Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha nmeipenda sana hii code. Uko vzr mkuuMeanwhile kitabu cha wafilipi hakionekani kilipo na tetesi zinazidi kushika kasi kwamba hakitakiwi kwenye safu ya 2025..
Leta maandiko yanayosema hivyo, inakatazwa kuwa Daud George. Unapoandika barua ya kuacha au kufukuzwa kazi ni lazima liandikwe jina lako kamili lililoandikwa wakati wa kuajiriwa na si vinginevyo.D.G ni kifupi Cha Daniel Geofrey
Bado ya Lucas mwashambwa naye ajiuzuru tu.
Ni fake,,eti chini imeandikwa nakala zote ziende kwa katibu mkuu,,yaani wamefanya kuunga uunga sehemu ya chini ili waoate signature ya chongolo,,,😁yaani wame cut na kupaste🤷Unaongea Kama nani?
Editing za kishamba sanaNimecheka sana hapo mwisho
😀😀 Ngoja hako kapicha nikakapambe geto 👆
Wewe unalima mudagani wakati unaonekana ukirandaranda kwenye ofisi za Tulia na eti makaratasi mkononi!Siwezi nikafa na njaa maana mimi ni mkulima. Labda nyie wa mijini mnashinda kwenye vibaraza mkipiga umbea na habari za simba na yanga ndio mtakufa na njaa kama panya.
😀😀 Ngoja hako kapicha nikakapambe geto 👆
Aondoke tu hakuwa competent.Tunamtaka Bashiru arudi kuwa Katibu Mkuu wa Chama,"Wahuni" ndio waliomdanganya Samia kumuondoa.Bashiru anapenda nchi yake kwa dhati,ni competent,ana weledi tunao-uhitaji na yupo morally sound.
Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.
Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.
Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.
Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.
KAMA ALIVYOWAKIMBIA MNYIKAHuwezi kuondoka ccm kwa amani , ama utadhalilishwa au utalishwa sumu kama Mangula
Mkuu kama kaisha andika barua ya kujiuzulu inakuaje tetesi tena?
Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.
Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.
Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.
Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.
Nipo sana ndgKuna taarifa kuwa Gilbert A Massawe kapatwa, je kapatwa nini au ni tetesi tu? Lucas mwashambwa, hebu tupe za ndani ndani, GAM kapatwa na ni nini? FaizaFoxy hebu okoa jahazi tafadhali sana, hali si nzuri hata kidogo.
Tuhuma zake ni Za KiumeMkuu kama kaisha andika barua ya kujiuzulu inakuaje tetesi tena?
Anyway,itakuwa busara kama utatuletea huo uchafu aliotuhumiwa nao.