Si sawa kubisha tu bila kuwa na hoja au kufikiri vizuri kidogo.
Serikali inatekeleza ilani ya chama na chama ndio kinatengeneza serikali kwa mfumo wetu....Hili hujui pia?
Kwa hivyo maendeleo ya nchi yanapangwa na chama.
Nadhani tumeelewana.
Serikali inatekeleza ilani ya chama na chama ndio kinatengeneza serikali kwa mfumo wetu....Hili hujui pia?
Kwa hivyo maendeleo ya nchi yanapangwa na chama.
Nadhani tumeelewana.
Hapo chama na nchi vinakutania wapi?