Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Kishindo kitapungua kama kura zisipofika 100%Kwani anashindanishwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kishindo kitapungua kama kura zisipofika 100%Kwani anashindanishwa?
Maana yake ni ushindi wa kimbunga a.k.a kishindo. Huko CCM si mnapenda ushindi mkubwa. VP bungeni juzi alikubalika kwa 100% baada ya jina lake kupelekwa na mama. Sasa Mwenyekiti wa chama asipopita kwa 100% haitapendeza.100% maana yake ni nini?
Bashiru aliwahi kuwa mmsafi toka akiwa CUF?Acha kumchafua Bashiru
una ushahidi kuwa alikuwa CUF?Bashiru aliwahi kuwa mmsafi toka akiwa CUF?