Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Acha uongo wewe au umekaririshwa? 😳Tukuyu sio sweken.
Ushafika Kibondo weye? Kule uchawi, vumbi na silaha nje nje.
Ni mabandaAkirudi ana kuta barua mezani ya uhamisho kwenda swekeni kama sio tukuyu Au huko nkasi basi mabamba mpakani na burundi 😂😂😂
By default, asiporipoti ndani ya saa 72 anakuwa ameshajiondoa mwenyewe. Huna haja ya kumtimuaAtimuliwe
Huyu jamaa atajutia uamuzi wake wa kukataa UTEUZI.CWT kuna hela za bure ambazo ni kama vile hazina mwenyewe, hazina kuhoji!...
Kila mwezi fungu linaingia mabilioni...
Ila alichokosea maganga... ni kudharau mamlaka ya uteuzi(Raisi)Akikuteua ukakataa.. ni dharau... unapaswa uchunguzwe. WHY umekataa!?
Atauona moto wa TAKUKURU!
Dinna aliapishwa na yupo ofisini kama DC kule KigomaMbona huyo Dinna waliyegoma naye kwenda kuapishwa yeye haadhibiwi? Hii ni double standard. Nchi ya kipuuzi sana hii inayopenda kulipiza kisasi ndio maana imelaaniwa kwa sababu za kishetani kama hizi.
Some people are smart; inawezekana jamaa alishakusanya kimyakimya alichovuna huko CTW saa hii yupo zake Boso anaendeleza maisha yake kwa utulivuuu. Najaribu kuwaza tuHuyu jamaa atajutia uamuzi wake wa kukataa UTEUZI.
Pia alishindwa kusoma upepo hata kama alinusa harufu ya kutotendewa haki.
Nina imani alikuwa kashakusanya maokoto angerudi fast kwa mwajiri halafu akaendelee na kazi huku akipanga namna ya kusimika mipango ya kuendeleza maokoto yake.
Ona sasa yupo hatarini kufilisiwa na kukosa kazi kabisa
Hii inaonekana ni vitaHalmashauri ya Manispaa ya Temeke imeanza mchakato wa kufungua shauri la nidhamu dhidi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Japhet Maganga baada ya kutorejea katika kituo chake cha kazi tangu alipotakiwa kufanya hivyo Oktoba Mosi mwaka huu.
Maganga ambaye cheo chake ni Mwalimu Mwandamizi katika Manispaa ya Temeke, aliomba kibali cha kuazimwa kuitumikia CWT Agosti 2017 hadi Septemba 30, 2020, akaomba tena Juni 1, 2020 na kumalizika Septemba 30, 2023, na baadaye aliomba kibali hicho kwa mara ya tatu lakini Katibu Mkuu UTUMISHI hakuridhia maombi hayo na kumtaka kurejea kwenye kituo chake cha kazi cha awali.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Elihuruma Mabelya amesema Maganga ni mtumishi wa Temeke na alitakiwa kuripoti kazini kama alivyotakiwa katika tangazo la wito, lakini hadi sasa hajaripoti, hivyo kinachofanyika ni kuchukua hatua za kinidhamu dhidi yake.
"Yule ni mtumishi wa Serikali hapaswi kuigomea Serikali, sisi tunachojua yeye ni mtumishi wetu, kule aliko kibali kimeisha sio tena sehemu yake ya kazi, amesema.
Maganga alichaguliwa Desemba 2022 na Mkutano Mkuu wa CWT kuwa Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Deus Seif
ambapo awali alikwa akitumikia nafasi ya Naibu Katibu Mkuu.
Mnamo Januari 25, mwaka huu, Maganga, Makamu wa Rais wa CWT, Dinna Mathaman na Rais wa CWT, Leah Ulaya waliteuliwa na Rais Samia Suluhu kuwa Wakuu wa Wilaya lakini Maganga na Mathaman hawakufika kuapa.
Katika maDC watatu walioteuliwa, ni mmoja tu aliyekubali kuapishwa. Ni yupi huyo? Usipotoshe.Dinna aliapishwa na yupo ofisini kama DC kule Kigoma
Hata kama ni hivyo, amekosea.Some people are smart; inawezekana jamaa alishakusanya kimyakimya alichovuna huko CTW saa hii yupo zake Boso anaendeleza maisha yake kwa utulivuuu. Najaribu kuwaza tu
Aliyekuwa Rais wa CWT ndio nasikia alikubali/alihudhuria kuapishwa/uapishoKatika maDC watatu walioteuliwa, ni mmoja tu aliyekubali kuapishwa. Ni yupi huyo? Usipotoshe.
Yule anaitwa Leah Ulaya. Waliogoma ni Dinna na Maganga. Kwanini Dinna haguswi anakomaliwa Maganga tu? Ipo namna hapa sio bure. Serikali kuna mahali inajichanganya yenyewe kwenye maamuzi yake kwa sababu uovu wao umeshikwa pabaya.Kwanini serikali inaingiza siasa CWT kila mwaka kutaka kuingiza mamluki ili wachote pesa za walimu? Wamezoea kuchota.pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya kamii na NHIF. Kule CWT wamekosa kuingia wanakuwa wakali. Kwani nyie serikali hizo hela ni za kwenu hadi mtake kuzipora? Mungu anawaona!Aliyekuwa Rais wa CWT ndio nasikia alikubali/alihudhuria kuapishwa/uapisho
Naona bora Maganga aachane nao, kina cha maji ni kirefu asije akapoteze vyote bureYule anaitwa Leah Ulaya. Waliogoma ni Dinna na Maganga. Kwanini Dinna haguswi anakomaliwa Maganga tu? Ipo namna hapa sio bure. Serikali kuna mahali inajichanganya yenyewe kwenye maamuzi yake kwa sababu uovu wao umeshikwa pabaya.Kwanini serikali inaingiza siasa CWT kila mwaka kutaka kuingiza mamluki ili wachote pesa za walimu? Wamezoea kuchota.pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya kamii na NHIF. Kule CWT wamekosa kuingia wanakuwa wakali. Kwani nyie serikali hizo hela ni za kwenu hadi mtake kuzipora? Mungu anawaona!
Ametakiwa yeye arudi kituo chake cha kazi, hawezi kujitetea mbona mwenzake hajarudi, atekeleze alichotakiwa kufanyaYule anaitwa Leah Ulaya. Waliogoma ni Dinna na Maganga. Kwanini Dinna haguswi anakomaliwa Maganga tu? Ipo namna hapa sio bure. Serikali kuna mahali inajichanganya yenyewe kwenye maamuzi yake kwa sababu uovu wao umeshikwa pabaya.Kwanini serikali inaingiza siasa CWT kila mwaka kutaka kuingiza mamluki ili wachote pesa za walimu? Wamezoea kuchota.pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya kamii na NHIF. Kule CWT wamekosa kuingia wanakuwa wakali. Kwani nyie serikali hizo hela ni za kwenu hadi mtake kuzipora? Mungu anawaona!
Walim hampendani mnachuki yakimasikinTutafutilia assets zake, mpaka aseme poo