Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

WAPI ALIPO RAIS WETU?

"Jana usiku viongozi wakuu wa Chama tukiongozwa na mwenyekiti Mhe. Freeman Mbowe tulifanya kikao cha kimtandao, Kama mjuavyo baadhi ya viongozi wetu wapo nje ya nchi kwa sasa, tulitafakari mambo mbalimbali." Mhe. John Mnyika

"Kati ya swala ambalo tulitafakari na kulifanyia maamuzi jana ni hii sintofahamu inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ambayo vile vile ikiandikwa ama kurushwa na vyombo vya habari vya nje ya nchi kuhusu wapi alipo Rais John Magufuli na yupo katika hali gani." Mhe. John Mnyika Katibu mkuu CHADEMA
View attachment 1723546
Swali zuri ,wapi alipo mkuu wa nchi,juzi nilisema ,sie wananchi tusio kuwa na kichwa Wala miguu,tunaamini mh rais yupo na anaendelea na majukum yake ya kitaifa ,Sasa
Hole wenu mjiitao system ,hata Kama ya mziki, umeme,n.k nje na ngojela kwamba Kuna tatizo, tutaelewana, ,alipo popote aje akiwa na afya tele, hapo sawa vinginevyo patachimbika hapa.
Tumekubali kwamba kiongonzi wa nchi ni rahia no 1 na tutamheshim japo mapungufu yake atakayokua nayo so far ni binadam ,hawe anaumwa au la ,awe na matatizo au la maana ni kiongonzi wangu nje ya itikadi ya din,chama, n.k
Sasa jifurahishe Mbatizaji anasema.
Thanks, but najua mh rais yupo na majukum ya kitaifa na si vinginevyo ,na tofauti na Iyo hatutaelewana, maana mmeninyima haki ya kujua mfanyakazi wangu yu wapi, nami Sina shida najua yu salama,
 
wheres this place?Halafu hawa watu jinsi wanavyoogopa kivuli chao wenyewe.Wanaweza kweli wakamrudisha Jiwe Tz huko Mzena Hosp.Ili tu KuJustify utata wao alipo Jiwe kuwa ni kweli.
Makumbusho - DSM
 
Where is this Mzena State Hospital? Is it in Dar or which part of our country?

As far as I know, all VIPs statesmen e.g. The President must had been admitted in one of the Government hospitals like MHN, Lugalo Army Hospital, Mlongazila, Mkapa etc!!

But the question is: What is the reason behind of keeping all these secrets about the health of our President? What's cooking up? Suppose the Presida dies....are they going to stay dumb?

Someone somebody from Government machineries must come out and speak something to clear the air about this speculation
Mzena hospital iko Makumbusho hapo tu panapojengwa barabara
 
Magufuli, who is known to have a pacemaker, was developing signs of heart failure, the report says.
Hatari kubwa. CoVID19 ikimkumba mtu mwenye other “underlying health issues” kama huyu tena aged above 50 years, chances za kufa kupona huwa ni 70-30.
 
Speculations by social media and reports by some international media for the past three days have been indicating that the ailing Magufuli had been hospitalised in Nairobi, Kenya, then airlfted to India. But scores of media critics doubted the credibility of the stories for lack of facts and credible sources.

As the Magufuli saga caught fire – particularly on Wednesday and Thursday – there emerged new unconfirmed reports that he had never left Dar es Salaam, and that he was apparently hospitalised at Mzena State Hospital where he has been undergoing treatment since 7th March 2021.
Kwa hiyo ni kweli kuwa anaumwa? Inajulikana anaumwa na nini? Na kwa nini Taifa linaachwa katika kiza ilhali huyu ni ameajiriwa na kuchaguliwa kuliongoza taifa hili?

Ikiwa ni covid-19, ameipataje ilhali haipo tanzania, hakutoka nje ya Tanzania na hakuwahi kuvaa barakoa kwa sababu zimemwagiwa virusi?

Kila akikaa kimya ndio masuali yatavyozidi. Salama yake ni kuwa waandishi wa habari wote wa Tanzania ni woga.
 
Yupo na ana afya teleee
Hiyo ni taarifa nzuri na mola amzidishie uzima. Yeyote yule aliemstaarabu hamtaki mwenzake mabaya. Hata hivyo ni kwa nini hadi leo hajatokeza hadharani kukanusha uvumi huu, wala wahusika wa habari ikulu pia nao ni kimya? labda mwenzetu ungelifuatilia hili kwa huko uliko patiwa taarifa uliyoileta hapa.
 
It is reported that Magufuli has been on a ventilator for much of this week, and that his family has been kept in the dark about his developments. For the first three days of his illness, attempts were made to treat him at the state house using medics from the Muhimbili National Hospital.

Several ministers who spoke to SAUTI KUBWA until today said they did not have any whereabouts of the president, as they have been consumed in the wind of existing speculations regarding his deteriorating health.

It is understood that TISS was happy on the way the Nairobi version caught the attention of global media. And they are apparently planning to use this single media flop as evidence that all that has been reported and tweeted about Magufuli is false.

Some reports said the president was starting to respond positively to medical treatment, and that should everything go well enough, his aides would organise a simple event in which he would be seen in public, albeit briefly, as a way of dispelling the speculations about his ill health – and to show the people that he was not flown to India.
Yani kila kinachoongelewa hakina ushahidi wowote ni bora hvyo vyombo vya habar vikae kimya

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Raisi wetu kipenzi cha Watanzania kiboko cha Demokrasia kiboko cha Mabeberu mbabe wa corona na mwamba wa Barakoa zenye sumu UKO WAPI?
 

Tanzania's government under pressure to disclose whereabouts of President Pombe Magufuli


Wahenga walisemaga' "Mficha maradhi mcba utamwumbua......!!!"
Kikija kunuka mbona watasema tu wenyewe.....?...!!!Wakti ni ukuta.
 
Hii KTN ni wachonganishi nyie nao ndo wale wale
KTN wana riporti kilochoko mitandaoni na media!!
Hapa wa kulaumiwa ni Serikali ya CCM ambayo imeruhusu uvumi uendelee kwa kunyamaza kimyaaaaaaaa.....!!?
 
Back
Top Bottom