Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

[emoji1241] Kwanza hiyo sio handwriting ya mwanadiplomasia na mwanasiasa nguli kama yeye, hiyo imetengenezwa mitaani tuu

[emoji1241]Pili, ni mtu mtulivu mwenye kiwango Cha juu Cha Emotion intelligence hawezi kufanya hivyo

[emoji1241]Tatu hawezi kuharibu carrier yake ya Kisiasa kwa kuchukua uamuzi wa namna hiyo. Kwenye siasa Bora kutumbuliwa unaweza kupata nafasi nyingine kuliko kujitumbua

[emoji1241] Chama kina watu makini,wakiwemo wazee wabobezi wa siasa na busara, kama wamepata Taarifa lazima wangemuita na kusuluisha chini CHINI. Hii barua ni ya mchongo Kamwe haiwezekani
Chongolo Ni mwanasias nguli toka lini yaaan kutoka ukuu wa wilaya had ukatibu mkuu una kuwa nguli

Nguli nikina George nkuchika ,mwigulu ,kiinana ,kikwete
 
Siasa siyo kazi ya kufanya,Ni Bora uwe mtu Baki utaishi kwa amani kabisa.Kuna mwaka nilitaka kugombea tu udiwani mama yangu mzazi alinigongea mlango saa kumi na mbili alfajili akitokea kwake alichonieleza nilikoma kabisa.Maana aliwakutilizia watu wakijiapia kunishugulikia sawa sawa ili nipoteze kila kitu.Nilikoma sitorudia.
 
Habari ndio hiyo!.

Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.

Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.

Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.

Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.

If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...

Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Daudi ana nguvu sana, mpaka katibu mkuu (bossi wake) kamkimbia.

Lord denning
 
Siasa siyo kazi ya kufanya,Ni Bora uwe mtu Baki utaishi kwa amani kabisa.Kuna mwaka nilitaka kugombea tu udiwani mama yangu mzazi alinigongea mlango saa kumi na mbili alfajili akitokea kwake alichonieleza nilikoma kabisa.Maana aliwakutilizia watu wakijiapia kunishugulikia sawa sawa ili nipoteze kila kitu.Nilikoma sitorudia.
Watu waoga kama nyie hamtufai kiumeni
 
Siasa siyo kazi ya kufanya,Ni Bora uwe mtu Baki utaishi kwa amani kabisa.Kuna mwaka nilitaka kugombea tu udiwani mama yangu mzazi alinigongea mlango saa kumi na mbili alfajili akitokea kwake alichonieleza nilikoma kabisa.Maana aliwakutilizia watu wakijiapia kunishugulikia sawa sawa ili nipoteze kila kitu.Nilikoma sitorudia.
Mkuu upo? Za masiku?
 
Siasa siyo kazi ya kufanya,Ni Bora uwe mtu Baki utaishi kwa amani kabisa.Kuna mwaka nilitaka kugombea tu udiwani mama yangu mzazi alinigongea mlango saa kumi na mbili alfajili akitokea kwake alichonieleza nilikoma kabisa.Maana aliwakutilizia watu wakijiapia kunishugulikia sawa sawa ili nipoteze kila kitu.Nilikoma sitorudia.
Ukisema ''siasa siyo kazi ya kufanya'' tayari unakuwa umekosea kwa sababu siasa siyo kazi. Najua hili ni gumu kueleweka sana hasa kwa nchi zetu za kiafrika, lakini kikawaida kabisa siasa ni kujitolea kuwatumikia watu kwa muda fulani. Hata fedha anazolipwa mwanasiasa siyo mshahara bali ni fedha za kujikimu. Ila kiafrika afrika watu wamegeuza siasa imekuwa kazi ya kudumu na mtu yuko tayari kufanya lolote ili tu abakie kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom