Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Nadhani hii serikali ya JPM ndio imetufikisha kwa hii nongwa ya watu kuchukiana .....alafu pia nendeni PEMBA mkaongee na masheikh wanaosoma ALBADIRI wanasema kifo cha Maalim kina mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mkono wa Ufipa!Nadhani hii serikali ya JPM ndio imetufikisha kwa hii nongwa ya watu kuchukiana .....alafu pia nendeni PEMBA mkaongee na masheikh wanaosoma ALBADIRI wanasema kifo cha Maalim kina mkono
Hata jina na cheo havivutii.Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Bashiru amejitambulisha Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi amemtaka akautendee haki uteuzi wake kwa kuwaletea maendeleo wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Kweli Ufipa ndio wana serikali..Labda mkono wa Ufipa!
Chacha!Kweli Ufipa ndio wana serikali..
sijajua unafikiriaje kwakweliUzi umekosa wachangiaji, habari hii haijawavutia watu, labda ingekuwa Tanzia
Mbona mnapenda sana kubadili madaLisu anafikri hata Magu akifa yeye ndio atakuwa rais
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Bashiru amejitambulisha Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi amemtaka akautendee haki uteuzi wake kwa kuwaletea maendeleo wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Bashiru amejitambulisha Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi amemtaka akautendee haki uteuzi wake kwa kuwaletea maendeleo wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Ule mkoa wakipanda vyeo wanajiona sanaHata jina na cheo havivutii.
Yani haileti hata mvuto
Hata sura cheo hazi uwianiHata jina na cheo havivutii.
Yani haileti hata mvuto
Inaweza kuwa ni Habari kubwa sana!Hii nayo ni habari??
Tulia Pro wa jalalaniHehehehe
Wewe unamchukia nani? Na sababu gani? Lakini pia yupo aliye kulazimisha kumpenda mtuu?Nadhani hii serikali ya JPM ndio imetufikisha kwa hii nongwa ya watu kuchukiana .....alafu pia nendeni PEMBA mkaongee na masheikh wanaosoma ALBADIRI wanasema kifo cha Maalim kina mkono
KMK Balozi Bashiru na Rais Mwinyi walifahamiana lini?Kwa hiyo Bashiru na Mwinyi walikuwa hawafahamiani? nchi ya vituko kwelikweli
Mpuuzi wewe, wote hawakuwa CCM?KMK Balozi Bashiru na Rais Mwinyi walifahamiana lini?
Hivyo ni vyeo ujue!
Uelewa wako ndipo ulipoishia, nimekudharau!Mpuuzi wewe, wote hawakuwa CCM?