TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Namba Moja ( Baba ) na Namba Mbili ( Mama ) wako salama kama huyu Mtendaji wao Mkuu wa karibu Kafyekwa ( Kapukutika ) nao.

Binafsi naanza sasa Kujiandaa kwa Habari Mpasuko nyingine mbaya nchini kwani nijuavyo kuna Mmoja Kihistoria tu Afya yake ilishakuwa na Mgogoro kwa kuwa na Kirusi cha Kuishi kwa Matumaini sasa akiingiwa tu na Kirusi cha Wuhan huenda Tanzania tukawa na Siku 15 au 30 za Maombolezo.
Siku 30 zote za nn? 3 tu zinatosha watu tuendelee na maisha yetu
 
58b095b7-946c-4fc2-959f-589ed29b14a7.jpg
 
Jamani kilichopo tutulie na tuchukue tahadhari,Rona is here..ni kwl ilipungua sana hapo nyuma...Mimi kwa akili zangu finyu nahisi ile kufungulia watalii itakuwa imechangia kwa kiasi fulan kurudisha maambukizi duhhh yaan I'm speechless kabisa... Ee Mungu tulikuamini,tulikutegemea ,Bado tunakutegemea,usituaibishe baba. Usiache adui zetu wakatucheka wala kufurahi..tuepushe na hili janga mfalme.
 
Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Namba Moja ( Baba ) na Namba Mbili ( Mama ) wako salama kama huyu Mtendaji wao Mkuu wa karibu Kafyekwa ( Kapukutika ) nao.

Binafsi naanza sasa Kujiandaa kwa Habari Mpasuko nyingine mbaya nchini kwani nijuavyo kuna Mmoja Kihistoria tu Afya yake ilishakuwa na Mgogoro kwa kuwa na Kirusi cha Kuishi kwa Matumaini sasa akiingiwa tu na Kirusi cha Wuhan huenda Tanzania tukawa na Siku 15 au 30 za Maombolezo.
HIV is a bad predisposing condition to Covid, ambapo ukipata Wuhan virus safari ni ya lami!
 
Back
Top Bottom