Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Nimefurahi Sana kuachia mtumbwi na kujitosa Baharini mwenyewe tupandishe mtu mwingine mwenye uhitaji wa kupanda mtumbwini huyo alishavuna vyakutosha ndio maana kajitekenya Mwenyewe.
NYANI BISHOO Narudi zangu Msituni

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa akishapewa cheo Huwa ni kuwasagia wenzake kunguni ili yeye atambe.Katika hali kawaida ni ngumu Kufanya nae kazi maana hujiweka juuu zaidi na kazi ya kufitinisha ni nyepesi kwake.
 
Kaa mbali na madem kwenye kazi ambayo unajua fika kuna maadui wako
Ila sijui mtu unakuwaje mpaka unatuma daa
 
🇹🇿 Kwanza hiyo sio handwriting ya mwanadiplomasia na mwanasiasa nguli kama yeye, hiyo imetengenezwa mitaani tuu

🇹🇿Pili, ni mtu mtulivu mwenye kiwango Cha juu Cha Emotion intelligence hawezi kufanya hivyo

🇹🇿Tatu hawezi kuharibu carrier yake ya Kisiasa kwa kuchukua uamuzi wa namna hiyo. Kwenye siasa Bora kutumbuliwa unaweza kupata nafasi nyingine kuliko kujitumbua

🇹🇿 Chama kina watu makini,wakiwemo wazee wabobezi wa siasa na busara, kama wamepata Taarifa lazima wangemuita na kusuluisha chini CHINI. Hii barua ni ya mchongo Kamwe haiwezekani
 

Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.

Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.

Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.

Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.
Aondoke tu hakuwa competent.Tunamtaka Bashiru arudi kuwa Katibu Mkuu wa Chama,"Wahuni" ndio waliomdanganya Samia kumuondoa.Bashiru anapenda nchi yake kwa dhati,ni competent,ana weledi tunao-uhitaji na yupo morally sound.
 

Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.

Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.

Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.

Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.
Mkuu kama kaisha andika barua ya kujiuzulu inakuaje tetesi tena?

Anyway,itakuwa busara kama utatuletea huo uchafu aliotuhumiwa nao.
 
Back
Top Bottom