Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Wako wengi ndani ya CCM waliovurugwa na ingizo jipya. Ni suala la muda tu, yetu macho.
 

Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.

Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.

Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.

Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.

Unatuletea sababu gani tena wakati zimetajwa katika barua.

Hii inji ni ngumu sana, tumelea uhuni acha uendelee kufanya kazi.

Ajivue na uanachama pia, huku hatutaki mtu wa namna yakr aliyejaa tuhuma lukuki. [emoji23]
 
Chongolo hapa huchomoki we na mademu badala uimarishe chama chako

[emoji1593]Huyu demu umempa Mpaka mali kadhaa kwa kutumia kofia ya CCM ukasahau ni mtu wa mtu! Hapa unajaribu kukimbia fumanizi unapata ajali na Mali ya Umma

[emoji1593]Lakin Jua Vita ya Panzi furaha ya Kunguru ndani ya CCM

Kambi za January Makamba na Mwigulu Nchemba zaungana kumshughulikia Daniel Chongolo

[emoji1593]TISS na CCM watoa Siri za ndani za Chongolo ili kummaliza kupitia UVCCM

Mwenyewe kaapa kupambana asitolewe NEC hiiView attachment 2827339View attachment 2827340View attachment 2827341

Sent using Jamii Forums mobile app
Naanza kuelewaelewa kitu .....
 
Kwanza hiyo nafasi ya ukatibu mkuu .. ilikuwa haimfananii kabisa!... Frankly Speaking ...

Wenye chama chao... Kindakindaki.. toka UVCCM... Kina Makonda...Wako Frontline... Hili lilitarajiwa kabisa licha ya hiyo skendo...

Skendo imetumika kama Daraja tu..... La kupitisha mzigo uliokuwa unasubiriwa wakati wowote na walaji
Ana skendo gani Chongolo?
 
H

Hebu tuisome kwa makini, tuanzie alipomalizia "D. G. Chongolo"? Huyu D. G. Chongolo ni nani ndani ya CCM? Najua CCM yumo Daniel, je, ni huyu D. G. Chongolo? Mimi ninaona siye yeye na kama angekuwa yeye angeliandika jina lake kamili na si kwa kifupi ukizingatia anamuandikia bosi wake yaani mwenyekiti wa chama.
Ninaamini bado yumo.
D.G ni kifupi Cha Daniel Geofrey
 
Kwa Tz hii mtu anaachia kwa hiari ulaji mezani sijapata kusikia au kuona isipokuwa Mara 3 tu ilitokea , inahitajika ushujaa !
1. Mwalimu alifanya hivyo kung’atuka
CHADEMA NI Kufungiwa nje ya Nyumba na Mke kama Dkt Slaaa au kuitwa msaliti kama Zitto, Kitila

Au Kutekwa na kugekul chupa

Ila huyu gekul itakuwa anatumia chupa upande wa mbele
 
Unajua fika kuwa wakati Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo ni DC wa Kibindoni walikuwa hawapatani kwani kuna Mmoja kati yao ana Akili na Mmoja ni Mpumbavu Kiasili halafu leo tena unaowaleta pamoja ndani ya Chama Tawala ( CCM ) huku kwa Makusudi, Mahaba na kupenda Kudanganya na Wanafiki unampa Jeuri na Upendo wa wazi wazi Mtu ambaye ndani ya Katiba ya Chama ni mdogo kuliko Katibu Mkuu na unataka Katibu Mkuu amnyenyekee yule anayetakiwa Kumyenyekea Yeye.

Kwa hapa / kwa hili kama ni la kweli ninampongeza sana Bwana Chongolo kwani alichofanyiwa ilikuwa ni Dharau isiyovumilika.

Na najua Chongolo ana Watu wake ndani ya System ya Nchi na Chama ( CCM ) ambao wamemdokeza mapema kuwa Kikao cha leo ( cha CCM ) anaenda Kung'olewa hivyo nae kawa very smart kwa kuwawahi kwa kupeleka Barua ya Kujiuzuru hivyo hatongolewa tena hii leo ( Jumanne ) Kikaoni CCM kwa Mipasho ya Paje Kizimkazi Zanzibar.
Siyo kwamba Makonda hana akili,ana akili ndiyo maana hajaja na swaga za kishamba za;"Nani kama Mama na Mama anaupiga mwingi",kumbe kwa ground mambo ni utapeli mtupu,nchi inapigwa kulia na kushoto!
Chongolo hamna kitu ata alipokuwa DC Kinondoni alikuwa msanii tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
IMG-20231128-WA0059.jpg
 

Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.

Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.

Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.

Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.
Sababu za kujiuzulu Chongolo ni kukimbia kukaa meza moja na muuaji Makonda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuondoka ccm kwa amani , ama utadhalilishwa au utalishwa sumu kama Mangula
Ndiyo maana hawataki kutangaza kuwa Chongolo amejiuzulu ila wanataka watangazi kuwa anetenguliwa. Namsifu sana Chongolo kuivujisha hii barua kulinda heshima yake. Hata hiyo kesho wakimtangaza Makonda kuwa KM ukatibu mkuu wake ni wa damu
 
Back
Top Bottom