Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%

Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Mama samia anagombania uenyekiti akichuana na nani?
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Kama wewe ni Mwana Ccm kwani huna namba zake ukawasiliana naye?
Kwani unadhani Dr Bashiru anatumia Jamii forum?
Tuhuma ambazo unamshutumu kwamba anafanya juhudi ili Mheshimiwa Rais SSH asipate 100% ya kuteuliwa kuwa Mw/kiti wa Ccm, Je! Una ushahidi na hilo?
 
Wameanza kugombea fito wakati wanatakiwa kujenga nyumba mmoja
 
Huu Uzi wa kumtuhumu Bashiru Ni Uzi wa kijinga Sana.Ni mtu mjinga TU Kama Wewe atausoma huu Uzi wako na kukuunga mkono.Toa uthibitisho wa hoja yako IONYESHE ushahidi wa jinsi Bashiru anavyomhujumu mama Samia,na Sisi tuuchambue huo uthibitisho wak😵therwise,kwa kimyaa !
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Na Mama Samia ili Atawale Vizuri ndani ya Chama na Serikali lazima ndani ya Chama ateue Watu wapya kabisa wenye Majina mapya kabisa katika nafasi ya KM, Sekritalieti ya Chama na Wajumbe wa Kamati Kuu Waliopo ni KIKWAZO KWAKE wanamuandaa Mtu wao 2025.
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.

IMG_20210418_203414.jpg
 
Akili za ma ccm bhana
[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Huu Uzi wa kumtuhumu Bashiru Ni Uzi wa kijinga Sana.Ni mtu mjinga TU Kama Wewe atausoma huu Uzi wako na kukuunga mkono.Toa uthibitisho wa hoja yako IONYESHE ushahidi wa jinsi Bashiru anavyomhujumu mama Samia,na Sisi tuuchambue huo uthibitisho wak😵therwise,kwa kimyaa !
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Chama cha wauaji mnatoana roho tu
 
Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.
haya mambo ya ukanda waliyayojenga na mtangulizi wake ndio yanawatafuna.
Anatakiwa kufahamu kuwa kila jambo Mwenyezi Mungu ana makusudi nalo.
Walijipa vyeo kikanda, dhambi ile ya ubaguzi itawatafuna sana sana.
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Enyi ma CCM parurareni na mtoane hata macho, ikiwezekana mchinjane kabisa ilimradi tu nchi yetu ipone!
 
Ushauri wangu kwa dk bashuru akimaliza kipindi chake Cha ubunge arudi akafundishe. Akiendelea kupambana na wenye chama atakwenda na maji.
 
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.

CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.

Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.

Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.

Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
Huyo bashiru,bashe,rostam na hao wabunge wasukuma mtaishia kushindwa tu
 
Hii ya wezekana ni project na mtu kapewa na budget yake. Anazuia asipate 100% Au akipata 100% itasaidia nini?

Viwango alishaweka mwendazake JPM vya kumpima kiongozi. Avifikie atafanikiwa akishindwa imekula kwake bigtime. Si ajabu akajikuta analazimika kumuhitaji Doktori Bashiru atake asitake, unaelewa uhanga wa kimazingira wewe?
mkuu kati ya comment zilizonifurahisha leo na kutengeneza siku yangu ni hii, team magufuli standard oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Back
Top Bottom