Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Bado tu?

Wishowe tutamaliza stock ya vinywaji na birthday haifiki
(Penye neno birthday waweza kuweka deathday (
 
Mnyika tuko vitani, vita ya uchumi. Mahindi yetu yalishambuliwa tumejibu. Soft kombora lililotumika limetengenezwa na akili kubwa ambazo ndio moja ya hazina za kiulinzi za nchi hii na kiukweli limeshambulia multiple targets. Hivyo usihangae cdm Lissu na mabeberu kupoteana. Propoganda dhidi ya vita ya corona iliyokuwa ikiendeshwa na baadhi ya makasisi ndio kwishinee hivyo.
 
To be honest CHADEMA iachane na siasa nyepesi!! Yaani kikao kilijadili taarifa za mitandaoni? What if ikiwa false?

CDM mnapoteza dira.
Chama kinapoteza nguvu zake za enzi ya Dr Slaa.

Mnyika anauliza alipo Magufuli wakati m/kiti msaidizi wa chama kwenye mitandao ya kijamii anaeleza kwa uhakika kwamba Magufuli alikuwa Nairobi na ana/amehamishiwa India!!

Chadema ijitathimini ijirekebishe ilipopotoka.
 
Lissu anafahamu aliko. Yeye ndiye aliyeanzisha ......
 
mnatafakari kwa lipi nyie wavimba macho
Huo ni unafiki mntakari kwa lipi eti Raisi yuko wapi? wakati nyie ndo number moja kumuombea mabaya fanyeni kazi ya kufufua chama chenu na kumaliza migogoro yenu na akina Halima mdee hamna jipya nyie wanafiki wakubwa
 
Humu tumekua tunajadili na wehu bila kujua, kuna watu leo hii chanzo chao cha habari ni Sauti Kubwa!
 
Kupitia hili Saga, nimekushusha sana wewe dada! Nilikua nakuona wa maana kumbe mpuuzi.
Umeshupalia kifo kwa mtu kana kwamba utaishi milele.

CCM na JPM siwapendi ila sio level ya kumwombea kifo.
 
Kwaiyo sasa wanamkubali kama Magufuli na Rais wao?
Wanasiasa wa Bongo ni masamjo aisee.
 
I

Dear sister, for how long, will you post both unspecified reports and rumors ?Your husband Tindu was also trying to post unspecified reports, few days ago.Willy you kindly please post to us confirmed report, not those bla bla statement.
Sijui ni lugha inayotumika kwe hizo habari ndo zinamfanya achanganyikiwe au nn
 
Chadema kinasonga mbele kimeonyesha jinsi uongozi unavyotakiwa kufanywa
 
According to the source, he is making a progressive recovery, though the impact of an attack on his health means he can not continue to run the office.
Are you sure??
Mr. Mpango recovered from Covid-7 and is currently executing his duties perfectly....!!!
Then why is it Mheshimiwa sana after recovery cannot continue running his office?
Is it something like a Cardiac arrest or Stroke apart from Covid-19??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…