Katibu Mkuu UN: HAMAS wana haki ya kuwapiga Israel

Katibu Mkuu UN: HAMAS wana haki ya kuwapiga Israel

Sio kweli Wakristo ndio tuliwapa ardhi ya Palestina 1948 waliyozulumiwa

Soma historia

Wanatuheshimu mno Wakristo
Wewe unadhani engagement ya Wakirsto na Wayahudi imeanza baada ya 1948

Chuki ya Wayahudi kwa Wakiristo ilianza na chuki yao kali dhidi ya Yesu na mama yake. Tena chuki ambayo mpaka leo wanayo.

Chuki yao kwa Wakirsto ikazidi pale Dola za Wakiristo in the middle ages zilivyowatesa huko ulaya kwa madai kuwa walimuua Yesu.

Katika watu waliowafanyia Wayahudi kitu mbaya tangu enzi za falme za kale za kidini huko ulaya basi ni Wakiristu.

Usibabaishwe na hii alliance ya sasa kati ya Myahudi na nyie, kiufupi wanawatumieni tu kigeoplotiki, lakini hakuna dini Myahudi anaidharau na kuichukia kama Ukiristu. Tafuta taarifa jifunze
 
S
wakristo wa kweli ni wale wa Lebanon wanaopigana bega kwa bega na waislamu kuifurumua Israel.Huku kwetu wayahudi wamefanikiwa sana kuteka wakristo kuingia upande wao kwa kutumia yanayoitwa makanisa ya kisabato.
Siyo ya kisabato Bali yakilokole
 
Vipi wapagani wanaobusu Black Stone Mecca huku wakiamini Jiwe linasamehe dhambi wakiliguza, Arabs na weusi wanaaminiwa ni watumwa hadi leo hii..

Muslim wengi linapokuja suala la Dini IQ zao zinashuka chini kabisa...

Stuka Israel ni watoto 12 ya Yakobo mtoto aliyeitwa Judas ndio Kabila la Jews
katika kabila la Judah kuna waliochagua dini kwa wanavyoamini wao so kuna christian hadi RC Wapo kuna Orthodox Jews, Kuna Muslims pia na kuna pagan pia tunaamini kuwa freewill sio kama Muslim kila kitu mmepangiwa na Allah even Mkifanya Dhambi niAllah ndie aliyepanga sohata Ugaidi wa Gaza ni Allah aliyepanga ndio maana kawapanga arabs from Gaza kusema Allah Akbar wanapoua Waisrael na Non Muslims.

Ukristo ni jina la wanaofuata Mafundisho ya Massiah Jesus...

Usiwe kama yale Majinga yanayosema Yesu hakuwa Mkristo wakati ndio mkristo bali mafundisho yake good news wanaofuata ndio wanaitwa hivyo ni sawa na kusema Allah ni Muislam?
Maelezo marefu ila ni matapishi matupu,hivi ulivyo punguani mwenyewe unajiona umemwaga madini kinoma!

Hujui lolote,ni bora ungekaa kimya ingekusaidia kuficha upumbavu wako,kwa akili hiyo mgando wala sioni faida ya kukuelewesha zaidi coz akili ndogo ulizonazo umeshaziweka mfukoni tayari,hapo unatembea na kichwa kama kiungo cha mwili tu.
 
Katika hotuba yake akidai ukiukwaji wa Sheria za Kimataifa za Kibinadamu, Gutteres alisema: "Ni muhimu pia kutambua mashambulizi ya HAMAS hayakutokea bila sababu. Watu wa Palestina wamekuwa wakikaliwa kwa mabavu si chini ya miaka 56." Mwisho wa kunukuu.
Haya mataifa mawili yanapigana juu ya ardhi(makazi), watazamaji tunaangalia udini🤔
 
Katika hotuba yake akidai ukiukwaji wa Sheria za Kimataifa za Kibinadamu, Gutteres alisema: "Ni muhimu pia kutambua mashambulizi ya HAMAS hayakutokea bila sababu. Watu wa Palestina wamekuwa wakikaliwa kwa mabavu si chini ya miaka 56." Mwisho wa kunukuu.
Huo ndo ukweli mengine ni porojo tu
 
Katika hotuba yake akidai ukiukwaji wa Sheria za Kimataifa za Kibinadamu, Gutteres alisema: "Ni muhimu pia kutambua mashambulizi ya HAMAS hayakutokea bila sababu. Watu wa Palestina wamekuwa wakikaliwa kwa mabavu si chini ya miaka 56." Mwisho wa kunukuu.
Hiyo ardhi ni ya Israel sio ya wapelestina
 
wakristo wa kweli ni wale wa Lebanon wanaopigana bega kwa bega na waislamu kuifurumua Israel.Huku kwetu wayahudi wamefanikiwa sana kuteka wakristo kuingia upande wao kwa kutumia yanayoitwa makanisa ya kisabato.
.......... Sawa tu na huku kwetu waislam walivyotekwa na vikundi vya kigaidi kama Hamas, Islamic Jihad, Al Qassam, Hezbollah, Isis, Al Qaeda, Al Shabaab nk.
 
Ukweli ndio huwezi kukubali occupation kizembe hamas acha wapambane mungu awasaidie wakaleta propaganda eti watoto wamechinjwa na biden mwanzo alitoa uongo huo hadi ikulu yake ikamkana ,
Sasa hawana nguvu ya kushindana na bwana netanyahu
 
Vipi wapagani wanaobusu Black Stone Mecca huku wakiamini Jiwe linasamehe dhambi wakiliguza, Arabs na weusi wanaaminiwa ni watumwa hadi leo hii..

Muslim wengi linapokuja suala la Dini IQ zao zinashuka chini kabisa...

Stuka Israel ni watoto 12 ya Yakobo mtoto aliyeitwa Judas ndio Kabila la Jews
katika kabila la Judah kuna waliochagua dini kwa wanavyoamini wao so kuna christian hadi RC Wapo kuna Orthodox Jews, Kuna Muslims pia na kuna pagan pia tunaamini kuwa freewill sio kama Muslim kila kitu mmepangiwa na Allah even Mkifanya Dhambi niAllah ndie aliyepanga sohata Ugaidi wa Gaza ni Allah aliyepanga ndio maana kawapanga arabs from Gaza kusema Allah Akbar wanapoua Waisrael na Non Muslims.

Ukristo ni jina la wanaofuata Mafundisho ya Massiah Jesus...

Usiwe kama yale Majinga yanayosema Yesu hakuwa Mkristo wakati ndio mkristo bali mafundisho yake good news wanaofuata ndio wanaitwa hivyo ni sawa na kusema Allah ni Muislam?
Ukristo ni jina la wanaofuata Mafundisho ya Massiah Jesus
Ikiwamo na ndoa za Jinsia 1 ???
 
Wewe unadhani engagement ya Wakirsto na Wayahudi imeanza baada ya 1948

Chuki ya Wayahudi kwa Wakiristo ilianza na chuki yao kali dhidi ya Yesu na mama yake. Tena chuki ambayo mpaka leo wanayo.

Chuki yao kwa Wakirsto ikazidi pale Dola za Wakiristo in the middle ages zilivyowatesa huko ulaya kwa madai kuwa walimuua Yesu.

Katika watu waliowafanyia Wayahudi kitu mbaya tangu enzi za falme za kale za kidini huko ulaya basi ni Wakiristu.

Usibabaishwe na hii alliance ya sasa kati ya Myahudi na nyie, kiufupi wanawatumieni tu kigeoplotiki, lakini hakuna dini Myahudi anaidharau na kuichukia kama Ukiristu. Tafuta taarifa jifunze
Hao ni wale Wakristo waliokuwa na akili zao. Sio hawa ambao Kila siku wako bize na kuanzisha kwaya za kukata mauno, kubariki ushoga na Waraka za kukataaa uwekezaji wa Bandari
 
Back
Top Bottom