Sawa Lissu ni mzushi tumeshampuuza kitambo. Tuambieni sasa alipo mtumishi wetu namba moja John Pombe Magufuli? Sisi waajiri wake tunataka kujua alipo.Hii habari inatosha kutoa ujumbe kwamba maisha Tanzania yana songa mbele. Achaneni na uvumi wa kipuuzi wa Lissu. Lissu kaamua kuwa dalali wa kuombea watu kuumwa nawa chanjo ya corona, kutoka kushindwa kudalalia ushoga Tanzania.. Eti eti eti eti eti! chanjo ina nguvu kuliko kumtegemea Mungu.
Amelaniwa yule amtegemeaye mwanadamu na' vitu'.
Uelewa wako ndipo ulipoishia, nimekudharau!
Chadema ikiingia ikulu mwaka 3000 utaelewa maana ya itifaki.
Endelea kuchochea mbege manka!Akili yako sijui kama ina akili, kwa hiyo viongozi wa Zanzibar hawatakiwi kuja kujitambulisha bara? Itifaki ni kwenda Zanzibar pekee! shame on you
Amemtembelea nyumbani kwake?Kwani hawafahamiani hadi ajitambulishe? Sema amemtembelea
Useri ulipelekwa kwenda kulinda kwa mzee Silayo karibu na sokoni hukumaliza hata wiki ukafukuzwaChochea kuni wanaume wanasubiri mbege hapa usseri!
pole sana bro ..Wewe unamchukia nani? Na sababu gani? Lakini pia yupo aliye kulazimisha kumpenda mtuu?
Kwani umeambiwa amepotea?Mbona nyie makarai ya ufipa mnakuwa wajinga wa kiasi cha takataka hivi,Kukiwa na shughuli akihitajika utamuonaSawa Lissu ni mzushi tumeshampuuza kitambo. Tuambieni sasa alipo mtumishi wetu namba moja John Pombe Magufuli? Sisi waajiri wake tunataka kujua alipo.
sawa hajapotea, yuko wapi? maana tumezoeshwa akila mahindi barabarani tunaambiwa, akinunua jogoo kwa kumuuza mama yake tunaambiwa, akienda kusali tunaambiwa.Kwani umeambiwa amepotea?Mbona nyie makarai ya ufipa mnakuwa wajinga wa kiasi cha takataka hivi,Kukiwa na shughuli akihitajika utamuona
Sawa Lissu ni mzushi tumeshampuuza kitambo. Tuambieni sasa alipo mtumishi wetu namba moja John Pombe Magufuli? Sisi waajiri wake tunataka kujua alipo.
Tunahitaji kujua yuko wapi mtu ambaye tunamlipa, tunalisha, tunamvalisha na kumtibu kwa kodi zetu? Lissu na mabeberu wa kenya hawatuhusu maana hatuwalipi. Tunamtaka tuliyemuajiri na tunamlipa na kulisha kwa kodi zetuMwambieni Lissu na vyombo vya mabeberu vya habari uchwara, vikaragosi wa mabeberu na Kenya kuwa vita yao ya mahindi/uchumi walioianzisha kombora la kwanza kuwajibu kuwajibu ndio hilo. Uhalali wao taswira na hedhima yao katika jamii imekuwa zero/ mufilisi.
Hili kombora limeshambulia mpaka mpango wa siri ulionyuma ya biashara ya corona.
Tunahitaji kujua yuko wapi mtu ambaye tunamlipa, tunalisha, tunamvalisha na kumtibu kwa kodi zetu? Lissu na mabeberu wa kenya hawatuhusu maana hatuwalipi. Tunamtaka tuliyemuajiri na tunamlipa na kulisha kwa kodi zetu
Hivi tanzania tuna vita gani na tunapigana na nchi gani, lini huyo amiri jeshi mkuu alitangazia taifa kuwa tuko vitani?Wakati wa vita iwe ni vya kutumia vifaru au hivi soft vya kutumia akili tu, lazima amirigeshi Mkuu awe mafichoni. Huu ni utaratibu duniani kote.
Hivi tanzania tuna vita gani na tunapigana na nchi gani, lini huyo amiri jeshi mkuu alitangazia taifa kuwa tuko vitani?