TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Mbona mama aliyesema tusitupe sukari ziwani nae hali ni tete!
Nimeukumbuka wimbo wa "Ambassadors Choir" ya Rwanda, waliouimba baada ya wenzao kufa kwa ajali ya basi huko mkoani Mbeya wakiwa ziarani nchini Tanzania. Waliimba hivi, "KWA NINI UMERUHUSU?". Walikuwa wakimlilia MUNGU aliyeruhusu ajali itokee na wenzao wakafa. Hii ni kwa sababu hata Shetani hawezi kumdhuru mwanadamu kama MUNGU hajaruhusu, Kumbuka hadithi ya Ayubu, pale MUNGU alipokutana na Shetani akamhoji, Unatoka wapi wewe? Naye akajibu "Ninatoka huku na huko na humo" .............,....

Mimi ninamlilia MUNGU aliyetuletea utawala huu wenye kiburi cha ajabu na ambacho tulio waamini watuwakilishe wanaendelea kusifu hata pale wanapowashuhudi wenzao wakianguka na kufa kila uchwao. Kilangila.
 
Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Namba Moja ( Baba ) na Namba Mbili ( Mama ) wako salama kama huyu Mtendaji wao Mkuu wa karibu Kafyekwa ( Kapukutika ) nao.

Binafsi naanza sasa Kujiandaa kwa Habari Mpasuko nyingine mbaya nchini kwani nijuavyo kuna Mmoja Kihistoria tu Afya yake ilishakuwa na Mgogoro kwa kuwa na Kirusi cha Kuishi kwa Matumaini sasa akiingiwa tu na Kirusi cha Wuhan huenda Tanzania tukawa na Siku 15 au 30 za Maombolezo.
Ramli chonganishi
 
RIP Mzee Kijazi, umetangulia, twafuata nyuma ama kwa ugonjwa au matakwa yake Mwenyezi Mungu..
 
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.

Mzee mwenzangu naona akili imeanza kurudi kwa mbaliiii.
Hii vita haina mwenyewe.

Au tuendelee kupiga nyungu na tangawizi?

Eti Covid imeondoka Tz kwa maombi! Duh.....
 
Most likely vaccinated secretly!
Tuassune Kijazi na Seif nao pia walikuwa vaccinated na yule waziri wa kichina... unadhani "au nasema uongo ndugu zangu" atakuwa katika hali gani leo hasa akijisikia anataka kukohoa?
 
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
#tuonanepale
 
Back
Top Bottom