Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Andika ujinga wako lakini mali za CCM bado mtazitapika tu.

Bashiru hana muda wa kupoteza kwa huo ujinga wako.

Sina uhakika kama wewe ni mwana CCM bali una chuki zako tu.

Wana CCM hawapo wajingawajinga kama wewe kwenye mambo ya msingi.
Taratibu jamani makada msitupigie kelele tuko kwenye mfungo wenzenu msioje kutoana macho bure

Hivi nani aliwaambiaga mikiiua chadema ndio mtatawala kwa raha ... ona sasa mmeua upinzani wa nje umezaliwa wa ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa mnparurana kama mapaka shume mtauana buree [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kumbukeni kuna Mungu ... hamjajifunza tu kwa Marehem maana saivi anakula mkurutu wa Jahanam ham hana anajuuuuuta kuzaliwa huko alipo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuwe wakweli tuache chuki,bashiru kaua au kakijenga chama mpaka wengine kuona nidhamu ya chama imerudi tukarudi pia,mlizoea umwinyi na ubwanyenye Sana ndo Mana mnajiitaga CCM asilia.

CCM mlijimilikisha nyinyi na kurithisha nafasi za uongozi kwa vizazi vyenu kiasi eti mnapeana vyeo bila taratibu kwa kuitana nyinyi Ni familia za kiuongozi
 
alichokosea BASHIRU kimeanzia kwenye uhakiki wa mali za chama aminiamini nakuambieni wizi CCM wizi CCM wizi wizi wizi mtupu CCM ni ile ile ukiacha bashiru wapo wengne nyuma yake
B
alichokosea BASHIRU kimeanzia kwenye uhakiki wa mali za chama aminiamini nakuambieni wizi CCM wizi CCM wizi wizi wizi mtupu CCM ni ile ile ukiacha bashiru wapo wengne nyuma yake
Bashiru ni Mwizi na Muhaini Noted
 
Mna lenu jambo, kwani Ubunge haumtoshi?
"Bashiru anafanya nini humu" alisema ............."
 
Andika ujinga wako lakini mali za CCM bado mtazitapika tu.

Bashiru hana muda wa kupoteza kwa huo ujinga wako.

Sina uhakika kama wewe ni mwana CCM bali una chuki zako tu.

Wana CCM hawapo wajingawajinga kama wewe kwenye mambo ya msingi.
kwahyo wana CCM hamtaki mama ashinde kwa 100% ????😁😃
 
La mama SSH kupata 100% halina ubishi

Mwacheni mbunge Bashiru apumue buana
 
Acha kumchafua Dk Bashiru wewe mjinga,bila shaka wewe ni mmoja wa watu mlio kuwa mmejimilikisha mali za chama!!
Dk hana muda wa kushiriki hayo unayojaribu kumchafua hapa!!
Wewe na wenzako wezi wa mali za chama mmekuwa na chuki na DK toka alipowanyanganya mali za chama mlizokuwa mmejilimbikizia!!
 
Uongo uongo tu. Amewanyang'anya mali za chama nyie ndio mnaoteseka. Bashiru kuzuia mama asipate asilimia 100 inasaidia nini? Wajinga tu ndio watafuatilia post yako na kuona umeandika topic ya maana.
Sukuma Gang tulieni mnyweshwe dawa iwaingie fresh
 
Back
Top Bottom