Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

mwanasiasa makini husoma alama za nyakati kwa umahiri mkubwa sana

Uongozi imara, shupavu na makini ni pamoja na kuwajibika mwenyewe kwa hiari
Jamaa yupo vizuri sana !!
Wangekuwepo wa namna hiyo mpaka Kwenye nyadhifa nyingine nyingine za kuteuliwa hivi sasa tungekuwa mbali kama Nchi !😅🙏🇹🇿🙏
 
😀😀😀 Tatizo hata Nikikuuma sikio huwezi kunielewa! Ila nikwambie tu! Msoga gang na mama hawaelewani! Mama kaona Sehemu ya Kukimbila ni Sukuma gang!
Ni sahihi kabisa na kwenye siasa ni Bora zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Kwani Msoga gang walikuwa wanatakaje wao? Naunga mkono awashighulikie akiwemo Kinana.
 
Umefikiri vyema...

Hii hoja yako, likely, imeunusa ukweli wa maamuzi ya huyu KM wenu...

Nafikiri pia, baadhi ya viongozi wakuu wa CCM hawakubaliani Paul Makonda a.k.a DAB kupewa nafasi hiyo ndani ya chama kutokana na tatizo la uadilifu wa kimaadili alilonalo huyu uliyemwita "dogo" yaani Paul Makonda..

Mimi sitashangaa hata Makamu Mwenyekiti wenu Abdulhaman Kinana akitupa jezi pia..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…