Katibu Mkuu wa CCM atoa onyo kwa Membe akimtaka kutokuwa juu ya katiba ya chama

Katibu Mkuu wa CCM atoa onyo kwa Membe akimtaka kutokuwa juu ya katiba ya chama

"MZEE KIKWETE ALINITUMA KWA NYERERE!"SEHEMU YA 7!!!Mkuu GARATHBALE UKO WAPI?AU MODS WAMEKUBANIA???UKANA SHILUNGO MWAMBIE JAMAA AACHIE UZI HAPA!!!!!!2020 twende na membe!kachero mbobezi ambae ataleta mfumo wa kutatua kero na sio kugawa gawa hela barabarani kama leo kule kahama!!!yaani kero zitatuliwe pale tu jiwe akipita na msafara na sio taasisi zitatue kero??????
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.
Ungetusaidia kafanya nini tena safari mpaka hii mikwara ya chama chenye democrasia ya juu inapigwa hivi.'' Niguse ninuke'' 😂 😂 😂
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.
Mbona hajataja hilo kosa soecifically?

CCM hairuhusu demokrasia ya wanachama wake kujieleza?
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.

Meko Muoga sana
 
Wana jf!kwanini mnashindwa kujua kosa la membe kwa mujibu wa bashiru?Kosa la membe ni kutaka kuchukua fomu ya uraisi 2020!!!jiwe alipita ili kupoza vita vya makundi 2015!sasa kundi moja linataka kurudi kama walivopatana kipindi kile!sasa jiwe kanogewa na utamu wa kukata kiu ya kihisia ya muda mrefu ya kushindwa kumpata cheupe na kujenga chato!!
 
Jiwe na bashiru kila wakilala wanamuota membe tu.. Mwenzao amekaa zake rondo huku hana mpango na mtu
 
Lakini kwa ufahamu wangu kiasi "utaratibu sio sheria", kwahyo muda wowote unaweza ukavunja utaratibu ili kunusuru kitu bila madhara na kushtakiwa popote.

Wala ccm haina huo utaratibu; imetokea tu bahati njema kwambà katika awamu zote nne zilizopita hakutokea kiongozi ambaye amesababisha mjadala iwapo anafaa kuendelea kipindi cha pili! Na je, kutoa maoni binafsi kuhusu mambo ya kitaifa ndiyo kuvunja katiba ya ccm?
 
Eti tulimuita hakuja. Anajua akienda anaweza wekwa house arrest
 
Kuna watu wanaandaliwa mgombea hapa 2020 wampokee.Na walivyo weupe kichwani unaweza ukashangaa akapata shavu upande wa pili.
Huyo wa kwenu wenyewe anawahenyesha kimtindo,mtu yuko kimyaaaa anawachora mnavyojikanyaga. Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka 2020 mtaka msitake habari ndiyo hiyo. Go Membe go!!!!!
 
Na Mgombea uwenyekiti Chadema ni yule yule Mbowe! Chama kinachotetea demokrasia nchini Tanzania wakati chenyewe hakina demokrasia! Ahahahahahah!
Ndiyo tutakayemchagua, mnamuogoooopa!!! Nguruwe wa Lumumba mnahangaika sana na Mbowe .
 
Back
Top Bottom