Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Kwenye siasa kufuata makundi na falsafa fulani inaruhusiwa. Lakini hili jambo la kumchukia Bashiru kwa kua alitimiza majukumu yake vizuri na wewe ukaathirika si vema.

Kumgombanisha na Rais si sawa na ninaamini Rais ana vyombo ambavyo vinamsaidia na vitasema km Bashiru ni threat au la.

Ifike mahala tuwe tunareason kidogo tuache majungu na fitina ambazo hazitasaidia kujenga nchi hii.

Mimi na wewe tunaowajibu wa kujenga nchi hii kwa kutoa mawazo ya kujenga sio kufitinisha.

Rais pia anapaswa kutulia naona kuna miruzi mingi mno kipindi hichi.
Hapo chama na nchi vinakutania wapi?
 
Kwenye siasa kufuata makundi na falsafa fulani inaruhusiwa. Lakini hili jambo la kumchukia Bashiru kwa kua alitimiza majukumu yake vizuri na wewe ukaathirika si vema.

Kumgombanisha na Rais si sawa na ninaamini Rais ana vyombo ambavyo vinamsaidia na vitasema km Bashiru ni threat au la.

Ifike mahala tuwe tunareason kidogo tuache majungu na fitina ambazo hazitasaidia kujenga nchi hii.

Mimi na wewe tunaowajibu wa kujenga nchi hii kwa kutoa mawazo ya kujenga sio kufitinisha.

Rais pia anapaswa kutulia naona kuna miruzi mingi mno kipindi hichi.
Ccm itatumia dola kubaki madarakani.
 
Hizo mali ndiyo zimeshakwenda hizo! Hakuna wa kuzitapika tena! Muanzilishi wa huo mkakati ameshakwenda zake. Ccm imesharudi kwa wenyewe!

Bashiru na ccm wenzake makinikia, wataishi kama Mamluki tu ndani ya chama! Yuko wapi Polepole? Yuko wapi Ole Sabaya? Yuko wapi Albert Chalamika? Yuko wapi Kheri James?

Kwisha habari yao!!!
Wameua chama kabisa bashiru na genge lake
 
Hivi huwa najiuliza kwa nini unakuwa na CHUKI na Binaadamu mwenzio ambayo haina hata sababu?!

ni ROHO MBAYA?, ushirikina? au ni roho ya kishetani?!

Ukiwa na tabia ya kumchukia jinaadamu mwenzio kwa kiwango cha kishetani basi jiaangalie vizuri lazima wewe utakuwa MSHIRIKA wa mashetani au wachawi.

tuache chuki, unafiki na roho za kishetani.
si ametoka na amekubaliana na kilicho tokea sasa nini tena mnataka kutoka kwake? Roho yake? au?
 
Hivi kweli mtu akishakua Rais wa JMT na kwa utaratibu wa chama ndie anaetarajia kuthibitishwa na Mkutano Mkuu CCM (T); kuna haja ya mtu kushindana apata kura ngapi na asipate kura ngapi??

Nadhani Bashiru alishaondoka kwenye nafasi ya KM wa CCM; na hata angekuwepo bado sio mtu mwenye ushawishi kwa wajumbe kupunguza kura kwani, Rais ambae anatarajiwa kuwa Mkiti hana mshindani.

CCM endeleeni na maandalizi na huu sio wakati wa kutafutana uchawi. Mpeni muda mama aweze ku-heal na taifa pia liweze ku-heal. Bashiru hajawahi kuwa na ushawishi nje ya nafasi ya katibu mkuu ambayo aliachia ngazi mara baara ya uteuzi kwenda kwa CS.

So far, muacheni Bashiru pia aweze ku-heal, maana kimtazamo amekutana na changamoto ya quick shift in position toka SG kwenda CS na ndani ya siku 33 anakuwa mbunge wa kawaida. Bashiru apewe muda wa kupumzika kiakili ili atimize majukumu yake mapya ndani ya Bunge la JMT.

Sioni kama kuna maslahi ya mtu kumpinga Rais apate kura chache za kuthibitishwa kuwa Mkiti wa CCM (T).

Kila la heri na maandalizi ya Mkutano Mkuu maalum CCM (T)
 
Hatupaswi kuargue for the sake of arguing.
Nani hajui km serikali inatekeleza ilani ya chama kilichomadarakani?
Chama ndio kinachotoa dira ya maendeleo ambayo inatekelezwa naserikali.
Huwezi kutofautisha nchi na chama kwa mfumo wetu labda km unamawazo mbadala ambayo kwa sasa hayana tija kulingana na mfumo wetu.
 
Back
Top Bottom