Muendelee tu kuparuana! Maana wote hamna faida yoyote ile kwa nchi yetu. Zaidi tu mnaifilisi kupitia upigaji wenu, ufisadi, uhujumu uchumi, nk.
Polepole anasemaje?
Kupita bila kupingwa umesahau mara?100% maana yake ni nini?
Toka ripoti ya hizo mali imetoka na hakuna hatua yoyote mpaka leo, na enzi hizo chama kilikuwa chini ya dhalimu, ndio itakuwa kuzitapika kwa huyu mama?Andika ujinga wako lakini mali za CCM bado mtazitapika tu.
Bashiru hana muda wa kupoteza kwa huo ujinga wako.
Sina uhakika kama wewe ni mwana CCM bali una chuki zako tu.
Wana CCM hawapo wajingawajinga kama wewe kwenye mambo ya msingi.
Mwandiko wa Nape kabisa huu
Mia moja100% maana yake ni nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taratibu kada, msitoane macho![emoji2223]
Huyo Muhutu mpeni kesi ya uhamiaji haramuDr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.
CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.
Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.
Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.
Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Hii ni topic ya mwanachadema FULL uchonganishi!Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.
CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.
Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.
Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.
Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.