BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kwani aliwahi kupona?
sababu alishakuaga kichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sababu alishakuaga kichaa
We unao?Lete ushahidi
si muda anaenda kwao hatari hiiSafari ya Meko kwenda kujifungia Chato imekaribia
Akae miezi sita kama mwaka jana
Tulifanya sana mizaha acha tuonje joto ya jiweR.I.P Kijazi! Too much of Tanzia News jamani😪😪
Pole sanaHadi Afe nani?
Mwenyewe nina mafua hapa
R.I.P Kijazi. Barakoa ingeweza kusave maisha yako.Too sad. Enough is enough.
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
Pumbavu kabisaWatanzania kamwe msikubali chanjo ya Corona kwasababu hii chanjo ni ya Freemason. Msije mkaingia kwenye mtego huo. Chonde chonde
Wamekufa wangapi? Embu acheni kukuza vitu nyie Chadema. Hivi hamna aibu?Duuh hatari sana, hii wiki sio njema kabisa kwa upande wa serikali yaani acha tu maana watumishi waandamizi wanazidi kupungua tu yaani ni pigo aisee
Umeandika nini ewe kilaza?nyani mahali alipo maana sijamuona muda mrefu sana wakuu
Bushmumy my beautiful baby i assure you if you stay close in my gently strong arms you will be safe. Just try meSasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
AMINR I P. Naona hit after hit...
Nna mwanangu wa miaka 12 just now alikua ananiambia 'mama mie naona kama ntakufa mwaka huu. Maana naona mwaka huu watu wengi wanakufa' Mola atupe umri wa kheri.
Wewe Dogo wewee. Yani nimecheka balaaHadi Afe nani?
Mwenyewe nina mafua hapa
Typing error mama ... take it easy . Haya mambo hayaitaji hasiraUmeandika nini ewe kilaza?
Wewe utakua na shida kubwa sana kichwani.Wamekufa wangapi? Embu acheni kukuza vitu nyie Chadema. Hivi hamna aibu?