Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mtanzania pekee mwenye Utaalam wa Nyuklia japo akaishia tu kuwa Mwanasiasa huku Tanzania ikishindwa hata tu kuwa na Robo Kinu cha Nyuklia.Awamu ya nne? penyeza basi
Jitu Bishi linalia sasa na kutaka lirudishwe Nyumbani Kanda ya Ziwa likajifiche huku lipige Nyungu na Waganga wake wa Jadi waanze Kumchanja Mwilini ili asife mpaka aishuhudue SGR na Bwawa la Umeme la Rufiji.Wasaidizi waandamizi wameanza kupata barafu miguuni.
Ana jina linaendana na yule gavana wa benki kuu aliyepotea....Awamu ya nne? penyeza basi
tuondolee upu.uzi wakoWatanzania kamwe msikubali chanjo ya Corona kwasababu hii chanjo ni ya Freemason. Msije mkaingia kwenye mtego huo. Chonde chonde
Asipokuelewa hapa basi hatokuelewa tena Ndugu.Ana jina linaendana na yule gavana wa benki kuu aliyepotea....
galibMakamu aliyekua na wake wawili.
nimempata vema... ................. aliyepotelea Marekani bAna jina linaendana na yule gavana wa benki kuu aliyepotea....
Kwakweli atakuwa kichwa maji...Asipokuelewa hapa basi hatokuelewa tena Ndugu.
Siku 30 zote za nn? 3 tu zinatosha watu tuendelee na maisha yetuNitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Namba Moja ( Baba ) na Namba Mbili ( Mama ) wako salama kama huyu Mtendaji wao Mkuu wa karibu Kafyekwa ( Kapukutika ) nao.
Binafsi naanza sasa Kujiandaa kwa Habari Mpasuko nyingine mbaya nchini kwani nijuavyo kuna Mmoja Kihistoria tu Afya yake ilishakuwa na Mgogoro kwa kuwa na Kirusi cha Kuishi kwa Matumaini sasa akiingiwa tu na Kirusi cha Wuhan huenda Tanzania tukawa na Siku 15 au 30 za Maombolezo.
Ewaaaa.... sawasawanimempata vema... ................. aliyepotelea Marekani b
Huenda sasa akatangaza kwani 90% ya Waandamizi ( Watendaji ) wake pamoja na Ndugu zake baadhi wanaugua sasa Wuhan Virus.
Nikiambiwa hana huu Ugonjwa ( nae haujampata ) naogelea kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.Ngoma imegonga hodi ofisini kwa mjomba.
HIV is a bad predisposing condition to Covid, ambapo ukipata Wuhan virus safari ni ya lami!Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Namba Moja ( Baba ) na Namba Mbili ( Mama ) wako salama kama huyu Mtendaji wao Mkuu wa karibu Kafyekwa ( Kapukutika ) nao.
Binafsi naanza sasa Kujiandaa kwa Habari Mpasuko nyingine mbaya nchini kwani nijuavyo kuna Mmoja Kihistoria tu Afya yake ilishakuwa na Mgogoro kwa kuwa na Kirusi cha Kuishi kwa Matumaini sasa akiingiwa tu na Kirusi cha Wuhan huenda Tanzania tukawa na Siku 15 au 30 za Maombolezo.
The expected... nogopa sana, ilaMke wa Dr Kijazi amelazwa Muhimbili.