Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

wanafiki hao akina mnyika si walisema hawatambui matokeo leo amekua Riasi wao stupidit.............................
Acha ubwege wako.
Hivi hao Covid-19 mmelazimisha kuwapa Ubunge Vitu Maalumu kwa kigezo gani?? Unataka kusema mlikuwa hamjui kuwa CHADEMA haimtambui Jiwe kuwa rahisi halal?? Pambaf.
 
Yuko wapi Magufuli semeni ukweli?!
 
Kumbe ndiyo maana sasa nimeelewa maana mleta mada ameanza kwa kusema kuwa au kutumia Chadema chama kukuu cha upinzani kumbe hata kujijua tu hamjui sasa mnataka kujua RAis alipo dem sh...lingi
 
Muandishi ameorodhesha viwanda ikiwemo hivi Petroli na gesi asilia, nguo, mavazi, viatu, madini, saruji.

Hivi unajua tafauti iliyopo baina ya mavazi, nguo na viatu? Unajua maana ya neno madini?
 
Ni kweli kabisa nashangaa wanashindwa kusema ukweli
Kwa style na unafiki wa Serikali hii unaweza kubaini yafuatayo:
  1. Inawezekana kweli Rais anaumwa hivo wanajaribu kufanya delaying tactics ili kumpa room of recovery. Akisha recover ndo ajitokeze kwa mbwembwe na kudai alikuwa bukheri wa afya (rejea Mpango Covid case).
  2. Hawataki kusema ukweli kuwa anaumwa Covid-19 kwasababu ya aibu kwa vile amekua akikosoa kila kitu kuhusu Covid-19!!!
  3. Hofu ya iwapo ikitokea ku-rest in peace itakuwakuwaje na nani atashikilia Usukani wa Ikulu?
  4. Assume kuna taarifa za no recovery......maandalizi ya....itakuwaje. Nani atakuwa Captain Komba kutunga mistari ya enzi za Mwalimu???
Tusubiri.....bila shaka yajayo yatafurahisha!!
 
Kwa hili nawapongeza TISS.
Kama ni kweli, kama ninavyoamini, kwamba hajaenda kutibiwa Kenya kama habari zinavyosambaa; unauchukuliaje ukimya wa serikali ya Kenya juu ya uvumi huu? Proof of animosity between these neighbors?!
 
Haya ni majanga
 
Kama ni kweli, kama ninavyoamini, kwamba hajaenda kutibiwa Kenya kama habari zinavyosambaa; unauchukuliaje ukimya wa serikali ya Kenya juu ya uvumi huu? Proof of animosity between these neighbors?!
Hospitali waliulizwa na media. Hawajakubali wala kukataa. Kama hakuwepo kwa nini wasikatae
 
Jamani Rais wetu ni Mzima anaendelea na Majukumu yake - Kassim Majaliwa (Waziri Mkuu)
Your browser is not able to display this video.
 
Hospitali waliulizwa na media. Hawajakubali wala kukataa. Kama hakuwepo kwa nini wasikatae
Na kama alikuwepo kwanini wasikubali?!

Taarifa za awali ilikuwa kiongozi toka nchi jirani kulazwa pale akitibiwa covid. Haikusemwa kama ni kiongozi toka Tanzania, na juzi kuna kiongozi kafia hapo toka Somalia. Who knows!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…