Kosa moja halihalalishi kosa jingineZito aache utapeli, kuna ushahidi kibao wa watu kuuwawa ili ccm wake madarakani hasa huko Zanzibar, ni hatua ipi alichukua zaidi ya wao kwenda kuungana na wauaji kwa ghiliba ya kuliponya taifa?
Sio wa kumuamini kabisa huyu kijanaZitto anyamaze , siku aliyoungana na Dicteta kumsingi alikubali fikra na mawazo na maamuzi yake, asitafute Kiki Kwa pikipiki
Anaandike yeye kwanza anao wajua asituhadae hapaa. Yaaani hawa wapinzani wetu kwa nini kila jambo baya linalolikabili taifa letu wao wanachukulia kisiasa??
Napotosha nini ?Hii ni taarifa ya zamani mkuu, acha upotoshaji wa makusudi
Atafanya nini, kama hapo alipo na ushahidi wa wazi na umemshinda kuchukua hatua, ndio ataweza kwenye huo ugonjwa tulioko dunia nzima? Akatafute wasiomjua ndio awalishe huo utapeli.Kosa moja halihalalishi kosa jingine
Thanks broJohn William Herbert Kijazi may your soul rest in peace
Huyu Naye mpumbafu mbayawani.nani anacheza na uhai wa mtu hapa? Mnashindwa kutumia akili vizuri mnaanza kisingizia watu.by the way huko ughaibuni Hawafi kwa corona?
Huyu akili zimemruka,ni wapi hao watu anaowataja tulikubaliana nao wawe walinzi wa roho zetu?
Kwa hio Subiri Corona yako inakuja mdadaKwahiyo?
Anazikwa Korogwe Jumamosijamny nina swal kwan huyu mzee wa watu wanampumzisha hapa DSM au mkoani maana nimeona msafara mjini mchana na jion tena mida saa moja jion tena maeneo ya kunduchi??
Nyani ngabu alisema yeye haogopi koronaWakuu namuulizia member mwenzetu maharufu Nyani Ngabu mahali alipo maana sijamuona muda mrefu sana wakuu
Me naombea imdake kipa namba 1Asee ipunguze punguze hao wajuu kwanza kabla ya kufika kwetu wanyonge.