TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Poleni familia, Wahamasishe watu wachukue tahadhari sana. Wanaotaka kujifungia wajifungie, wengine tahadhari kubwa.

Rais kubali Chanjo za Pfizer zitapunguza vifo.

Hospitalization.
Rais huyu?
 
Naongea kwa uchungu sana sio kwa ajili ya hawa viongozi wawili kufariki kinachoniuma watu pamoja na elimu zao kubwa kwa uwoga kabisa walishindwa kumshauri mzee kwenye hili please unakosea na usalama wa taifa wanafanya nini? walishindwa kumwambia mzee huu mchezo ni hatari? uwoga gani huu? hawa wameondoka kwa kiasi fulani wanawajibika na vifo vyao walikebehi wavaa mask hata ugonjwa. huku mitaani ndio shida. bado walirundika vijana katika matamasha hayana kichwa wala miguu sijui serengeti festival mikutano ya hovyo tena kwa sifa, vijana hawaumwi hata wanafunzi sio sana ila wanasambaza kwa kasi. please shutdown schools na hawa wanaofanya maamuzi ya kizembe wawajibike. this is series wafunge midomo yao kupotosha watu mpaka ufiwe na wa kwako ndio uone kuna shida.
 
Kuchukua tahadhari hadi uambiwe na serikali? Are u serious?
Tahadhali ya nini wakati baba yako unayemsifu na kumuabudu kasema Tanzania hatuna Corona? Mnayesifu na kuabudu "This unscientific and unreasonable Devil", mnashiriki kusababisha vifo hivi. Kilangila.
 
Na mkewe nasikia pia hali siyo nzuri pale MNH
Sio mkewe tu please nenda Hosp zote za Tanzania uwone wagonjwa wanavyopigania maisha yao, halafu una waziri wa afya anafanya utani na viclip vyake huku anacheka, una katibu wa afya anatembea na kupiga picha hakuna wagonjwa wako wa tatu wengine kawaida tuu wanasukari. sukari? mamilioni ya watu wana sukari miaka yote tumeona haya? katibu wa afya kama yuko na anaogopa Mungu basi angetuma barua ya kujiuzulu, wasiri wa afya angesema samahani na angeachia ngazi. sisemi kama ni hawa tu tatizo ila itakuwa mwanzo wa kuanza upya katika hili. wajitoe kafara basi.
 
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema "Hatuwezi kuyashinda matatizo yetu kwa kujidanganya kwamba hayapo". Tuendelee kuchukua hatua, tuendelee kujilinda. The situation is alarming. Kwaheri Balozi Kijazi.!
Tuna hitaji alie apa kuilinda katiba na watu wake atoe tamko leo!!!!
Hatuwezi kuendelea kuona Watanzania wana kufa kwa uzembe wa mtu mmoja.
 
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
Kwa hali hii; tutanyoa sana vipara mpaka viote sugu. RIP Balozi Engineer Kijazi. Mungu awalinde watoto na nduguze. Amina.
 
Kuchukua tahadhari hadi uambiwe na serikali? Are u serious?
Unajuwa kazi ya serikali ni nini?? kazi yao kutoa miongozo sahihi kulinda wananchi wake wizara ya afya kazi yake nini? kula mananasi?? wakati tatizo lipo wao wako busy waziri na katibu wa afya kwenda katika media kupiga mapicha kuwa hatuna shida wako wagonjwa watatu tu wengine wana sukari na pressure tu, unatuma ujumbe gani kwa watu? watu wameanza kuvaa barakoa bila kuambiwa ila wao viongozi wa serikali hawataki kuvaa wanatuma ujumbe gani? wanashindwa kufunga shule maana watoto wako strong ila hawa ndio watawaletea magonjwa home na vijana. mimi nimesha zuia mtoto wangu kwenda shule mimi binafsi na liwalo liwe ila serikali inafanya nini? kazi yao nini? kula mananasi
 
Back
Top Bottom