Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
El~Nino Imehamia Ccm Mpaka Sasa Tunangoja Tu Jambo Moja Kubwa....Mimi sina cha kujiuzulu maana sina kazi zaidi ya jembe na kilimo ambacho siwezi nikajiuzulu,maana jembe ndio linaloonilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
El~Nino Imehamia Ccm Mpaka Sasa Tunangoja Tu Jambo Moja Kubwa....Mimi sina cha kujiuzulu maana sina kazi zaidi ya jembe na kilimo ambacho siwezi nikajiuzulu,maana jembe ndio linaloonilisha.
Amevuruga Nadhani Hata Mwezi BadoMakonda apewe ukatibu mkuu
Chongolo amewa outsmart kwa kuvujisha barua yake ya kujiuzulu kwani nia yao ilikuwa kumdhalilisha kuwa ametumbuliwa.Unajua fika kuwa wakati Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo ni DC wa Kibindoni walikuwa hawapatani kwani kuna Mmoja kati yao ana Akili na Mmoja ni Mpumbavu Kiasili halafu leo tena unaowaleta pamoja ndani ya Chama Tawala ( CCM ) huku kwa Makusudi, Mahaba na kupenda Kudanganya na Wanafiki unampa Jeuri na Upendo wa wazi wazi Mtu ambaye ndani ya Katiba ya Chama ni mdogo kuliko Katibu Mkuu na unataka Katibu Mkuu amnyenyekee yule anayetakiwa Kumyenyekea Yeye.
Kwa hapa / kwa hili kama ni la kweli ninampongeza sana Bwana Chongolo kwani alichofanyiwa ilikuwa ni Dharau isiyovumilika.
Na najua Chongolo ana Watu wake ndani ya System ya Nchi na Chama ( CCM ) ambao wamemdokeza mapema kuwa Kikao cha leo ( cha CCM ) anaenda Kung'olewa hivyo nae kawa very smart kwa kuwawahi kwa kupeleka Barua ya Kujiuzuru hivyo hatongolewa tena hii leo ( Jumanne ) Kikaoni CCM kwa Mipasho ya Paje Kizimkazi Zanzibar.
Huo ni ugomvi wenu wenyewe huko CCMTetesi na chanzo ni online blog
Leo muhusika alikua mwenyekiti wa kikao Cha Sekretariet ya Chama ( kikao Cha maandalizi ya vikao vya Cc na Nec)
Mabadiliko kwenye vyama vya Siasa ni jambo la kawaida nashangaa wanaolipwa kumkashifu Ndg Chongolo
TayariMakonda apewe ukatibu mkuu
Hilo shamba unalihudumia muda gani kwa makala zako jf? Wewe ni zaidi ya tunaoshabikia Simba na Yanga na ni mgojwa hipokuwa ujijuhi.Siwezi nikafa na njaa maana mimi ni mkulima. Labda nyie wa mijini mnashinda kwenye vibaraza mkipiga umbea na habari za simba na yanga ndio mtakufa na njaa kama panya.
Wewe Mbweha mbona analysis yako imechelewaSishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
Yah Right. Unalimia JF .....!!Siwezi nikafa na njaa maana mimi ni mkulima. Labda nyie wa mijini mnashinda kwenye vibaraza mkipiga umbea na habari za simba na yanga ndio mtakufa na njaa kama panya.
Ulikuwa wapi kumshauri m/kiti juu ya uwezo mdogo wa Chongolo? katenguliwa ndiyo mnaanza kujitokeza. CCM ina watu wanafiki sana.Sishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
Je ikiwa kweli utafanyaje? Wewe ni masawe wa kisukuma kwasababu hakuna masawe mpuuzi kama ulivyo weweSource mfanyakazi wa online media😂😂😂😂
Kweli hii nchi mbumbumbu was amejaa.
😂😂😂😂 nimecheka hapo kugekul chupa😂😂😂😂😂😂CHADEMA NI Kufungiwa nje ya Nyumba na Mke kama Dkt Slaaa au kuitwa msaliti kama Zitto, Kitila
Au Kutekwa na kugekul chupa
Shamba ni makalio yake huyo mbwehaHilo shamba unalihudumia muda gani kwa makala zako jf? Wewe ni zaidi ya tunaoshabikia Simba na Yanga na ni mgojwa hipokuwa ujijuhi.
Watu kama wewe mnatia huruma sana. Hamjui hata ni nini maana ya uongozi. Mnadhani usanii na maneno mengi ndiyo uongozi. Pole sana.Pamoja na ujinga mwingi wa Bashite na shutuma zake za uhalifu hiyo nafasi akipewa Mawaziri mizigo watanyooka.
Usiwe unapenda kukurupuka, kwanza fanga utafitiSource mfanyakazi wa online media[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli hii nchi mbumbumbu was amejaa.
Kama mimiSijui ni sifuatilii siasa siku hizi au nimezichoka, sielewi!