango recovered from Covid-7 and is currently executing his duties perfectly....!!!
Then why is it Mheshimiwa sana after recovery cannot continue running his office?
Is it something like a Cardiac arrest or Stroke apart from Covid-19??
 
Back
Top Bottom