Pre GE2025 Katibu Mkuu Nchimbi, zuia walioanza kampeni mapema ndani ya chama chako kabla ya muda

Pre GE2025 Katibu Mkuu Nchimbi, zuia walioanza kampeni mapema ndani ya chama chako kabla ya muda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama ulivyotoka kumkemea Mkt uvccm Kagera,

Wakemrr pia wote ndani ya chama chako walioanza mapema compaign.

KAZI ya kuitumikia wananchi haijaisha Bado.
 
Salaam, Shalom!!

Hongera kwa kuaminiwa na chama chako kwa nafasi ya Katibu Mkuu.

Kuna vurugu na wimbi linaendelea la watu ndani ya chama chako kuanza compaign mapema Kwa GIA ya kuchangishana na kuwachukulia fomu wagombea wa nafasi mbalimbali, Hasa ubunge na Ile ya juu zaidi ilhali muda Bado, taratibu na KANUNI za chama zinakinzana na jitihada hizo.

Umejinasibu ni mtu wa misimamo, waonye hadharani waache mara Moja, wasiposikia WAKATWE Majina Yao huko mbeleni.

Karibuni 🙏

..itabidi amkate hata Samia Suluhu.

..ameanza kampeni kabla ya muda, na juzi katoa wimbo wa kampeni, akishirikiana na Diamond.
 
Salaam, Shalom!!

Hongera kwa kuaminiwa na chama chako kwa nafasi ya Katibu Mkuu.

Kuna vurugu na wimbi linaendelea la watu ndani ya chama chako kuanza compaign mapema Kwa GIA ya kuchangishana na kuwachukulia fomu wagombea wa nafasi mbalimbali, Hasa ubunge na Ile ya juu zaidi ilhali muda Bado, taratibu na KANUNI za chama zinakinzana na jitihada hizo.

Umejinasibu ni mtu wa misimamo, waonye hadharani waache mara Moja, wasiposikia WAKATWE Majina Yao huko mbeleni.

Karibuni 🙏
Yeye mwenyewe anafanya kampeni huko aliko ana watu wake, mwenezi ana wa kwake na makamu naye ana wa kwake
 
Helicopter imenunuliwa na mnufaika ametajwa, Nia na dhamira ya kununua helicopter imetajwa wazi!!

Kwanini chama hakitoki kukemea?
 
Yaani MABANGO ya bi Chura kiziwi nchi nzima, kama mtu aliyepotea or Mhalifu anayetafutwa na POLICE...Sijui bango moja limegharimu fedha kiasi gani?
 
Back
Top Bottom