Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Chongolo Ni mwanasias nguli toka lini yaaan kutoka ukuu wa wilaya had ukatibu mkuu una kuwa nguli

Nguli nikina George nkuchika ,mwigulu ,kiinana ,kikwete
 
Siasa siyo kazi ya kufanya,Ni Bora uwe mtu Baki utaishi kwa amani kabisa.Kuna mwaka nilitaka kugombea tu udiwani mama yangu mzazi alinigongea mlango saa kumi na mbili alfajili akitokea kwake alichonieleza nilikoma kabisa.Maana aliwakutilizia watu wakijiapia kunishugulikia sawa sawa ili nipoteze kila kitu.Nilikoma sitorudia.
 
Daudi ana nguvu sana, mpaka katibu mkuu (bossi wake) kamkimbia.

Lord denning
 
Watu waoga kama nyie hamtufai kiumeni
 
Mkuu upo? Za masiku?
 
Ukisema ''siasa siyo kazi ya kufanya'' tayari unakuwa umekosea kwa sababu siasa siyo kazi. Najua hili ni gumu kueleweka sana hasa kwa nchi zetu za kiafrika, lakini kikawaida kabisa siasa ni kujitolea kuwatumikia watu kwa muda fulani. Hata fedha anazolipwa mwanasiasa siyo mshahara bali ni fedha za kujikimu. Ila kiafrika afrika watu wamegeuza siasa imekuwa kazi ya kudumu na mtu yuko tayari kufanya lolote ili tu abakie kwenye siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…